Tabia ngumu ya mzazi, watoto mtaijua vizuri pale mzazi mmoja akifariki (wakiwa hivi pamoja hufichiana siri)

Tabia ngumu ya mzazi, watoto mtaijua vizuri pale mzazi mmoja akifariki (wakiwa hivi pamoja hufichiana siri)

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Familia nyingi zina watu mizigo.

Ninaposema tabia mizigo ninamaanisha watu wenye tabia ngumu kumeza. Watu ambao wanavumilika tu kwasababu ni ndugu au wazazi lakini kiuhalisia hawafai hawafai! (Yaani kama ni chakula basi hawafai kwa kulamba, kutafna au kulumangia). Na hizi tabia ngumu za wazazi huwa hazioneshi ukali wakiwa pamoja! Kwasababu mmoja humfunika mwenzake na madhaifu yake.

Picha linaanza pale mzazi mmoja akifariki, hapo ndipo utajua nani alikuwa mvumilivu kwenye hiyo ndoa iliyo kuzaa wewe. Kuna watu hadi huwa wanajiuliza Hivi huyu ni mzazi wangu kweli? Kama hujawahi kuiona haina mana Haipo.

Kibaya zaidi Mijitu yenye tabia ngumu kwenye familia huwa ndiyo ya Mwisho kufa. Hii ina apply kwenye familia, hadi viongozi wa kitaifa.
 
Mimi nilipogundua pasua kichwa nikaoa mke wa pili fasta!
Wanaume tunazeeka haraka kwa kuvumilia stress!
Magonjwa ya stress ni mabaya mno na ndiyo maana waliopararalize wengi ni wanaume!
Stroke haisababishwi na kutokufanya mazoezi! Ndiyo maana Wenye stroke wengi ni wastaafu wa jeshi!
Mkuu weka tabia zako ngumu wacha siasa!..😅
 
Mimi nilipogundua pasua kichwa nikaoa mke wa pili fasta!
Wanaume tunazeeka haraka kwa kuvumilia stress!
Magonjwa ya stress ni mabaya mno na ndiyo maana waliopararalize wengi ni wanaume!
Stroke haisababishwi na kutokufanya mazoezi! Ndiyo maana Wenye stroke wengi ni wastaafu wa jeshi!
Hebu acha usanii mkuu.Kuwa mnyoofu na utupe Aa Bee Chee za kilichofuata ITV!Ingawa nimekuelewa.
 
Sio uongo mkuu... Huwa nawaamgalia tu watu wanaowaongelea wazazi utafkiri ni watu perfect wenye Upendo perfect, tena Wanaitwa Miungu ya duniani. Kuna wazazi ni kama roho waovu sio bure...

Na sio hadi kifo, Kuna situation zinaweza kutokea ukaja kugundua rangi halisi za mzazi wako mf. Ukitaka kuoa/kuolewa, ukipata kazi/ukipoteza kazi, ukianzisha biashara etc... Yani Kuna wazazi ni kama wanachukia watoto wao deep inside, they're the source of their own kids' downfall/unhappiness!!!
kunywa maji kwanza.
 
kunywa maji kwanza.
resizedimage.gif
 
Sio uongo mkuu... Huwa nawaamgalia tu watu wanaowaongelea wazazi utafkiri ni watu perfect wenye Upendo perfect, tena Wanaitwa Miungu ya duniani. Kuna wazazi ni kama roho waovu sio bure...

Na sio hadi kifo, Kuna situation zinaweza kutokea ukaja kugundua rangi halisi za mzazi wako mf. Ukitaka kuoa/kuolewa, ukipata kazi/ukipoteza kazi, ukianzisha biashara etc... Yani Kuna wazazi ni kama wanachukia watoto wao deep inside, they're the source of their own kids' downfall/unhappiness!!!
Exactly wapo
 
Kwenye hii comment mkuu sema nilisahau kuquote
Mimi nilipogundua pasua kichwa nikaoa mke wa pili fasta!
Wanaume tunazeeka haraka kwa kuvumilia stress!
Magonjwa ya stress ni mabaya mno na ndiyo maana waliopararalize wengi ni wanaume!
Stroke haisababishwi na kutokufanya mazoezi! Ndiyo maana Wenye stroke wengi ni wastaafu wa jeshi!
Hope wa pili hakusumbui
Pole ya nn! Hilo ni somo chukua
 
Sio uongo mkuu... Huwa nawaamgalia tu watu wanaowaongelea wazazi utafkiri ni watu perfect wenye Upendo perfect, tena Wanaitwa Miungu ya duniani. Kuna wazazi ni kama roho waovu sio bure...

Na sio hadi kifo, Kuna situation zinaweza kutokea ukaja kugundua rangi halisi za mzazi wako mf. Ukitaka kuoa/kuolewa, ukipata kazi/ukipoteza kazi, ukianzisha biashara etc... Yani Kuna wazazi ni kama wanachukia watoto wao deep inside, they're the source of their own kids' downfall/unhappiness!!!
Umemaliza ni kweli kabisa
 
Back
Top Bottom