Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Hiyo ni mada nyingine , Tujikite kwenye hoja hiiIla Mbowe kwenda Ikulu hauoni shida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni mada nyingine , Tujikite kwenye hoja hiiIla Mbowe kwenda Ikulu hauoni shida.
Kama mwananchi wa mkoa wa Tabora,kwani hujui Lipumba ni mnyamwezi?Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora, akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM, sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF, na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi, na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025, ambaye hata Chama chake hakijampitisha.
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia, bali tunachouliza ni hiki. JE. KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
Buguruni ofisi ya cuf chumba namba 8Hivi huyu borapesa makazi yake haswa ni wapi?
EeeenHeeee Heeee!Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora, akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM, sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF, na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi, na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025, ambaye hata Chama chake hakijampitisha.
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia, bali tunachouliza ni hiki. JE. KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
Hili halishangazi hata kidogo. Huyo Pasaka ni kifaa tu kinachotumiwa na yeyote anayeweza kulipa.Tetesi zinasema hata Pasaka Njaa anapokea bahasha kutoka kwa Makamo Mwenyekiti wa chama Dola.
Mbona Tabora kuna Wazee wengi sana waaminifu , imekuaje hadi huyu msaliti awakilishe wazee ?Kama kiongozi wa wazee wa mkoa wa tabora, lipumba Ni mwanaTabora
Kwahiyo analala ofisini?Buguruni ofisi ya cuf chumba namba 8
Jina la nyumba linategemeana na Matumizi yakeKwahiyo analala ofisini?
Mama kachoka mapema sana, Lipumba Akubalike Tabora tangulini?Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.
Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora, akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM, sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF, na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi, na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025, ambaye hata Chama chake hakijampitisha.
Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia, bali tunachouliza ni hiki. JE. KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
Aiseeee !!!Mama kachoka mapema sana, Lipumba Akubalike Tabora tangulini?
Hata Moshi mh Mbowe atahutubia
Kamati ya siasa ya upande ule ina kazi Sana KILA wakijalibu mpandisha mtu kisiasa hola, KILA wakizichanga karata wanaangukia puaUmoja upi ?
Ni mwenyekiti wa Taifa wa CUF, kama alivyo mwenyekiti anayeenda ikulu kushukuru.Hivi mkijibu hilo swali mtapungukiwa nini ?
Majibu haya hapaHiyo ni mada nyingine , Tujikite kwenye hoja hii