Pensi bado nakupinga mkuu. May be kama wewe umetokea mikoa yenye baridi kali lakini kwa sisi wa Dar hapana. Unavaa jinsi kutwa nzima, joto kali, mambupu yanabana kwa kukosa hewa. Kuna muda you need to rest aiseeMimi sitofautishi.
Mwanaume mwenye Maadili havai pens Wala vikaptula hadharani.
Hili wimbi tukiendelea kuliacha bila kukemea, Mwanaume atatafutwa Kwa tochi siku Si nyingi.
Vijana waliozaliwa miaka hii wengi ni MASHOGA Kwa asilimia 95 %Utovu wa Maadili huo.
Acheni kuiga Kila mkionacho machoni,
Huo unaouita ujanja ndo unasababisha vitendo vya USHOGA kushamiri katika JAMII.
Vaa trucksuitPensi bado nakupinga mkuu. May be kama wewe umetokea mikoa yenye baridi kali lakini kwa sisi wa Dar hapana. Unavaa jinsi kutwa nzima, joto kali, mambupu yanabana kwa kukosa hewa. Kuna muda you need to rest aisee
Vile vinjuga mhhh hapana aisehSalaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na Mashoga.
Ni hayo tu!!
Wanawake hamruhusiwi humu.Vile vinjuga mhhh hapana aiseh
Bado ni yale yale tu kwa joto la Dar. May be nikuulize umri wako kwanza isije ikawa nabishana na babu yangu ingawa hata mzee wangu wa 76 years old kuna wakati anakula pensi na raba yakeVaa trucksuit
Sawa boss ngoja nitoe mironjo yanguWanawake hamruhusiwi humu.
Hiki ni kikao Cha kiumeni.
Ila Shaq .. ni big shaq
Kuna pensi na vipensi Shem BaeNimeshangaa sana mkuu, binafsi nikiwa home na mazingira yanayofaa ni mwendo wa pensi
Hii ni NYANYAPUZA sio KINJUNGAHizi ndio pensi zangu sasa, napiga sana hizi. Nadhani mleta mada anaongelea zile penzi za rangi rangi zile za kina Noel zile hizo kweli miyeyusho sana hizo
Huyo si anakuwa ameleft gender shem bae!!🤣Kuna pensi na vipensi Shem Bae
Unakuta Mwanaume kavaa kipensi kipo mapajani,kinambana, Makalio yamebanwa, kitu yake imebanwa, hadi fedheha.
Wanawake Wana taabu sana enzi hizi!!Kuna pensi na vipensi Shem Bae
Unakuta Mwanaume kavaa kipensi kipo mapajani,kinambana, Makalio yamebanwa, kitu yake imebanwa, hadi fedheha.
Kuna watu wanavaa hizo hizo pens na zinawabana sa sjui hawaskii jotoAcha ushamba wewe. Mi suruali navaa nikiwa naingia mjini tu. Ila mtaani, bar au sehemu za karibu mapiga tishet na pensi. Kujibana siwezi aisee
Pens ya kiume na ya kike sijawahi kuviona au kutofautisha.Kwa mazingira ya dar pensi naa tshit ni sawa ila alichopaswa aweke mtoa mada ni kuwa pensi ya kiume inapaaswa kuwa kati ya goti kwenda chini sio kuachia mapaja
Si ndiyo Shem Bae...Huyo si anakuwa ameleft gender shem bae!![emoji1787]
Mwanaume kuvaa pensi inabana hadi makalio, mapaja na "kitu yake" anatangaza nini hapo.
Ww sasa usijekuwa msabato huwa mnamamisimamo ya kipuuzi.swala ni mtoto wa kiume uchi wake unaanzia magotini mpaka kifuani .pia asivae nguo ya kubana.ila mengine chaguo la mtu mkuu uhai ni zawadi ya mungu unappaaswa uenjoy usivae suti ukiwa beach .Pens ya kiume na ya kike sijawahi kuviona au kutofautisha.
Pens ni mavazi ya chumbani. Kuyaleta.mavazi ya chumbani hadharani, ni utovu wa nidhamu na kukosa Maadili.
sawa ila sio mbaya mkisikiliza na ya upande wa pili wanawachukulia na kuwaonajeWanawake msiingie baraza la wanaume.
Tumawekana sawa wenyewe!!
Tatizo ni vipensi vya kuaachia mapaja ila hii niambie inashida gani mtu katoka na familia yakeDunia inaenda kasi sana wanaume nao wanavaa pensi na kusifiwa miguu kama pisi...