Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni ubaguzi wa kidini. Acha Mtanzania kushabikia huo upuuzi ni hatari kwa Taifa.Mawazo ya kijinga kabisa Ila Kwa vile ni muislamu mwenzake na mtoa mada fuvu lake Lina shida basi atapewa
Kwa nini hasimbadili Zuhura ili ufurahi?Aende ikulu akambadili greison,
ambaye amelewa madaraka
TBC ni Shirika la kumsifia Mwenyekiti wa CCM na serikali,kumbuka Tido alivyotaka kubadilisha Shirika Baba Kipara alivyokuja juu mpaka jamaa akaondoka.Nakumbuka wakati wa Tido tulikuwa tunaangalia ligi kuu ya England kama unakumbuka.Mtangazaji mahiri Salim Kikeke siku ya jana aliaga rasmi, akitoa taarifa ya kuondoka katikaShirika la Habari la Uingereza baada ya kufanya kazi kwa kipindi cha miongo miwili (Miaka 20)
Kikeke kupitia matangazo ya Dira ya Dunia yanayorushwa na StarTV kwa hapa Tanzania aliaga rasmi kwamba matangazo ya jana ndiyo ya mwisho katika shirika hilo ambalo amefanya nalo kazi kwa miaka 20.
Kwa "experience" na "exposure" aliyoipata Kikeke kwa kipindi cha miaka 20 akiwa katika moja kati ya mashirika makubwa ya habari ulimwenguni nadhani ni muda wa Kikeke kurejea nyumbani, ni muda wa Taifa kufaidi matunda ya kijana wake, ni muda sahihi Rais Samia Suluhu afanye maamuzi yakayoleta mapinduzi pale TBC, ni muda sahihi KIKEKE AENDE KUHUDUMU KAMA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA HABARI TANZANIA (TBC).
Tumeona Zhura Yunus akipeleka ujuzi wake Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu ya Tanzania na Charles Hillary akifanya hivyo kwa Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Zanzibar, sasa tumtumia Kikeke pale TBC.
Haya ni maoni na mapendekezo yangu tu, wadau mnaonaje?
Ata Mimi huwa nashangaa,mtu unapiga mzigo ughaibuni na unavuta mshahara mrefu plus bonuses and insurance alafu unakuja Bongo kufanya kazi na vilaza.Kama yule Mfugale aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii, alikuwa Consultant kwenye kampuni kubwa kule Canada.Kuacha kazi ya uhakika kwenye nchi zilizoendelea Ili uje kufanya kazi bongo inahitaji moyo sana
Eti Fundi Maiko![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Camera za TBC wakati wa ARDHIO kama vile wanatmia CAMERA ZA SIMU ZA TECNO. Watangazaji wanavyovaaa sasa hasa watangazaji wa kiume jamani kama wametoka kuazima makoti. Viatu vina vumbi. Masofa sijui wanachonga kwa fundi maiko. Huwa naangalia RWANDA TV jamani tukubali tupo usingizini TBC
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo kubwa la TBC siyo Mkurugenzi na watangazaji.
Hata aende pale LISSU au Mbowe itabidi atangaze mambo ya CCM wanayotaka.
Ni aidha ukubaliane na maudhi yao au uache kazi.
- Tunatekeleza
- Kishindo Cha awamu ya 6
- Safari ya Dodoma
Na ndo anakokwendaMtangazaji mahiri Salim Kikeke siku ya jana aliaga rasmi, akitoa taarifa ya kuondoka katikaShirika la Habari la Uingereza baada ya kufanya kazi kwa kipindi cha miongo miwili (Miaka 20)
Kikeke kupitia matangazo ya Dira ya Dunia yanayorushwa na StarTV kwa hapa Tanzania aliaga rasmi kwamba matangazo ya jana ndiyo ya mwisho katika shirika hilo ambalo amefanya nalo kazi kwa miaka 20.
Kwa "experience" na "exposure" aliyoipata Kikeke kwa kipindi cha miaka 20 akiwa katika moja kati ya mashirika makubwa ya habari ulimwenguni nadhani ni muda wa Kikeke kurejea nyumbani, ni muda wa Taifa kufaidi matunda ya kijana wake, ni muda sahihi Rais Samia Suluhu afanye maamuzi yakayoleta mapinduzi pale TBC, ni muda sahihi KIKEKE AENDE KUHUDUMU KAMA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA HABARI TANZANIA (TBC).
Tumeona Zhura Yunus akipeleka ujuzi wake Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu ya Tanzania na Charles Hillary akifanya hivyo kwa Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Zanzibar, sasa tumtumia Kikeke pale TBC.
Haya ni maoni na mapendekezo yangu tu, wadau mnaonaje?
Udini unakusumbua.Charles Hillary amepewa kazi Zanzibar ni muislamu?Hizo fikra muflis za kidini hazitakufikisha popote.Kikeke akiwa na sifa za kuajiriwa ana haki sawa na mtanzania yeyote yule.Ukiacha kutumia makamasi kufikiri utaelewa hivyo.Mawazo ya kijinga kabisa Ila Kwa vile ni muislamu mwenzake na mtoa mada fuvu lake Lina shida basi atapewa
Kwani Mkurugenzi Mkuu wa TBC ametoka..kwanini unazungumzia sehem ambayo tayar Ina mtu na yeye ameshafanikiwa kulipaisha shirika Hilo sana....sijui unajua TBC imetoka wapi na Sasa ipo wapi..unaijua..?? Pia usidhan kukaa nje ndio assurance ya utendaji mzuri....hapana..it's subjective...uzoefu yes lakini pia na elimu kichwaniMtangazaji mahiri Salim Kikeke siku ya jana aliaga rasmi, akitoa taarifa ya kuondoka katikaShirika la Habari la Uingereza baada ya kufanya kazi kwa kipindi cha miongo miwili (Miaka 20)
Kikeke kupitia matangazo ya Dira ya Dunia yanayorushwa na StarTV kwa hapa Tanzania aliaga rasmi kwamba matangazo ya jana ndiyo ya mwisho katika shirika hilo ambalo amefanya nalo kazi kwa miaka 20.
Kwa "experience" na "exposure" aliyoipata Kikeke kwa kipindi cha miaka 20 akiwa katika moja kati ya mashirika makubwa ya habari ulimwenguni nadhani ni muda wa Kikeke kurejea nyumbani, ni muda wa Taifa kufaidi matunda ya kijana wake, ni muda sahihi Rais Samia Suluhu afanye maamuzi yakayoleta mapinduzi pale TBC, ni muda sahihi KIKEKE AENDE KUHUDUMU KAMA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA HABARI TANZANIA (TBC).
Tumeona Zhura Yunus akipeleka ujuzi wake Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu ya Tanzania na Charles Hillary akifanya hivyo kwa Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Zanzibar, sasa tumtumia Kikeke pale TBC.
Haya ni maoni na mapendekezo yangu tu, wadau mnaonaje?
Sure..!!! Nakubaliana nawe jombaHii inamaanisha Kila anaepitia BBC basi anafaa kuwa mkurugenzi!?....
Uongozi hasa wa ngazi ya juu ...unahitaji vipawa fulani specific si umaarufu....
Si kila mchezaji bora..ama mashuhuri...Anaweza kuwa kocha bora
Inategemea Ila Kikeke Ana mke mBritish..hiv atakubalia kuja spend maisha yake yaliyobaki TZIngekuwa ni mimi sirudi bongo
Umemaliza.Hii inamaanisha Kila anaepitia BBC basi anafaa kuwa mkurugenzi!?....
Uongozi hasa wa ngazi ya juu ...unahitaji vipawa fulani specific si umaarufu....