adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Mkuu kuna wanaume siku hizi wana shape..chunguza vizuri.Vipi Wamasai wanaojitanda shuka mbili lakini tako bado liko wazi; na anakatisha mtaani tu bila wasiwasi?
Mimi navaa kaptula nzuri za kishua nafunga na mkanda. Na huwa nasifiwa na akina mama kuwa napendeza sana pamoja na uzee wangu wa miaka 77.
Fanya ukipendacho ali mradi huvunji sheria vinginevyo ukitaka kumfurahisha kila mtu utapata tabu sana nyandone 😁
Kazi gani? Mwanaume rijali hana muda na habari za wanaume. Niache mambo ya msingi na wanawake wakali nianze kujiuliza maisha ya wavaa pensi.Rabbon Yuko kazini.
Hizi hazina shida, shida ni vikiwa vifupi sana juu ya magoti haipendezi kwa mkakaHizi ndio pensi zangu sasa, napiga sana hizi. Nadhani mleta mada anaongelea zile penzi za rangi rangi zile za kina Noel zile hizo kweli miyeyusho sana hizo
Si ndo Bongo iko hii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maisha yakupangiana ni ya ajabu saana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HAjakataza kuvaa pensi ila kasema juu ya magoti!!!!!!!!!
Ili mjitofautishe na Mashoga.View attachment 2884786
Kwani wakivaa wao wee unaumia nn? Na hata wakiwa mashoga wee unapungukiwa kipiii?Mimi ni mtumishi,
Siwezi weka picha. Ila pens juu ya magoti mnaziona mtaani na kuchukulia kawaida,
Huko zilikotoka wanavaa mashoga.
All in all Mwanaume kuvaa pens mwisho chumbani baas!!
Salaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.
NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.
Ni hayo tu!!
Wanaaharibu jamiiKwani wakivaa wao wee unaumia nn? Na hata wakiwa mashoga wee unapungukiwa kipiii?
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani,pens kwa mwanaume, na skin taiti kwa wanawake kipi cha ajabu? Unawaonea aibu!! Mambo yoooote,umeona yako sawa,kasoro kuvaa pens! Maadili gani huvunjwa mtu anapovaa pens!
Mbona wa Brazil wanavaa tu chupi na sidilia,wanatembea?! Mbona hujalalamikia mama na dada zako wanaocheza vigodolo! Hao ndo wapo sawa eh!!!
Kama prophet Lovy longomba mpwa wake na awiloUnakuta Mwanaume kavaa pens juu ya magoti inabana,
Makalio yote yanaonekana.
LAANA tupu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] paragraph ya mwisho, umemaliza kila kituVipi Wamasai wanaojitanda shuka mbili lakini tako bado liko wazi; na anakatisha mtaani tu bila wasiwasi?
Mimi navaa kaptula nzuri za kishua nafunga na mkanda. Na huwa nasifiwa na akina mama kuwa napendeza sana pamoja na uzee wangu wa miaka 77.
Fanya ukipendacho ali mradi huvunji sheria vinginevyo ukitaka kumfurahisha kila mtu utapata tabu sana nyandone [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni NYANYAPUZA sio KINJUNGA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa dada kipensi avae mwingne, fedheha uone wee? Kwelii?Kuna pensi na vipensi Shem Bae
Unakuta Mwanaume kavaa kipensi kipo mapajani,kinambana, Makalio yamebanwa, kitu yake imebanwa, hadi fedheha.
Tena wanapiga chapuo, ikija Ushoga wanapovukwa na kuhemkwa balaaa.Wabongo na maadili uchwara huko chumbani ni kufira wanawake!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani muwaache bhana.Ni fasheni kwasasa,. Kama huku kwetu wengine wanavaa yaan na tumiguu Sasa Kama fito.
Binafsi,sipendi mavazi yasiyo na staha. Lakini,kama mvaaji kaamua mwenyewe,unamtafuta ubaya wa nini? Leo hii,wapo wanaokaa na kujiachia,hata chupi hawajavaa. Utalalamikia wangapi?! Wapo wanaotembea na nguo za ndani tu. Si watoto,si wakubwa.Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema mama ako, usisemee mama wa wenginee.Nikwambie,
Mama zetu huumizwa sana kuona mtoto wa kiume akivaa mavazi yasiyo na Maadili kuliko hata wa kike.