Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Narcissistic behavior. Kisaikolojia ni ugonjwa huu.
 
ya kwake ni vise versa, huwa upande mmoja unachukia while mwingine unafurahia

sijapenda mimi namuombea Mungu ambadilishe
Hahaha..
Ahsante dear, na uwe serious na maombi kweli tafadhali..!!
 
wanawake wa sasa wagomvi sana, sio wa kwenye ndoa tu hata michepuko, zamani michepuko ilikuwa tulizo la moyo ila kwa sasa maisha yamebadilika
Hahaha..
mpaka kina Mwita mnavurugwa sikuhizi.? Kwisha habari yenu..!
 
Msichokielewa ni kuwa napenda tu kumuona kamind kisha anakuwa mkweli na anapambana kutetea penzi, basi me moyo burudani.. Nimeishi na wazazi wa kawaida kabisa.!
 
Naomba nikutane na mmoja atalia mpaka kamasi..!
 
Zinaanzaga ludodoludodo hivyo. Kikawaida mwezio akiwa anaumia unatakiwa uimpathaizi sio kucheka. Aka kana tendency hiyo, believe me.
He's doing that kwa her significant other ONLY ila ingekuwa anafanya kwa kila mtu basi angekuwa kwa category ya wale wa grandiose

Ila asipoangalia anaweza akawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…