Huu ndio ukweli mchungu...hata wanawake we need peace kwakweliMwanaume anakaa mahali anapopata PEACE OF MIND yani hata uwe na shape nzuri vipi na unajua kupika vipi pia Chumbani unaikatikia kama feni lakini dada mwanaume Humpi amani yani wew ni kumvuruga tu bhasi jua ipo SIKU ATAKUACHA bila taarifa.
Haileti maana.Maisha mafupi sana kukaa unagombana na Mkubwa mwenzio kila siku bila sababu[emoji3][emoji3]
Yaah yani mahusiano ya Kuleteana fujo bila sababu ya msingi sio kabisa japo kweli kuna ile Kuvurugana sometimes kwa sababu za maana.Hata wanawake tupo Kama mlivyo wanaume, Sipendi kabisa Kero!!yaani nikiwa na mtu ananifokeafokea kila saa namshangaa Sana atachoona hapo Ni vumbiiii tu
Ulikuwa rafiki mwema tu mpaka pale mapenzi yalipokuharibu..!!
Mtanie basi mkiwa pamoja tuone reaction yake itakuwaje! Vya mbali havinogi ujuwe!tukiwa pamoja anatamani akalipe mahari mara mbili..!!
Wengine inakuwa hujui kama unataniwa, wewe unajua tupo serious lakini Mimi naenjoy..!! Msalimie mtani mwenzangu.!
Hahahahah nilichojifunza kwenye maisha kuna wanawake wana sense kama za kiume ila wachache mno!Hata wanawake tupo Kama mlivyo wanaume, Sipendi kabisa Kero!!yaani nikiwa na mtu ananifokeafokea kila saa namshangaa Sana atachoona hapo Ni vumbiiii tu
aliyetukutanisha.!
Kweli Mimi nahisi ninazo hizo sense zenu Aisee sitaki maujingajinga.....Kuna mmoja Hadi Leo anaulizaga hivi nilikukosea nini?Sina hata muda wa kujibu Upuuzi wake😂😂😂😂maana hachelewi kuanza drama.....Hivi unajua Kuna wanaume wenzenu wanaletaga drama za kulia?Hahahahah nilichojifunza kwenye maisha kuna wanawake wana sense kama za kiume ila wachache mno!
Halafu kuna wale ambao wana bitchiness to the max! Yani mwanamke anakuwa msumbufu tu automatically anapenda drama za kijinga na kupigizana kelele on a daily!
Moja kati ya dalili za mleta uzi ana kaushetani moyoni mwake...Kiufupi furaha yako ni kuona mtu kakasirika sio?
Akikasirika na ukazidi kumkasirisha mwisho wa siku mnamalizaje?
Sipo kundi hilo my dear, ahsante kwa kushiriki pia..!muwe mnamaliza hamu za wenzi wenu,,,uzuri mimi wa kwangu anamaliza so sina sababu ya kumkasirisha,,,mimi nikiona amekasirika na mimi naumia
ila kiufupi kuna wale watu deep down wana roho mbaya bila kujijua,,,wakiona unafeli au unateseka ndio furaha yao,,mtoa mada labda yuko kundi hilo,,,aombe Mungu amsaidie kuondokana na hiyo tabia
ni mawazo yangu tu
Hahaha..Mwanaume anakaa mahali anapopata PEACE OF MIND yani hata uwe na shape nzuri vipi na unajua kupika vipi pia Chumbani unaikatikia kama feni lakini dada mwanaume Humpi amani yani wew ni kumvuruga tu bhasi jua ipo SIKU ATAKUACHA bila taarifa.
Hujapenda we phaller..!!Sijui labda Wanaume tupo tofauti ila Mimi huwaga ni mwepesi sana wa Kumpotezea mtu yani Naweza kukupenda kufa lakini Ukileta drama za kifala na kunikosesha amani unaweza hisi sijawahi kukupenda kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]