Tabia ya kupiga simu zaidi ya mara mbili inakera sana

Tabia ya kupiga simu zaidi ya mara mbili inakera sana

wanasemaga "nobody is busy, its just matter of priorities"
Kabisaa, hakuna mtu busy siku nzima kiasi cha kutopata time ya kutuma short text kwa hiyo ni issue ya priorities tu.

na kama ukiona mtu anakupa negative response na usipomtafuta hakufuti. Ni vyema kukubaliana na ukweli na kumfanyia favour ya kutomtafuta kabisa hususani kama hana impact kubwa kwenye maisha yako ya kila siku
 
Ni maskini kweli Huwa natumia sana sms na whatsaap calls kuliko normal calls wengi tunawasiliana huko
Ila ikiita siachi kupokea ila missed call Huwa nj mvivu kufatilia ndivyo nilivo hata ukiniita mpumbavu haisaidii
Una wito mkubwa kwenye upuuzi. Kama umeridhika na huo upumbavu wako siwezi kukubadilisha.
 
🤣🤣🤣 Huyo mkeo ajae namuhurumia😔
Mwanamke na kupenda attention ya simu wameshindikana.... utakuta na yeye anatamani kukupigia simu ila atajikaza ili upige wewe kwanza. Huyu wangu huwa nampigia na kumchana wazi kuwa natimiza tu wajibu wangu wa kukupa unachotaka yaani ATTENTION.
 
Mara 15 mkuu,unaenda kujificha upokee halafu hilo fwala linakwambia nilikua nakusalimia tu.
"au e bana niwezeshe niko maweni majalala hapa sielewi"
utatukana matusi yoote mama alikufundisha.

Alafu matusi mengine unakua kama unanena kwa lugha😁
 
Upo kwenye shughuli yeyote inayokunyima uhuru wa kupokea simu

Upo kazini busy na kazi kiasi cha kuepuka kupokea simu binafsi kwa sababu ni muda wa kumtumikia mwajiri ukihudumia wateja wake

Umeamua kuchukua muda wa kupumzika, umechagua kutokusikiliza yeyote ili uache akili yako ipate utulivu.

Kiufupi ni mazingira yeyote ambayo yanakufanya usipokee simu, kwa sababu una uhuru wa kutumia simu yako.

Lakini unakutana na mbongo ambaye hana kiasi. Yeye akili yake inamtuma akupigie simu mpaka upokee, anapiga simu hata mara 10. Ajabu ni kwamba hana hata jambo la dharura na kwamba angekupigia mara moja kisha baadae ukiwa free umpigie. Hata common sense tu ya kwamba ngoja niache sms imsaidie kujua kiasi kuhusu shida yangu.

Inakera sana kuona mtu anapiga simu nyingi mfululizo bila sababu ya msingi. Kama simu yako haipokelewi tulia, missed call moja au mbili zinatosha
Elimu ndogo na ujinga mwingi sana! Wanamaliza chaji sana! Elimu ya Tz ni ya hovyo sana haifuti ujinga kabisa!
 
Upo kwenye shughuli yeyote inayokunyima uhuru wa kupokea simu

Upo kazini busy na kazi kiasi cha kuepuka kupokea simu binafsi kwa sababu ni muda wa kumtumikia mwajiri ukihudumia wateja wake

Umeamua kuchukua muda wa kupumzika, umechagua kutokusikiliza yeyote ili uache akili yako ipate utulivu.

Kiufupi ni mazingira yeyote ambayo yanakufanya usipokee simu, kwa sababu una uhuru wa kutumia simu yako.

Lakini unakutana na mbongo ambaye hana kiasi. Yeye akili yake inamtuma akupigie simu mpaka upokee, anapiga simu hata mara 10. Ajabu ni kwamba hana hata jambo la dharura na kwamba angekupigia mara moja kisha baadae ukiwa free umpigie. Hata common sense tu ya kwamba ngoja niache sms imsaidie kujua kiasi kuhusu shida yangu.

Inakera sana kuona mtu anapiga simu nyingi mfululizo bila sababu ya msingi. Kama simu y

Upo kwenye shughuli yeyote inayokunyima uhuru wa kupokea simu

Upo kazini busy na kazi kiasi cha kuepuka kupokea simu binafsi kwa sababu ni muda wa kumtumikia mwajiri ukihudumia wateja wake

Umeamua kuchukua muda wa kupumzika, umechagua kutokusikiliza yeyote ili uache akili yako ipate utulivu.

Kiufupi ni mazingira yeyote ambayo yanakufanya usipokee simu, kwa sababu una uhuru wa kutumia simu yako.

Lakini unakutana na mbongo ambaye hana kiasi. Yeye akili yake inamtuma akupigie simu mpaka upokee, anapiga simu hata mara 10. Ajabu ni kwamba hana hata jambo la dharura na kwamba angekupigia mara moja kisha baadae ukiwa free umpigie. Hata common sense tu ya kwamba ngoja niache sms imsaidie kujua kiasi kuhusu shida yangu.

Inakera sana kuona mtu anapiga simu nyingi mfululizo bila sababu ya msingi. Kama simu yako haipokelewi tulia, missed call moja au mbili zinatosha
True story imenitokea a few days ago:
Kuna jamaa Fulani alikuja kwangu nikamkopesha hela kiasi kaweka kitu cha bond ili siku ikifike alete pesa yangu nimpe kitu chake!
Jamaa kakaa muda umekwisha zaidi ya miezi miwili hajaleta pesa yangu!
Nampigia simu siku ya kwanza Mara tatu kwa nyakati tofauti saa 1, 4 na 12.. mara hajapokea zote! Siku inayofuata nikapiga tena Mara 3 nyakati tofauti bila majibu! Siku ya tatu nikapiga Mara 2 bila majibu , napiga simu ya tatu AKAPOKEA tukasalimiana
Namuuliza kwanini nmekupigia simu Mara nyingi hupokei?
Akajibu "usinipangie matumizi ya simu yangu, njua unanidai una dhamana yangu hela yako ntakupa nikipata ,usininyime raha Wala kuingilia Uhuru wangu kisa unanidai" kusema ukweli nilifokea afu mtu anabainisha kuwa sijui kazi yake pengine alikuwa bize muda wote huo !
Sasa swali linakuja kichwani mwangu kwamba huyu bwana hata kam anafanya kazi gani je, anawezaje kuwa bize muda wote huo? Ina maana siku zote hizo hajashika simu yake?
Ukienda ndani zaidi utagundua kuwa watu sio waungwana
 
Upo kwenye shughuli yeyote inayokunyima uhuru wa kupokea simu

Upo kazini busy na kazi kiasi cha kuepuka kupokea simu binafsi kwa sababu ni muda wa kumtumikia mwajiri ukihudumia wateja wake

Umeamua kuchukua muda wa kupumzika, umechagua kutokusikiliza yeyote ili uache akili yako ipate utulivu.

Kiufupi ni mazingira yeyote ambayo yanakufanya usipokee simu, kwa sababu una uhuru wa kutumia simu yako.

Lakini unakutana na mbongo ambaye hana kiasi. Yeye akili yake inamtuma akupigie simu mpaka upokee, anapiga simu hata mara 10. Ajabu ni kwamba hana hata jambo la dharura na kwamba angekupigia mara moja kisha baadae ukiwa free umpigie. Hata common sense tu ya kwamba ngoja niache sms imsaidie kujua kiasi kuhusu shida yangu.

Inakera sana kuona mtu anapiga simu nyingi mfululizo bila sababu ya msingi. Kama simu yako haipokelewi tulia, missed call moja au mbili zinatosha
Hapa nilipo kuna jitu limeshapiga hata mara kumi tena mfululizo
 
True story imenitokea a few days ago:
Kuna jamaa Fulani alikuja kwangu nikamkopesha hela kiasi kaweka kitu cha bond ili siku ikifike alete pesa yangu nimpe kitu chake!
Jamaa kakaa muda umekwisha zaidi ya miezi miwili hajaleta pesa yangu!
Nampigia simu siku ya kwanza Mara tatu kwa nyakati tofauti saa 1, 4 na 12.. mara hajapokea zote! Siku inayofuata nikapiga tena Mara 3 nyakati tofauti bila majibu! Siku ya tatu nikapiga Mara 2 bila majibu , napiga simu ya tatu AKAPOKEA tukasalimiana
Namuuliza kwanini nmekupigia simu Mara nyingi hupokei?
Akajibu "usinipangie matumizi ya simu yangu, njua unanidai una dhamana yangu hela yako ntakupa nikipata ,usininyime raha Wala kuingilia Uhuru wangu kisa unanidai" kusema ukweli nilifokea afu mtu anabainisha kuwa sijui kazi yake pengine alikuwa bize muda wote huo !
Sasa swali linakuja kichwani mwangu kwamba huyu bwana hata kam anafanya kazi gani je, anawezaje kuwa bize muda wote huo? Ina maana siku zote hizo hajashika simu yake?
Ukienda ndani zaidi utagundua kuwa watu sio waungwana
Anaweza kuwa hakuwa busy muda wote, ila simu zako nyingi zikamkera akazira kupokea. Mtu anaweza kupiga nisipokee lakini nikajisemea tea time nitampigia ngoja nimalizie kimeo. Lakini akapiga hata mara 5 basi hapo ajue ndio sitawasiliana naye mazima
 
Back
Top Bottom