Jamaa ni Mbondei aliyekulia Kusini ni Mwanangu sana na jana baada ya kumaliza kuandika hii post dk 6 baadae akanibip π€£π€£π€£Kataa kubali ila itoshe kusema anatoka kanda ya ziwa ,sitaki kutaja kabila maana ni wajomba zangu π
Dah huyo mchukulie tu ndivyo alivyo japo siku moja muelekezeJamaa ni Mbondei aliyekulia Kusini ni Mwanangu sana na jana baada ya kumaliza kuandika hii post dk 6 baadae akanibip π€£π€£π€£
Kuna mambo yanamchanganya Jamaa yuko 38 mbele yangu kama miaka miwili na miezi kadhaa.Dah huyo mchukulie tu ndivyo alivyo japo siku moja muelekeze
Hapo lazima dish liyumbe kama namuona anavyokuomba ushauri muda mwingine kuwa hivi siwezi kurudi shule alafu nije kuajiriwa ππKuna mambo yanamchanganya Jamaa yuko 38 mbele yangu kama miaka miwili na miezi kadhaa.
Kinachomchanganya shule alikuwa hataki na umri umeshaenda na kila anachofanya kinavurugika akiangalia wadogo zake watatu wana maisha yao.
Mdogo wake kaolewa na Mshikaji ambaye yupo Central Bank, anayefuata ni Telecommunications Engineer na Mwingine ni IT officer kwenye taasisi ya umma na mwingine yupo Law School. Yeye ndio anazurura tu lazima dishi liyumbe π€£π€£π€£
Wana scroll chini afu wanaona ulichoandika. Wanaamua kutofungua sms yako kumbe washaona ulichokisema. Yaani bado ujasema!Ukiona Sijapokea simu tuma message. Sijui kwanini watu huwa wanashindwa kuelewa jambo hili
Haya bhana...wamekuonya lakini.eti ninae wa nyota 3π€£π€£π€£πUshanichanganya tayari na hiyo emoji π
Nani huyo kanionya?Haya bhana...wamekuonya lakini.eti ninae wa nyota 3π€£π€£π€£π
MamaSamia kisa urais unatukana wake za watu... Temana na mke wangu boya wwWewe NI MASKINI WA AKILI HADI KIPATO. Huoni kama ni upumbavu uliotukuka kupuuzia missed calls? Mapenzi kwako ndo bora zaidi? Pumbav.
Anataka figooo huyoo mpwaa msaidieeUpo kwenye shughuli yeyote inayokunyima uhuru wa kupokea simu
Upo kazini busy na kazi kiasi cha kuepuka kupokea simu binafsi kwa sababu ni muda wa kumtumikia mwajiri ukihudumia wateja wake
Umeamua kuchukua muda wa kupumzika, umechagua kutokusikiliza yeyote ili uache akili yako ipate utulivu.
Kiufupi ni mazingira yeyote ambayo yanakufanya usipokee simu, kwa sababu una uhuru wa kutumia simu yako.
Lakini unakutana na mbongo ambaye hana kiasi. Yeye akili yake inamtuma akupigie simu mpaka upokee, anapiga simu hata mara 10. Ajabu ni kwamba hana hata jambo la dharura na kwamba angekupigia mara moja kisha baadae ukiwa free umpigie. Hata common sense tu ya kwamba ngoja niache sms imsaidie kujua kiasi kuhusu shida yangu.
Inakera sana kuona mtu anapiga simu nyingi mfululizo bila sababu ya msingi. Kama simu yako haipokelewi tulia, missed call moja au mbili zinatosha