Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?



Guys,

Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.

Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.

Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.

Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.

Hivi hili litakuwa tatizo gani?
Nimesoma mada moja juzi humu jf nimejifunza kitu hiyo hali si ya kawaida nafsi yako imechukuliwa hivyo bac unakuwa unafanya vitu visivyo vya busara .omba sana mungu hiyo nafsi ikuondoke
 
Unajikuta Drama queen, kutana na niggas wanaoControl frame wakufunze tabia. They will punish your Bullshit.
 
Kuna ndugu yangu anatabia Kama yako.Mkiwa kwenye mikusanyiko ya kifamilia,mkanywa mkaanza kufurahi lazima aanzishe chokochoko na agombane na mtu ndo afurahi. Nimechoka na tabia yake na nilichoamua nitakua nakaa naye mbali.

Tukutane kwenye misiba na sherehe na nitakuwa busy na issue zangu.Nyumbani kwake nitaenda Kama kunashughuli ya kutukutanisha wanafamilia na nitaenda muda ambao shughuli inaanza na ikiisha tu naondoka.

Tabia nyingine zinakera!.
 
Hata hivyo mlishasema yenu matako akili mtatumia zakwetu!..
By the way itafaa zaidi ukutane na mtu ambae furaha yake ni kuona nundu ama damu nafikiri yatakuwa mapenzi ya heri kwenu..[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizo comments sasa lol
 
Haha.
Hivi Extro, una nini lakini..? Kwanini kila siku ban unapigwa wewe ndugu yangu.?? Ukirudi naomba nijibu una tatizo gani.???
Ni wivu tu hebu niambie neno chocco ni tusi kwa lugha na kamusi ipi?
 


Guys,

Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.

Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.

Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.

Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.

Hivi hili litakuwa tatizo gani?
Tatizo haujawahi kupigwa kwa ajili ya hiyo tabia
 
Ni wivu tu hebu niambie neno chocco ni tusi kwa lugha na kamusi ipi?
Kuna rafiki yangu wa utotoni kani save hivi sababu anajua napenda sana Chocolate, sasa naye ndiyo kashanitukana hivyo maskiini..!
 
Ukiwa busy na kazi zako wala hutakua na muda wa kuwaza kuanzisha ugomvi. #BeBusy
 
Back
Top Bottom