Kwa hili la pensi nakupinga Mkuu. Pensi hasa zile zenye mamifuko cadet, zile ni standard kabisa. Sio na vile vya kubana makalio vya juu ya magoti. Vile ni vya kichoko kabisa.Mimi sitofautishi.
Mwanaume mwenye Maadili havai pens Wala vikaptula hadharani.
Hili wimbi tukiendelea kuliacha bila kukemea, Mwanaume atatafutwa Kwa tochi siku Si nyingi.
Shangaa nawee hapo.Bongo ushamba bado ni mzigo mzito!
Kumbukeni babu zetu walikuwa wanaficha pumbu tu, huo utamaduni ni upi?
Na ukishajua itakusaidia nn? Ushoga ndo unakutesa hivyooo?Zamani hapakuwa na USHOGA uliokithiri.
Tunachokifanya ni kuchora line, tujue wanaume ni wangapi, na WA kiume ni wangapi!!
Hizo jamiii za kitanzania ndo zinapangia mtu mavazi au namna ya kuvaa?Jamii za kitanzania
Unaelezwa ukweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha ubishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora mumpe na uthibitisho huyu jamaa, akome kukurupukaNyerere mwenyewe alikuwa anavaa pensi wkt anafundisha Pugu, waalimu, askari polisi, magereza, matarishi, na wengine walivaa kaptula kama hawa maafisa wa mwanzo post independence, zipo chini au juu ya goti?
madc wote uniform zao zilikuwa kaptula! View attachment 2884982
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Honestly mimi nitakuwa nimepungukiwa maadili, binafsi naona zikiwa juu ya goti kidogo hazina shida, tena ME awe na miguu imekomaa kama mpanda milima weee! [emoji39]
Sorry, mmesema huu uzi wa wanaume enhe?
Jamii ipi?Wanaaharibu jamii
Huyo jamaa vinjunga vilimkataa wallah, ana makasirikoBinafsi,sipendi mavazi yasiyo na staha. Lakini,kama mvaaji kaamua mwenyewe,unamtafuta ubaya wa nini? Leo hii,wapo wanaokaa na kujiachia,hata chupi hawajavaa. Utalalamikia wangapi?! Wapo wanaotembea na nguo za ndani tu. Si watoto,si wakubwa.
Kama ilivyo,kila mwanamke anavyovaa au maisha anayoishi,ana limbukeni anaempenda hivyo alivyo au alivyovaa,na mwingine humuomba avae hivyo hivyo.
Na kwa wanaume au watoto wenye uume, kina anaejiona akivaa hivyo,ndo anapendeza(anaetaka atazamwe au aongelewe).
Ameona wanaovaa mlegezo na nguo za dada zao hawana shida,ila pensi tuuu.
Mi nahisi hapa tatizo kubwa ni kuingilia uhuru wa watu au kuchunguza maisha yasiyomhusu.
Uchoko wao wee unawashwa na nn?Wengi wavaa vipensi public ni machoko
Siku hizi,ule mchoro ndo unalipa(sehem za dada zenu),kwa hiyo mijinga na yenyewe imeamua iwaige labda ipate hata hizo mia mia.HAjakataza kuvaa pensi ila kasema juu ya magoti!!!!!!!!!
Ili mjitofautishe na Mashoga.View attachment 2884786
Lies.Hizo pens za Heshima unazoziongelea hazipo madukani nowadays!!