Tabia hii wanaume mtaiacha lini?

Tabia hii wanaume mtaiacha lini?

BINAFSI kuna TABIA moja inanikwaza sana kutoka kwa ndugu zetu hawa wa jinsi ya Me; ukikutana na mwanaume mathalan safari, kwenye majukumu ya kikazi au hafla za kijamii wengi watakuomba namba WHICH OFCOURSE IS NOT BAD lakini changamoto inakuja kwenye matumizi ya hiyo namba!!!

Asilimia kubwa ni kutongoza!!!!
Mum, mwanaume na kutongoza ni kama uji na mgonjwa..
Na siyo kila anayemtongoza atamla!
Ukiona mazingira yanaruhusu halafu hakutongozi ujue hajakuelewa tu😁

Lakini pia mwanaume hakutongozi bila ushirikiano wako..
Akipiga simu ukaacha kupokea, atume msg hujibu, atakutingoza vipi?

Ukiona mwanamke anatongozwa hadi anaingia kingi, ujue na yeye anataka!
 
Kumbe wewe Ni KE🤔
Yaani ni ajabu sana,unipe namba yako mwanaume afu nikuangalie tu...aisee lazima tupigane miti...na kupigana miti ndo lishe tosha kaz utafanya kiufanisi kabisa ofisini au biasharani
 
Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa!

Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko superior au less superior to the opposite sex, bali sote tunategemeana katika kuyaishi maisha haya mafupi katika Ulimwengu huu.

BINAFSI kuna TABIA moja inanikwaza sana kutoka kwa ndugu zetu hawa wa jinsi ya Me; ukikutana na mwanaume mathalan safari, kwenye majukumu ya kikazi au hafla za kijamii wengi watakuomba namba WHICH OFCOURSE IS NOT BAD lakini changamoto inakuja kwenye matumizi ya hiyo namba!!!

Asilimia kubwa ni kutongoza!!!! Jamani Kama ilivyo kwa wanaume wenzio mwanamke anaweza akawa mshirika katika biashara, kazi au madili mengine, sasa ukitanguliza NGONO utafunga MILANGO MINGINE ya kushirikiana kama wanajamii katika kuyaendesha maisha haya.

Baadhi ya wanaume huwa nashindwa kabisa kuwaelewa vichwa vyao vinawaza nini!!!!

Unakutana na mtu ana mahusiano au familia yake PLEASE HESHIMU PERSONAL LIFE YAKE NA KAMA HUNA CHOCHOTE UNAWEZA KUSHARE NAYE POSITIVE LET HER MOVE ON WITH HER STRUGGLE...

Usimrubuni mwanadada au binti wa watu ili ULETE UZI HAPA JF huku ukimwachia majonzi katika maisha yake!!!! Huna future na mtu au ana mahusiano yake msaidie kuyalinda na usiwe sababu ya kuvurugikiwa!!!!

Kuna wanaume wa kweli WACHACHE ambao anaweza kumsaidia MWANAMKE NA WALA ASIHITAJI NAMBA YA SIMU WALA SHUKRAN!!! Siyo wengine akipata nafasi ya kutoa huduma au msaada kwa mwanamke basi tayari ametengeneza NDOANA...

Wengi wa WANAUME HAPA WANALIA MAISHA MAGUMU HAYAELEWEKI, HONESTLY NADHANI PARTLY NI KWA SABABU YA MACHOZI MNAYOYASABABISHA KWA MABINTI ZA WATU!!!!

Jamani hii TABIA IMEKUWA SHIDA SANA KWENYE JAMII ZETU....
Hakuna ushirika kati ya mwanamume na mwanamke, iwe sijui biashara, kazi nk. ni ndoa pekee na udugu wa damu
 
OF COURSE kama ilivyo wanaume kuna wanawake wa hivyo ILA NAKUHAKIKISHIA SIYO KILA MWANAMKE YUPO HIVYO.....

Lakini pia siyo kila anayejirahisisha LAZIMA upite NAYE, tujitahidi kuwa na focus na mahusiano yetu na muda na akili zitumike kuipeleka mbele nchi
Kaka kama tu Elon Musk alishindwa kwenye suala hilo akapiga mfanyakazi wake na kumzalisha, sisi ni akina nani?
It's like unapigana na nature.
 
Hakuna ushkaji Kwa mwanamke na mwanaume, hilo halipo......
Angalia partnership nyingi za kibiashara duniani, wengi ni wanandoa au wapenzi, hili analotaka kulileta mleta mada haipo.
 
Wanaume wengi huwa wanafeel superior tukipatner na wanaume wenzetu kwenye biashara, ila Kwa upande wa siasa kusaidiana na wanawake halileti shida kwasababu lengo ni kujenga nchi ila kibiashara lengo ni kujenga wealth ambayo itakupa power ya kufanya utakavyo.
Kwasababu hiyo, partnership ya kibiashara Kati ya mwanamke au mwanaume bila kiunganishi Cha ngono haipo na haitowezekana kwasababu hapo unaamua kupingana na uhalisia ambayo itakuumbua mbeleni.
Wanaume wengi hawapendi status ya kuwa the same with women, wanataka power na wasomi wengi wa kike wanawanyima hiyo power so anaona option nzuri ni kumteka kimapenzi.
 
Wanaume wengi huwa wanafeel superior tukipatner na wanaume wenzetu kwenye biashara, ila Kwa upande wa siasa kusaidiana na wanawake halileti shida kwasababu lengo ni kujenga nchi ila kibiashara lengo ni kujenga wealth ambayo itakupa power ya kufanya utakavyo.
Kwasababu hiyo, partnership ya kibiashara Kati ya mwanamke au mwanaume bila kiunganishi Cha ngono haipo na haitowezekana kwasababu hapo unaamua kupingana na uhalisia ambayo itakuumbua mbeleni.
Wanaume wengi hawapendi status ya kuwa the same with women, wanataka power na wasomi wengi wa kike wanawanyima hiyo power so anaona option nzuri ni kumteka kimapenzi.
Mmmmmhhhhhhh

Kazi ipo!!!
 
Back
Top Bottom