Familia nyingi zina watu mizigo.
Ninaposema tabia mizigo ninamaanisha watu wenye tabia ngumu kumeza. Watu ambao wanavumilika tu kwasababu ni ndugu au wazazi lakini kiuhalisia hawafai hawafai! (Yaani kama ni chakula basi hawafai kwa kulamba, kutafna au kulumangia). Na hizi tabia ngumu za wazazi huwa hazioneshi ukali wakiwa pamoja! Kwasababu mmoja humfunika mwenzake na madhaifu yake.
Picha linaanza pale mzazi mmoja akifariki, hapo ndipo utajua nani alikuwa mvumilivu kwenye hiyo ndoa iliyo kuzaa wewe. Kuna watu hadi huwa wanajiuliza Hivi huyu ni mzazi wangu kweli? Kama hujawahi kuiona haina mana Haipo.
Kibaya zaidi Mijitu yenye tabia ngumu kwenye familia huwa ndiyo ya Mwisho kufa. Hii ina apply kwenye familia, hadi viongozi wa kitaifa.
Ninaposema tabia mizigo ninamaanisha watu wenye tabia ngumu kumeza. Watu ambao wanavumilika tu kwasababu ni ndugu au wazazi lakini kiuhalisia hawafai hawafai! (Yaani kama ni chakula basi hawafai kwa kulamba, kutafna au kulumangia). Na hizi tabia ngumu za wazazi huwa hazioneshi ukali wakiwa pamoja! Kwasababu mmoja humfunika mwenzake na madhaifu yake.
Picha linaanza pale mzazi mmoja akifariki, hapo ndipo utajua nani alikuwa mvumilivu kwenye hiyo ndoa iliyo kuzaa wewe. Kuna watu hadi huwa wanajiuliza Hivi huyu ni mzazi wangu kweli? Kama hujawahi kuiona haina mana Haipo.
Kibaya zaidi Mijitu yenye tabia ngumu kwenye familia huwa ndiyo ya Mwisho kufa. Hii ina apply kwenye familia, hadi viongozi wa kitaifa.