Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

He's doing that kwa her significant other ONLY ila ingekuwa anafanya kwa kila mtu basi angekuwa kwa category ya wale wa grandiose

Ila asipoangalia anaweza akawa
Mazee mbona tunaombeana maombi mbaya hivyo.! SIWEZI KUWA narcissist aiseeh'..!
 
Kweli Mimi nahisi ninazo hizo sense zenu Aisee sitaki maujingajinga.....Kuna mmoja Hadi Leo anaulizaga hivi nilikukosea nini?Sina hata muda wa kujibu Upuuzi wake😂😂😂😂maana hachelewi kuanza drama.....Hivi unajua Kuna wanaume wenzenu wanaletaga drama za kulia?
Hahahahahah wanaume wenye bitch dependency wapo😅...Hahah

Kulia ni highest degree of mismanagement ya hisia zako. Mwanaume kumlilia demu ni utoto sababu huna control na upendo wake kwako😅
 
Hiyo ni disorder, tena akilini.
Hawaeleweki hawa viumbe
Kuna mmoja yeye starehe yale ni kupigwa makofi.
Zikipita siku3 bila kuzabuliwa makofi atatafuta chokochoko yoyote mradi atiwe makofi, hata kitandani anakwambia kabisa kitombo kwake hakinogi bila ya kumpelekea na makofi.
 
Pole. It's all fun and games when you're doing to the other person. But when the tables turn...quick question: je wewe ungependa mtu akufanyie hayo unayofanya?
afanye tu, na kama nampenda ndiyo sitajali..!
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Na wewe kwa drama zako atajutaa....imagine anakuja kunililia nisipenda drama nabaki namshangaa tu
Haha,
atalia, atanyamaza kisha atalia tena..!!
 
Hawaeleweki hawa viumbe
Kuna mmoja yeye starehe yale ni kupigwa makofi.
Zikipita siku3 bila kuzabuliwa makofi atatafuta chokochoko yoyote mradi atiwe makofi, hata kitandani anakwambia kabisa kitombo kwake hakinogi bila ya kumpelekea na makofi.
Haha.
Hatueleweki lakini ndiyo mnatupenda kufa..!!
 
That's it!
Wanawake ni kama watoto wanapenda kufanya mambo ili kukupima uanaume wako.
Ndio maana inashauriwa kumchapa japo mara 3 kwa mwaka, mtu kama huyu mtoa mada akiendelea kukufanyia hivi halafu unaishia tu kupanik mwisho anaanza kukuona kama Shosti wake, atakufanyia vitimbwi hadi upagawe.

Kama kuna reasons zinazokusukuma kumchapa Mwanamke mchape kweli na sio kumgusagusa... Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe[emoji124][emoji124][emoji124]
Factor......
 
Back
Top Bottom