OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Basi watapambana na gharika. Ndio maana mimi sitaki kabisa mliosoma mtaniharibia watotoMaisha yamebadilika. Watoto wa kike wa sasa hivi hawataweza kufanana na wale wa mwaka 47. Haitakuja kuwezekana hata siku moja. Wazazi wenyewe ndo sisi...hao hao tuliosoma.
Na watoto wako wa kike watabaguliwa hivyo hivyo maana watakuwa wasomi.Basi watapambana na gharika. Ndio maana mimi sitaki kabisa mliosoma mtaniharibia watoto
Bora iwe hivyo japo sisapoti kuliko kutoa lawama kwa mambo ambayo tunayapalilia kwa kizazi chetu.Inashangaza sana ,bora mimi ambae sitaoa kabisa ni mwendo wa kimasihara tu [emoji56].
π―Bora iwe hivyo japo sisapoti kuliko kutoa lawama kwa mambo ambayo tunayapalilia kwa kizazi chetu.
Hili ndio swali ambalo huwa najiuliza kila nikiona mada/comment ya mlengo huo.Ni kweli ke wasomi wengi ni changamoto.
Ila tunakoelekea ni kubaya sana ni ajabu watu wanapinga kuoa wasomi kwa sababu zilizoainishwa kwenye mada lakini wapo mstari wa mbele kuwasomesha watoto wao wa kike hadi elimu za juu na kucha kutwa wanawaombea wafanikiwe katika safari yao ya kielimu. Hiki ni kituko, kabla hatujaanza kuangalia tatizo kwa walio mbali tuanze na hawa wanaotuzunguka hata kama hatutakuwepo kwenye nafasi hiyo.
Swali la msingi ni je hampendi watoto wenu wakike waje kuolewa na kuziheshimu ndoa zao?
Kama elimu ni mbaya kiasi hicho kwanini bado mnawasomesha?
Nmejaribu kuwaza haya
Apo tatzo ni malezi na sio elimu , sema kwa kukosa malezi mazuri elimu na uchumi uwapa viburi, binafsi nawashauri wanaotaka kuoa waoe wanawake waliotokea malezi ya baba na mama , tena kwenye familia inayotambua uongozi wa kifamilia kutokea kwa baba na mama kama msaidizi wa familia.Hili ndio swali ambalo huwa najiuliza kila nikiona mada/comment ya mlengo huo.
Je hawa wakaka na wababa wanaoamini kinachozungumzwa hapa, mabinti zao wanaishia la saba au form four ili wasikose vijana wakuwaoa huko mbeleni?? Na kuna jitihada wanazofanya kuhakikisha mabinti zao wanapata elimu itakayowasaidia kuwa aina ya wanawake (watiifu or possibly submissive kabisa, waelewa, wachapakazi, wanaojali, walio dedicated kwenye malezi ya watoto wao etc.) kama ambao wao wanataka wake zao wawe??
If not, basi waachkelutupigia kelele kila siku![emoji3061]
What say you Huey?
ππWakishavaa vinguo vyao vifupi na high heels wanajiona Dunia yote wameiweka kiganjani.
Hapo hata ukimuuliza shati langu lipo wapi atakujibu huku anakwenda ..angalia kwenye kabati upande wa kushoto...
nyumba nzima vinasikika viatu vyake tu ko..ko..ko..ko..ko [emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi nimeshajiuliza sana ila nikawa nabaki bila majibu sahihi ila uhalisia uliopo mtaani ni majibu tosha. Watu wanasomesha mabinti zao na wanawazingatia sana huku mitaani na hata humu jf wapo.Hili ndio swali ambalo huwa najiuliza kila nikiona mada/comment ya mlengo huo.
Je hawa wakaka na wababa wanaoamini kinachozungumzwa hapa, mabinti zao wanaishia la saba au form four ili wasikose vijana wakuwaoa huko mbeleni?? Na kuna jitihada wanazofanya kuhakikisha mabinti zao wanapata elimu itakayowasaidia kuwa aina ya wanawake (watiifu or possibly submissive kabisa, waelewa, wachapakazi, wanaojali, walio dedicated kwenye malezi ya watoto wao etc.) kama ambao wao wanataka wake zao wawe??
If not, basi waachkelutupigia kelele kila siku!π₯΄
ONCE AGAIN, BURN THIS INTO YOUR BRAIN:Bado sijaolewa kuna mwanaume namsikilizia
ONCE AGAIN, BURN THIS INTO YOUR BRAIN:Hujiona kama ni mtu anayeweza kuishi bila kumtegemea mwanaume, kwa hiyo hababaishwi wala hapangiwi. Ukishakosa utii kwa mwanaume basi mahusiano hayana maana tena.
Do you really believe that???Apo tatzo ni malezi na sio elimu , sema kwa kukosa malezi mazuri elimu na uchumi uwapa viburi, binafsi nawashauri wanaotaka kuoa waoe wanawake waliotokea malezi ya baba na mama , tena kwenye familia inayotambua uongozi wa kifamilia kutokea kwa baba na mama kama msaidizi wa familia.
Ni msomi???πMi nilijichanganya nikamfungulia duka la nguo ndo nilimjua tabia zake
Anaweza kuwa katokea wazazi wawili ila unakuta mama ndio sauti ya mwisho , akisema jambo mzee kimya , wa hivyo ni tatzo kubwa sana ,bora hata wa mzazi mmoja kwa apo inategemea kwel.Do you really believe that???
Yani kitendo cha mtu kutokea kwenye familia ya mzazi mmoja au wawili automatically kinamfanya awe ama asiwe mke mzuri???
Kuna factors nyingi sana zinazofanya mtu awe hivi au vile, yakiwepo mazingira, malezi, personal traits, reasoning capacity, and so on. Hamna hata kimoja kinachoweza kuleta matokeo ya moja kwa moja bila kutegemeana na kingine.
Ila walau awe na cheo au salary kubwa mara 2 ya Mke wake hapo kidogo atamheshimu.Wengi wanajikaza...nikiwaza ninavyorudi kazini nimechoka then na Mke wangu arudi kazini kwake nayeye amechoka then ni matumizi Mabaya ya Muda na fursa.
Kama mwanaume usipende mteremko eti ukioa msomi anayefanya kazi atakusaidia kwenye maisha ya nyumbani, wengi huishia maugomvi tu maana pesa ya mwanamke hailiwi hata chumvi hainunui.
Ukifika nyumbani Let it be a small palace for a small king like Me.
Yaani Msosi wa maana umepikwa kwa utulivu na hisia, watoto wasafi na wamekula chakula kizuri, nyumba imependeza na imepambwa.
Haya huwezi kuyapata kwa Graduate wa CBE mwenye Kazi Posta na mshahara wa laki Sita tu.
Sasa lazima wawakomeshe Kwa sababu kama ni mtoto wako ni Heri awe na Ajira kuliko kuolewa.Ni kweli ke wasomi wengi ni changamoto.
Ila tunakoelekea ni kubaya sana ni ajabu watu wanapinga kuoa wasomi kwa sababu zilizoainishwa kwenye mada lakini wapo mstari wa mbele kuwasomesha watoto wao wa kike hadi elimu za juu na kucha kutwa wanawaombea wafanikiwe katika safari yao ya kielimu. Hiki ni kituko, kabla hatujaanza kuangalia tatizo kwa walio mbali tuanze na hawa wanaotuzunguka hata kama hatutakuwepo kwenye nafasi hiyo.
Swali la msingi ni je hampendi watoto wenu wakike waje kuolewa na kuziheshimu ndoa zao?
Kama elimu ni mbaya kiasi hicho kwanini bado mnawasomesha?
Nmejaribu kuwaza haya
Ila walau awe na cheo au salary kubwa mara 2 ya Mke wake hapo kidogo atamheshimu.
Kiufupi maamuzi yanakuwa 60-40 tofauti na waliooa wamama wa nyumbani maamuzi ni 95-5% ππ
Wanaume wengi kama sio wote tunataka hao vingangarika.Kuoa Mwanamke asiye na kazi ni kipaji cha hali ya juu sana.
Yaani kuishi na mtu kama mfugo wako, hana maamuzi yoyote, yupo kinafikinafiki, hana challenge yoyote, umekosea anashindwa kukuambia kisa ati anaogopa utamfukuza na yeye hana pakwenda au maisha ya kujilisha hawezi. Sasa huyo ni mke au kinyangarika