Tabia ya waumini wengi wa KKKT kuondoka kabla ya ibada kuisha, Ni ishara kanisa linahitaji mabadiliko makubwa ya uendeshaji wa ibada

Unaelewa maana ya kukaa na kupanga? Ushasema wanakaa na kupanga sasa unataka makao makuu yapange hadi muda wa kutoka.
Yn ww unaumia kuona hakuna mtu mmoja kuongoza makanisa yote duniani kama kwenu Katoliki 😂
 
Wanapata faida. Mfano huo mchele kilo moja unaweza ukapigwa mnada ukauzwa 15,000.
 
Mimi wanaonikera ni kwaya, yaani wanapewa nafasi waimbe waanza sijui kutafuta wimbo kwenye flash, wanapoteza muda kinoma. Sometimes wanapewa waimbe kwaajili ya sadaka sasa unakuta utoaji wa sadaka umeshaisha ila wao wanaendelea tu kuimba badala ya kukatisha wimbo
 
Msemaji wetu wa majobless ndugu makutupora hapa umeupiga mwingi. Amani ya Bwana iwe nawe mkuu
 
Ni upumbavu mkubwa kumfuatilia Imani isiyo yako!
 
Shukrani ya neno
Huku tena shukrani ya week
Huwa sielewi
 
Ni upumbavu mkubwa kumfuatilia Imani isiyo yako!
Ukristo wa kweli tunaujua jibu maswali kama ni uongo ...toa hoja ...ni Yesu au mtume au nabii gani aliye badilisha heshima ya nyumba ya mungu ya ibada hadi watu wakaingia na viatu na kukaa vitini .....mimi nimetoa elimu isiyo na shaka kuhusu nini kilicho tokea .....
 
Duuuh 🤣🤣🤣 mna muda wa kusubiri wachelewaji??
Sasa si mchelewe wote ibada ianze saa3???
 
Acha kuingiza uislamu kwenye huo upuuzi na upumbavu wenu.
We huo upumbavu ulooletwa na waarabu unaona luluu, we pimbi ndio maana mbadharauliwa ngozi nyeusi. Waislam mnajipendekeza kwa waarabu pamoja na ukatili na udhalilishaji mnaofanyiwa. Uislam ni mbinu ya kuwapumbaza waafrika km wewe.
 
Hilo la kuzunguka kutoa sadaka mara nyingi sharika zingine nalo walitazame kwakweli ni kupoteza muda, kwetu ilitolewa tukaletewa bahasha moja ina partition unaweka sadaka zako zote humo kasoro fungu la kumi na shukrani ya pekee, kuzunguka ni mara moja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…