Tabora: Anayeidai TRA Milioni 986, Ramadhani Ntuzwe adaiwa 'kujiua kwa risasi'

Siku hizi wahalifu huanza kutoa habari kwanza kabla ya wahusika wa uchunguzi kutoa taarifa...
 
Katika kikao hicho, Ntunzwe alieleza mikasa miwili iliyomkuta dhidi ya TRA; kwanza kushikilia mzigo wake kwa miaka mitatu kwa tuhuma za kukwepa kukodi huku yeye akidai
kukataa kutoa rushwa ya Sh2milioni na mkasa wa pili ni kuibiwa mali zake zenye thamani ya Sh986 milioni katika duka lililopo Kariakoo baada ya TRA kulifunga kwa madai ya kutotumia mashine ya EFD.
 
Nimefanikiwa kumsikiliza huyu mfanyabiashara akielezea namna ambavyo sakata lake limeanza mpaka mwisho,
Kuna watu katika taasisi za umma ni wakatili sana,na sheria kali ndio dawa pekee,wengine ni kunyonga ili kila mmoja na amheshimu mwingine,
Nimewahi kusikia pia kati ya hao wafanyabiashara wakubwa ukiingiza mali inayoshabihiana na biashara zao ama kushindana na bidhaa zao watafanya kila namna ili wakupoteze kwenye ramani ya biashara,sijui kama lina ukweli!!

Nimepatwa na ghadhabu sana,nimeandika zaidi ya mara mbili
 
Dah ..uchawi.
 
HAIWEZEKANI UFE KWA STYLE HYO TENA UNA CHA MOTO,ANGEWAFUATA HUKO HUKO HAO WAZULAMAJI TRA WAFE NAO IKIWEZEKANA PIGAMOTO OFISI YOTE YA TRA KIGAIDI PAMOJA NAO NDANI NA IWE FUNDISHO KWA HAO MANYANGAU.PUMBAVUU KABISA.
Angekua ameondoka kishujaa sana
 
TRA ni matapeli wa walijivika mkaguzi mkuu CIG mwenyewe ni cha mtoto.ukipata kazi TRA sawa na wasiojulikana.
Mimi niliacha kufanya kazi ambazi nikiona kodi ni ya TRA naacha kabisa maana ni kutapeliana tu
 
Hii nchi kuwa mwekezaji mzawa tabu..kuwa tajiri bila kulamba makalio ya serikali tabu...yani ni tabu everywhere....
Ndio maana wengine tukila kiugali na mchicha basi🤲,
Hizo hela nazo ni tabu tu ukiwa nazo.
Uhai muhimu.
 
Hata kama umedhulumiwa lakini usifikie kufanya maamuzi hayo, haya umejiuwa faida yake nini umepata! Allaah S.W ameharamisha kujiuwa
Mbona Kuna waamini kibao wanajiua kwa ajili ya huyo ala
 
Huyu ndio yule Ambaye mpka nyumba yake ilikatiwa umeme?
TRA wakamfuata mpaka kwake usiku? Wakakamata na gari yake iliyokua na mzigo?

Kama ni kweli kajiua, amezingua, Sio kwa kujiua, ila kama imefikia mtu uamue kujiua, unaondokaje Mwenyewe uwaache watesi?

Kujiua tuu ni Dhambi huko uendako, Kuwaacha hai watesi hakupunguzi chochote, Zaidi angesaidia wengine unaowaacha..


Ila Amini, Kua Tajiri na huna connection na Serikali au ajira ya serikali nchi hii bado ni ndege aliekosa kiota,

Ndio naelewa, kwanini unakuta jitu lina pesa ndefu, ila haachi viajira vya serikali vyenye mshahara mdogo.
 
HAIWEZEKANI UFE KWA STYLE HYO TENA UNA CHA MOTO,ANGEWAFUATA HUKO HUKO HAO WAZULAMAJI TRA WAFE NAO IKIWEZEKANA PIGAMOTO OFISI YOTE YA TRA KIGAIDI PAMOJA NAO NDANI NA IWE FUNDISHO KWA HAO MANYANGAU.PUMBAVUU KABISA.
Hata Mimi ndio nilikuwa nawaza hivyo hivyo kwanini ajiue peke yake ?
Yaani Meneja na Meneja wa Kodi unawaomba kikao tena unawaambia kabisa tuje tuyaweke sawa hapo ofisini kwenu. Mnakaa wote meeting room unaanza kuwashona risasi za vichwa wote na Wewe unajimaliza tu. Amekufa Kinyonge sana huyu Jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…