Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Kizazi cha FaraohAcha ushamba wewe. Mi suruali navaa nikiwa naingia mjini tu. Ila mtaani, bar au sehemu za karibu mapiga tishet na pensi. Kujibana siwezi aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizazi cha FaraohAcha ushamba wewe. Mi suruali navaa nikiwa naingia mjini tu. Ila mtaani, bar au sehemu za karibu mapiga tishet na pensi. Kujibana siwezi aisee
Woiiiiiiih hebu sema kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],hivi cocastic ,kuna mwanamke siku hizi hadangi?
Sema tu hawakubali,hata upige na kitu kizito.
Kina furani hujifanya walokole,wanaongea mambo ya maana,pumba za JF ni upupu mwanzo mwisho, ma single m....na mitoto kama 4 [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
😃Wewe ni mwanamke au Mwanaume?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa binti yako kupata mchumba shoga tatizo lako nn? Una uelewa finyu kuhusu ushoga.Ukivaa chumbani hakuna atakayekubughudhi,
Ukivaa hadharani lazima niruke nawe,
Nisipokemea TABIA hizi, Binti yangu anaweza kupata mchumba shoga ikawa laanatul!!!
Wewe unaelewaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa binti yako kupata mchumba shoga tatizo lako nn? Una uelewa finyu kuhusu ushoga.
Hana ajualo huyo ni wa kumpuuza tyuuh.Watu Wana generalize saaana
Nna uelewa mpana kuhusu ushoga, na Leo cna mda wa kushusha gazeti kuhusu hilo.Wewe unaelewaje?
JamaniKINJUGA KUVAA MWANAUME NA KUTOKA ROAD NI USHONGA
NO DISCUSION..
Usidharau KAZI ya dalali,Nna mpensi nyanya wangu huo
Naupigaga na sneaker juu napiga t-shirt na kofia flani zile za kama ally choki ukiniona nakuja kama Malecela son American nigga you know
HUTAKAA UJUE MIMI NI DALALI
Siku Si nyingi, utaadhibiwa,Naweza kuwa yeyote hapo inategemea na muda, mazingira na tukio.
DAlali nitajie gharama ya kumla Uwoya.Nna mpensi nyanya wangu huo
Naupigaga na sneaker juu napiga t-shirt na kofia flani zile za kama ally choki ukiniona nakuja kama Malecela son American nigga you know
HUTAKAA UJUE MIMI NI DALALI
Amen🙏
Huyu kaleft huyu 😁😁😁
Yaani uvae hii kofia afu nisitambue kua wewe ni dalali?Nna mpensi nyanya wangu huo
Naupigaga na sneaker juu napiga t-shirt na kofia flani zile za kama ally choki ukiniona nakuja kama Malecela son American nigga you know
HUTAKAA UJUE MIMI NI DALALI
Mimi ni dalali wa majumba na viwanja Ununio mikocheni masaki sio Dalali wa TelegramDAlali nitajie gharama ya kumla Uwoya.