Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Wakati wa awamu ya kwanza,Mwalimu Nyerere,hakuwachekea wanaofanya upumbavu huo na unao fanana na huo.
 
Hizo pens za Heshima unazoziongelea hazipo madukani nowadays!!

Saiz vipo vikaptula vinavyobana maungo ya uzazi ,juu ya magoti, mapaja nje.

Na jinsi wanavyopenda chips, mapaja yanametameta.

Bahati yetu Sina mamlaka,

Mngekoma!!
Sasa hapa ndio umeonyesha ushamba wako. Pensi za heshima zipo kibao na ndio hizi tunatamba nazo mtaani
 

Ok lete reference fasta, picha, video, links etc, otherwise ni imani yako tu na utunzi najua kila mbongo msanii siku hizi!
 
Hahahaha, daaah
 
Wakati wa awamu ya kwanza,Mwalimu Nyerere,hakuwachekea wanaofanya upumbavu huo na unao fanana na huo.

Msimsigizie mzee watu mwacheni apumzike zake tu, we vaa unavyotaka waachie wengine pia wajiachie watakavyo hayakuhusu! Vaa kanzu, gauni, chupi, gunia kivyako tu acha watu wafanye maisha yao kule mzee, usijipe stress na maisha ya watu wengine!
 
Duh. Sema makalio. Viungo vipi. Sema tu nina vistiki,ningekuwa na miguu ya kueleweka, ningevaa
nafikiri umeelewa ninachomaanisha acha ufukunyuku nitaje hayo maungo
nb
bora ulivyopewa hizo spoko maana ungeongeza idadi ya wavaa vipensi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…