dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
nnayo tena nimenunua mapya juzi tu 😍 , hata siku 4 hayanaIli ukanunue mafuta ya kazi kazi😂😂😂
Tusubiri tena week ijayo, ili ukue serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nnayo tena nimenunua mapya juzi tu 😍 , hata siku 4 hayanaIli ukanunue mafuta ya kazi kazi😂😂😂
Tusubiri tena week ijayo, ili ukue serious
subiri nikasake mpya kule, kimya kimya😂😂😂
Haya twende selfika ukapate picha za warembo za kazi kazi
Stak uteseke😂😂😂😂
[emoji375][emoji375]Jiulize kwanza hapo mwanzo ulikuw unampigia simu Mara kwa Mara,Dada hivi upigi simu.
Huna hisia nae tena,hujisikii kummiss mwenza wako.
Mawasiliano hafifu
Chuki mda wote
Samahani naongezea... "Kukatiwa simu, kujibiwa mikato na mashushu au kutumika night kali"Kuacha kupokea simu na kujibu sms.
Alafu we Selebonge miyeyusho ujue 😅Emu nieleweshe mi sijaelewa swali linataka jibu gani kwani?
mbona PM ipo wazi aisee, leo kule naona stori tu, tam tam sizioniUkikosa uniambie kuna moja nimepata nimekuhifadhia😂😂😂
Nimecheka sana hii statement yako mkuu!ila wewe , dah 😆
Miyeyusho ipi tena mkuu?Alafu we Selebonge miyeyusho ujue 😅
oh yeah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ngoja nizelete
Anazileta nini mbon mnapeana wenyewe nyinyi?oh yeah
tulia hapo hapo kwanza,Anazileta nini mbon mnapeana wenyewe nyinyi?
[emoji1787][emoji1787] if you know you knowDalili hizo hizo ushaachwa jomba[emoji16][emoji16]
Acha zako wewe unataka upate peke yako?tulia hapo hapo kwanza,
em cheki The Last Stand ile ujione
kaa hapa hapaAcha zako wewe unataka upate peke yako?
Huyu hapa?kaa hapa hapa
Hata billgate alikua na mtizamo huu, ila kiko wapi sasa hivi...Mleta mada tafuta pesa...,
Ukiwa na pesa wanawake watakupenda by default..
Always remember: A RICH OLD MAN NEVER GETS OLD IN A YOUNG GIRLS' EYES.
Sasa hivi ndio basi tena anachemsha chai peke yake akimaliza analala peke yakeHata billgate alikua na mtizamo huu, ila kiko wapi sasa hivi...
Mapenzi ni mapenzi na pesa ni pesa
Pole sana njoo kwangu basiHatawasiliana na wewe, na ukipiga simu wewe anaongea ili mradi umalize umuache. Na kama unaonhgea sana..anabaki kukutafutia mazingira ukate sim. Inaniuma sana nikikumbuka