Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Kabla ya uhuru enzi ya ukoloni walivaa,

Nyerere alibadili tulipojitawala.
Ilibadilika mwaka 1964 kuelekea 65 baada Ya Jeshi la King'S Riffle kuondolewa kutokana na kutaka kumpindua mwamba..

So likaanzishwa jeshi jipya JWTz japo mwanzoni walikuwa wanavaa Hivyo hivyo ila baadae walibadili kutokana na kutaka kuwa tofauti..
national-museum-ww1-at-liberty-memorial-1983-166-12.jpg
images.jpeg
The_National_Archives_UK_-_CO_1069-144-3.jpg

Screenshot_20240128_100040_Chrome.jpg

The_National_Archives_UK_-_CO_1069-144-3.jpg
 
heading unakataa pensi, habari inakataa pensi juu ya magoti...hausomeki.

Iki hivi pensi/kaptula haina shida kabisa ilimradi iwe ya staha. Unaweza ukavaa kisuruali bana msuli na nyeti zikavimba naukaonekana wa hovyo. Hoja ni kuvaa mavazi ya staha, bila kujali ni pensi au suruali!


Unless wewe ni msabato, kaptula hazina shida!
 
Kwa hili la pensi nakupinga Mkuu. Pensi hasa zile zenye mamifuko cadet, zile ni standard kabisa. Sio na vile vya kubana makalio vya juu ya magoti. Vile ni vya kichoko kabisa.
Ndo inabidi tukemee,

Wapo vijana WADOGO, Si machoko, bt wakiangalia wasanii Kwa tv wamevaa, nao wanaiga wakidhani ni fashion.

Sikuizi hizo pens za cadet ndefu wanaume wengi hawavai, wanaangukia kwenye hivyo vinjuga lakini vya kubana nyeti!!

Nani wa kusimama kupiga kelele juu ya ubaya huu?
 
heading unakataa pensi, habari inakataa pensi juu ya magoti...hausomeki.

Iki hivi pensi/kaptula haina shida kabisa ilimradi iwe ya staha. Unaweza ukavaa kisuruali bana msuli na nyeti zikavimba naukaonekana wa hovyo. Hoja ni kuvaa mavazi ya staha, bila kujali ni pensi au suruali!


Unless wewe ni msabato, kaptula hazina shida!
MADA inaeleweka.
 
Comment No 205, Kuna picha yenye pens isiyo na Maadili.

Watoto wetu wavulana nao wanaiga skuizi wakidhani ndo fashion, wanashindwa kutofautisha.
🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌
Mkuu hapana kwa hiyo pensi huyo kaleft group kitambo sana🤣🤣🙌🙌
 
Mwanamke anayevaa nguo za mapaja wazi, na huyu anavaa vizuri ila ni Malaya yupi ana afadhari? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah!!!! 😂😂😂😂😂,hivi cocastic ,kuna mwanamke siku hizi hadangi?
Sema tu hawakubali,hata upige na kitu kizito.
Kina furani hujifanya walokole,wanaongea mambo ya maana,pumba za JF ni upupu mwanzo mwisho, ma single m....na mitoto kama 4 😁😁😁😁
 
Dah!!!! 😂😂😂😂😂,hivi cocastic ,kuna mwanamke siku hizi hadangi?
Sema tu hawakubali,hata upige na kitu kizito.
Kina furani hujifanya walokole,wanaongea mambo ya maana,pumba za JF ni upupu mwanzo mwisho, ma single m....na mitoto kama 4 😁😁😁😁
Wanaume acheni kuwakaribisha wanawake kwenye kikao Cha wanaume.
 
Naona wavaa vikaptura wanavyomshukia mleta mada kama Mwewe anayewinda kifaranga cha Kuku.
 
Back
Top Bottom