Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

Wasifikirie TEC kama kupambana na yule ZUMARIDI
 
Hapa ndio Kuna point kabisaaa.
 
Nimesikia fununu kwamba baada ya kuusoma waraka huo kwa wiki 6 wataitisha maandamano nchi nzima waumini wote wa kanisa katoliki watatakiwa kushiriki.
 
Nimesikia fununu kwamba baada ya kuusoma waraka huo kwa wiki 6 wataitisha maandamano nchi nzima waumini wote wa kanisa katoliki watatakiwa kushiriki.
Kwenye maandamano hawawezi thubutu. Wanajua balaa watakalokutana nalo.
 
Mahubiri yako peleka kanisani kwenu sio kwangu. Mimi nakuchukulia kama taahira.
 
Kwenye maandamano hawawezi thubutu. Wanajua balaa watakalokutana nalo.
Hahahaaa unavitu vingi huvijui wewe kaulize kongo maandamano ya aina hiyo yalisababisha nini

Sio kila kitu ni cha kutumia nguvu ujue yatakorogeka na yatanyweka vyema
 
TEC watumie busara zaidi maana hiki chama chakavu hakikawii kuwaita BAKWATA ili mgogoro wa kuligawa Taifa uanze.

Kuna kundi la UVCCM linawakusanya Mashehe huku TMK ni kusambaza sumu za Udini

Umoja wetu wa Kitaifa ni TUNU ya kujivunia.
BAKWATA WAKO VIZURI WANA AKILI,HAWATAWASIKILIZA
 
Kama TEC wana ubavu mbona kwa Magufuli walinywea.
Kwani ule waraka wa Pasaka ulikuwa wakati wa nani kama sio JPM au hua mnasahau baada ya wiki.JPM alimind weee wakamwambia ule waraka usomwe hadi kwenye jumaiya serikali ikabidi itulie tu yaishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…