Tabora: Profesa Lipumba anahutubia kwenye Ziara ya Rais Samia kama nani?

Tabora: Profesa Lipumba anahutubia kwenye Ziara ya Rais Samia kama nani?

Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.

Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora, akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM, sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF, na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi, na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025, ambaye hata Chama chake hakijampitisha.

Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia, bali tunachouliza ni hiki. JE. KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
Kama mwananchi wa mkoa wa Tabora,kwani hujui Lipumba ni mnyamwezi?
 
Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.

Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora, akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM, sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF, na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi, na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025, ambaye hata Chama chake hakijampitisha.

Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia, bali tunachouliza ni hiki. JE. KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
EeeenHeeee Heeee!

Erythro. bhwanaah!

Unasahau dawa ya usingizi inayoenezwa nchi nzima wakati huu?

Misamiati ni maneno kama: Maridhiano, uelewano, unyenyekevu, umoja..., n.k., n.k.. Unaweza kuongeza maneno matamu mengine yote unayoyajua wewe, ili usingizi uzidi kuwa mnono zaidi, huku CCM ikizidi kushikilia mpini.

Hakuna ubaya wowote na maneno hayo, mradi tu anayetakiwa kuwekwa usingizini awe na fahamu za kutambua matumizi yake wakati huu.

Hivi hujui kwamba harakati za 2025 tayari zimeshaanza? Mtakapozinduka toka usingizini, tayari mwenzenu atakuwa shamaliza kazi!
 
Kama kiongozi wa wazee wa mkoa wa tabora, lipumba Ni mwanaTabora
 
Tetesi zinasema hata Pasaka Njaa anapokea bahasha kutoka kwa Makamo Mwenyekiti wa chama Dola.
Hili halishangazi hata kidogo. Huyo Pasaka ni kifaa tu kinachotumiwa na yeyote anayeweza kulipa.

Hata CHADEMA siku moja wakiamua kukitumia kifaa hicho, sitashangaa kuona kikiimba nyimbo za CHADEMA kama kasuku.
 
Hili ni swali ambalo Wajuzi wa Protokali mnatakiwa mtueleze ili sisi wengine tuelewe.

Rais Samia , ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, yuko kwenye ziara ya kikazi huko Tabora, akizindua miradi mbalimbali na kutembelea Ofisi na Matawi ya CCM, sasa kwenye ziara hiyo ameambatana na Ndugu Haruna Lipumba, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama kilichokufa cha CUF, na cha kushangaza zaidi Lipumba anapewa nafasi ya kuhutubia Wananchi, na kufanya Kampeni za Urais wa Samia 2025, ambaye hata Chama chake hakijampitisha.

Ikumbukwe kwamba hatuna shida yoyote kwa Haruna Lipumba kuhutubia, bali tunachouliza ni hiki. JE. KWENYE ZIARA HIYO LIPUMBA ANAHUTUBIA KAMA NANI?
Mama kachoka mapema sana, Lipumba Akubalike Tabora tangulini?
 
Hiyo ni mada nyingine , Tujikite kwenye hoja hii
Majibu haya hapa
JamiiForums551272482.jpg
 
Back
Top Bottom