data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Bolded ..Kwa maoni yangu, naona ni Upumbavu na Upuuzi kumchukua 'Mtangazaji' anayepikiwa kila kitu, yaani kwamba hahusiki na na lolote lile,Kuanzia ukusanyaji wa habari mpaka matayarisho ya kipindi(editing,production etc) halafu ndie aje kuwa Mkurugenzi wa Chombo kama TBC ati kwasababu alikuwa akionekana kwenye luninga na alikuwa akifanya kwenye kampuni ya uingereza ya BBC! Huo ndio Ushamba wenyewe! Ndi Ulimbukeni 2.0
Kwa CCM kila kitu kinawezekana... Na sintashangaa kabisa.