Urafiki tushaufuta walaqhi'..!
Mazee mbona tunaombeana maombi mbaya hivyo.! SIWEZI KUWA narcissist aiseeh'..!He's doing that kwa her significant other ONLY ila ingekuwa anafanya kwa kila mtu basi angekuwa kwa category ya wale wa grandiose
Ila asipoangalia anaweza akawa
Hahah ....Inategemea tu na suluhisho tutakalofikia..! Aidha liwe a ama b,
Ifu yu no, yu no.!
Mmh I see [emoji848]Kuna watu huwezi kutupiga by nature, tumeumbwa tu kupendwa.!
Analysis is based on ulichoandika,, hakuna aliyeamini ila nimedraw conclusion ya ulichokisemaUsiamini kila unachokisoma mtandaoni.!
ππππππππππππππNa wewe kwa drama zako atajutaa....imagine anakuja kunililia nisipenda drama nabaki namshangaa tuNaomba nikutane na mmoja atalia mpaka kamasi..!
Hahahahahah wanaume wenye bitch dependency wapoπ ...HahahKweli Mimi nahisi ninazo hizo sense zenu Aisee sitaki maujingajinga.....Kuna mmoja Hadi Leo anaulizaga hivi nilikukosea nini?Sina hata muda wa kujibu Upuuzi wakeππππmaana hachelewi kuanza drama.....Hivi unajua Kuna wanaume wenzenu wanaletaga drama za kulia?
Pole. It's all fun and games when you're doing to the other person. But when the tables turn...quick question: je wewe ungependa mtu akufanyie hayo unayofanya?Hizi behavior mnanibandika nazo Leo, anyway, I ain't one..!
Hawaeleweki hawa viumbeHiyo ni disorder, tena akilini.
Kipigo kitahusikaπ ku restore settingsUkuniletea pigo za ajabu ajabu lazima nikudunde
Ni zaidi ujinga!Yaani jibaba lenye swagger hizo natamani nilikate kata funua sema ndio uwezo SinaπHahahahahah wanaume wenye bitch dependency wapoπ ...Hahah
Kulia ni highest degree of mismanagement ya hisia zako. Mwanaume kumlilia demu ni utoto sababu huna control na upendo wake kwakoπ
Haha.Hawaeleweki hawa viumbe
Kuna mmoja yeye starehe yale ni kupigwa makofi.
Zikipita siku3 bila kuzabuliwa makofi atatafuta chokochoko yoyote mradi atiwe makofi, hata kitandani anakwambia kabisa kitombo kwake hakinogi bila ya kumpelekea na makofi.
Factor......That's it!
Wanawake ni kama watoto wanapenda kufanya mambo ili kukupima uanaume wako.
Ndio maana inashauriwa kumchapa japo mara 3 kwa mwaka, mtu kama huyu mtoa mada akiendelea kukufanyia hivi halafu unaishia tu kupanik mwisho anaanza kukuona kama Shosti wake, atakufanyia vitimbwi hadi upagawe.
Kama kuna reasons zinazokusukuma kumchapa Mwanamke mchape kweli na sio kumgusagusa... Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe[emoji124][emoji124][emoji124]