Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Huyo jamaa vinjunga vilimkataa wallah, ana makasiriko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha kwa hiyo,wale wazee wanaotembea na vinguo sijui wanaita msuri,hawajielewi eh! Kama kungekuwa na uwezekano wa kurudisha siku nyuma,watu wakishaulika,wakiona aibu,hii mada ingeweza kuwa msaada mkubwa. Leo hii,mwanamke anajidanganya akijichubua ndo atapendwa, hapo hapo mshikaji nae anajiona akitoka na pajama,amefit na kuwa kioo. Wanamchukulia hivyo,mwambie sasa uone mvua ya matusi itakayokushukia.
Mchina nae anajua,wa Afrika ma Zombi, ndo pa kupiga hela,anatengeneza hivyo vipensi na anauza.
Vya kukemewa ni vingi,na kila mtu huwa na style yake,binafsi naweza vaa hizo pensi kuliko hizo jeans.
 

Attachments

  • La_Haute_39048_600x.jpg
    La_Haute_39048_600x.jpg
    22.6 KB · Views: 3
  • GINGTTO-Men-Skinny-Jeans-Stretch-Casual-Slim-Fit.jpg
    GINGTTO-Men-Skinny-Jeans-Stretch-Casual-Slim-Fit.jpg
    14.8 KB · Views: 3
  • Men-s-Skinny-Ripped-Jeans-Plaid-Patchwork-Denim-Trousers-Hip-Hop-Print-Jogging-Pencil-High-Qua...jpg
    Men-s-Skinny-Ripped-Jeans-Plaid-Patchwork-Denim-Trousers-Hip-Hop-Print-Jogging-Pencil-High-Qua...jpg
    97.1 KB · Views: 5
Salaam,Shalom!!

Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,

Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.

TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?

Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!

Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.

NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.

Ni hayo tu!!
Siku hz hata wasanii (sio wanamuziki) kila akiimba wimbo lazima arekodi akiwa kifua wazi kutuonyesha six pack. Hii tabia inakera sana.
 
Kwa hiyo huyo jamaaa apo ni punga???
Ndio! Na ndio maana nakwambia usivae pensi vipaja wazi ili ujitofautishe nae
Sawa, Ila kwann tupangiane??

Hivi Mimi nikianza kukupangia utajisikiaje? Let's say nakuambia kuanzia Leo ephen usivae taiti maana zinabana saana.

How would you feeel
Sikupangii! Endelea kuvaa vipaja wazi halafu kinakubana kwa nyuma
 
Ndio! Na ndio maana nakwambia usivae pensi vipaja wazi ili ujitofautishe nae

Sikupangii! Endelea kuvaa vipaja wazi halafu kinakubana kwa nyuma
Namimi nikksema wanawake wanaovaaa suruali na vipedo plus vikuku wanajuza Kwa hiyo muache kuvaa nitakuwa nimekosea???
 
Namimi nikksema wanawake wanaovaaa suruali na vipedo plus vikuku wanajuza Kwa hiyo muache kuvaa nitakuwa nimekosea???
Hujakosea! Ushawahi kuona mke wa mtu amevaa kipedo mapaja wazi?
Mwanamke mwenye akili timamu anatembea mapaja wazi haraka akili itafikiria anajiuza
Na ndio maana ukienda kimboka wanawake wanavaa mapaja wazi kuvutia wateja.

Mavazi humtambulisha mtu, ukiona nguo za bakabaka unajua mwanajeshi, koti jeupe daktari, kipensi makalio yamebanwa mapaja nje shoga, mwanamke mapaja wazi malaya
 
Salaam,Shalom!!

Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,

Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.

TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?

Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!

Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.

NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.

Ni hayo tu!!
Nakazia.
 
Hahahahaha kwa hiyo,wale wazee wanaotembea na vinguo sijui wanaita msuri,hawajielewi eh! Kama kungekuwa na uwezekano wa kurudisha siku nyuma,watu wakishaulika,wakiona aibu,hii mada ingeweza kuwa msaada mkubwa. Leo hii,mwanamke anajidanganya akijichubua ndo atapendwa, hapo hapo mshikaji nae anajiona akitoka na pajama,amefit na kuwa kioo. Wanamchukulia hivyo,mwambie sasa uone mvua ya matusi itakayokushukia.
Mchina nae anajua,wa Afrika ma Zombi, ndo pa kupiga hela,anatengeneza hivyo vipensi na anauza.
Vya kukemewa ni vingi,na kila mtu huwa na style yake,binafsi naweza vaa hizo pensi kuliko hizo jeans.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jeans enyewe siku hizi zinabana na zingne zina michano. Woiiiih
 
Back
Top Bottom