Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
Baada ya missed call 15 utakapo mpigia....hizo lawama zake sasaTena huko ndio kabisa sihangaiki, situmi sms chini ya ambayo haijajibiwa na simu ni hivyo hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya missed call 15 utakapo mpigia....hizo lawama zake sasaTena huko ndio kabisa sihangaiki, situmi sms chini ya ambayo haijajibiwa na simu ni hivyo hivyo.
Nipige mara 15? Natafuta niniBaada ya missed call 15 utakapo mpigia....hizo lawama zake sasa
Yeah sure.....Ila mi binafsi labda nisiwe na simu mkononi....Ila huwa naheshimu Sana mtu anayenipigiaHii sio kweli mkuu, mimi tangu siku nilipoanza kumiliki simu sijawahi kuwa napenda kupokea simu, mara nyingi huwa napendelea mtu anitumie SMS inayojieleza hususani ikiwa ni namba ngeni, mara nyingi nikiona mtu ananipigia simu zaidi ya mara mbili bila kutuma ujumbe mfupi huwa na assume hamna jambo la msingi hapo
Hichohicho kitumbua mkuu🤒Nipige mara 15? Natafuta nini
Kwamba ni yeye tu anacho, sipo hivyo mkuu wangu wa kazi.Hichohicho kitumbua mkuu🤒
🤣🤣🤣🤭 Utakufa mseja🤭Kwamba ni yeye tu anacho, sipo hivyo mkuu wangu wa kazi.
Sasa si unampangaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapiga simu inaishia kusema "mambo Inakuwaje? Em nipange[emoji849]
Huko ni kutafuta umbea kwa nguvu... Nikupange nini wakati wewe ndiye umenipigia?Sasa si unampangaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kuna simu za ofisi inabidi zije, hata hao wasumbufu inabidi baadae jioni kuwapigiaUwe unaweka kindege mkuu
Em semaa kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huko ni kutafuta umbea kwa nguvu... Nikupange nini wakati wewe ndiye umenipigia?
Asilimia kubwa ya watu wa aina hiyo huwa ni wanoko na wanafiki sana.
Ni kweli muasibu/mhasibu/muhasibu😂😂Una kwenye shughuli yeyote inayokunyima uhuru wa kupokea simu
Upo kazini busy na kazi kiasi cha kuepuka kupokea simu binafsi kwa sababu ni muda wa kumtumikia mwajiri ukihudumia wateja wake
Umeamua kuchukua muda wa kupumzika, umechagua kutokusiliza yeyote ili uache akili yako ipate utulivu.
Kiufupi ni mazingira yeyote ambayo yanakufanya usipokee simu, kwa sababu una uhuru wa kutumia simu yako.
Lakini unakutana na mbongo ambaye hana kiasi. Yeye akili yake inamtuma akupigie simu mpaka upokee, anapiga simu hata mara 10. Ajabu ni kwamba hana hata jambo la dharura na kwamba angekupigia mara moja kisha baadae ukiwa free umpigie. Hata common sense tu ya kwamba ngoja niache sms imsaidie kujua kiasi kuhusu shida yangu.
Inakera sana kuona mtu anapiga simu nyingi mfululizo bila sababu ya msingi. Kama simu yako haipokelewi tulia, missed call moja au mbili zinatosha