Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

1 na 2 tunafanana, kubeti nilianza 2015 aisee sitaki hata kukumbuka ila kwa kifupi tu tokea 2018 sijawahi beti mpaka sasa naamini nishashinda hiyo vita ila punyeto hata leo napiga mara moja moja japo nimeshaoa tayari.
 
Time na space ina determine ufe lini
 
Acha nyeto maana nyeto huondoa bahati siku zote mbetiji siku mbili kabla ya kubeti usitombe wala kupiga nyeto alafu Acha Tamaa Una laki kwann uweke point mbili au point moja Nika tano Acha Tamaa kikubwa beti Kwa kiasii Mimi ni mbetiji mzuri nashukuru Mungu naeza jizuia kibeti kwawiki au wiki mbili na kiwango changu cha pesa hakivuki 20
 
1 na 2 tunafanana, kubeti nilianza 2015 aisee sitaki hata kukumbuka ila kwa kifupi tu tokea 2018 sijawahi beti mpaka sasa naamini nishashinda hiyo vita ila punyeto hata leo napiga mara moja moja japo nimeshaoa tayari.

mkuu kama umeshaoa mara moja moja unapigaje puchu,
ni kwamba labda wife anakuwa hayupo sometime ama huna hamu nae unaona tu bora ujitafune mwenyewe.
 
Punyeto ni tamu balaa, huwa napiga wife akiwa amesafiri
mkuu kama umeshaoa mara moja moja unapigaje puchu,
ni kwamba labda wife anakuwa hayupo sometime ama huna hamu nae unaona tu bora ujitafune mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…