DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Nisiwe mnafki binafsi ningeziona hizo picha ningefurahi sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unakuta kitoto kishatumika kila tundu halafu ukikutwa nae wanakupiga 30yrs.Hawa ndio wakutufanya tupigwe 30 Ukonga.
Sisiem na washkaji zenu rudini mzikague Sheria upya.
Mvua baba kwa kitu yuzd to the core.unakuta kitoto kishatumika kila tundu halafu ukikutwa nae wanakupiga 30yrs.
Lazima adhabu iwe kali, ili kwamba tukio hilo lisijirudie hapo shuleni na shule nyinginezo. Hao watoto wapo chini ya uangalizi ya shule wawapo shuleni na wazazi wakiwa nyumbani.Adhabu ni kali
Mtoto akiinywa harudii tena
Unatetea ujinga weweAdhabu kubwa kuliko kosa.
Sasa hapo kuna nini cha ajabu? Matiti hayo ndo mnaogopa?
Mbona wahadzabe wanatembea uchi manyonyo wazi bila shida!
Vitu vidogo sana, unamkanya tu.
Cc: Kapeace Kalpana Poor Brain Mbaga Jr binti kiziwi Bantu Lady
Mtoto laZima afanye makosaLazima adhabu iwe kali, ili kwamba tukio hilo lisijirudie hapo shuleni na shule nyinginezo. Hao watoto wapo chini ya uangalizi ya shule wawapo shuleni na wazazi wakiwa nyumbani.
Na kingine, wababa waambieni binti zenu mnawapenda kuepuka mambo ya aibu kama haya wanaanza uhuni bado wadogo tena wakiwa chini ya paa lako mwenyewe
damaged beyond repair.Mvua baba kwa kitu yuzd to the core.
Bora umeona za watoto wengine tunaona zilizokomazwa na gilleteWadau ndio waliniponza na macho yangu hayana pazia mkuu..😝
Kabisa huyu mama ana chuki zake binafsi kwa waziriWe samia hebu acha Nongwa.
Waziri umteue mwenyewe halafu uanze kumbagaza!
Tabia mbaya tu, unawafundisha nini wajukuu zako!
Halafu unataka Gwajima ndio awe mlezi wa maadili ya Tanganyika?
Watoto wakibomolewa vinyeo magetoni basi Gwajima ndio awajibike? Hata marekani watoto wanabomolewa.
Cha msingi ni kutunga sheria za kulinda watoto na kuzisimamia na kuwawajibisha wanaozivunja!! Nje ya hapo ni kumuonea tu Gwajima.
Halafu we bibi jiheshimu, sawa?
Cc: Kalpana Kapeace Mbaga Jr Poor Brain Extrovert binti kiziwi Bantu Lady
Inabidi nione hizo video, ili nione kama taifa ni wapi tumefikia.Niliziona zile video yaani..... watoto wanajua utadhani ndiyo masomo waliokua wamebobea...🙄
Atapata elimu sehemu nyingine. Sijui kwanini unatetea, ingekuwa wameshinikzwa labda kwa kutekwa au kuingiliwa kinguvu ingekuwa kitu kingine. Hii ya kujirekodi utupu na kutuma mataifa yaone sio sawa. Binti wa secondari ana umri wa 13-17 ni mdogo sana, ila hawana hata aibu? Inaonesha wamezoea kufanya uchafu. Huwezi kuniambia walikuwa hawajui kuwa ni kosa kubwa kwa mwili wake na ni kutia aibu wazazi wao. Ni kama kuwatukana wangali bado haiMtoto laZima afanye makosa
Kwani akiwa mwanao akajirekodi utamfukuza kwako?
Sio sawa, hawa watoto wapewe adhabu lakini kumfukuza shule ni kumnyima haki ambayo kila mtoto anapaswa kupata. Haki ya elimu
Kweli mkuu,wapewe adhabu nyingine na onyo Kali,wakirudia ndo wafikiriwe kufukuzwa shuleHiyo ni adhabu kubwa Kwa watoto
Tushajua ni watoto na walifanya utoto
Wawape adhabu hata ya viboko
Lakini wawape fursa ya kusoma tena
Mtu hubadillika, wanaweza kubadilika na kuwa wema
Sio hekima hiyo kumfukuza mtoto shule
😀😀😀 maana mtaani ndio watafanya biashara yao vizuriSasa mbona kwa kufanya hivyo ndio wamezidisha ttz
Mimi sio mtabiri lakini nina uhakika kuna vijana wa hovyo watataka iyo connectionNiliziona zile video yaani..... watoto wanajua utadhani ndiyo masomo waliokua wamebobea...🙄
Hao ni madogo wakae nao chini wawa rekebishe😀😀😀 maana mtaani ndio watafanya biashara yao vizuri