Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Hakika,
Mpe tu muda..!!
Yaaan jana tuu tumejadili hapa usiku limenikuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]amenipigia usiku kama saa 5 iv eti hajapata usingizi kabisa,namuuliza nn shida eti anawaswas ntamuacha,hadi analia eti nikampigia video call namuona analia,nmemuambia mchana ajitajd tuonane ntaweletea mrejesho n nyege au n kweli anahisi ntamuacha

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Utakuja kuachwa muacho mmoja... Matata hutaamini
 
inaonesha unapenda masihara, mapuuza na utani utani sana ee
 
Hawaeleweki hawa viumbe
Kuna mmoja yeye starehe yale ni kupigwa makofi.
Zikipita siku3 bila kuzabuliwa makofi atatafuta chokochoko yoyote mradi atiwe makofi, hata kitandani anakwambia kabisa kitombo kwake hakinogi bila ya kumpelekea na makofi.
Ona sasa,Watu wengi wanaumwa magonjwa ya akili,basi tuu huku bongo hawachukulii uzito sana ka wenzetu huko nje...
 

Bwan Sheikh nadhani hiyo yenu ilikuwa kimahaba kama kidali poo, tofauti na ya huyu imekaa kimapigano sana [emoji1][emoji1].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…