Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

Tafakuri ya FaizaFoxy 7: Shule za kusomea ujinga. Tanzania na propaganda za Udini Shuleni

Waarabu walikuwa wafanyabiashara wakubwa wa biashara ya utumwa na ujangili wa wanyamapori.
Hiyo historia itabaki hivyo, penda usipende.
Anasema wazungu waliwasingizia waarubu,waarabu ni watu wema hawakufanya biashara ya utumwa.
 
Udini tu umekujaa wewe Ajuza
Nachukulia neno Udini kutokea kwako linamaanisha Uislam.

Umelisikia na kuliona neno udini likichambuliwa kwenye video? Au umeogopa hata kuitazama video? Unapayuka nje ya mada.


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
FaizaFoxy , asante sana kwa mada hii. Naomba kukiri mimi ni miongoni mwa tulio ingizwa chaka na michoro hii, kumbe tulikuwa tunadangwa kwa michoro ya kuchorwa, jee vipi kuhusu zile picha za camera, kama hizi
View attachment 2212044
nazo ni za uongo?.
P
Hapa tutaambiwa ni mzungu amefanya editing.
 
Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.

Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.

Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...


Anarukaruka. Wabaya ni waarabu. Roho mbaya. Udini haukusaidii. Alafu hizi habari zinaanza kurudi saa hii. Mbona kipindi cha jiwe mlikuwa kimya? Huwezi kutenganisha biashara ya utumwa na uislamu. Dunia nzima. Libya tu karne hii bado wanauza binadamu. Na dini lenu linaamini katika kumiliki watumwa kama muasisi wenu.
 
Huyu bibi ufia dini umeharibu akili yake na amekuwa kituko cha dini.
Ni tatizo kubwa sana unapokuwa na mtu anayetazama kila jambo kwa mtazamo wa dini.
Biashara kubwa ya waarabu Pwani ya Africa Mashariki ilikuwa watumwa.
Anasema wazungu waliwasingizia waarubu,waarabu ni watu wema hawakufanya biashara ya utumwa.
 
Anarukaruka. Wabaya ni waarabu. Roho mbaya. Udini haukusaidii. Alafu hizi habari zinaanza kurudi saa hii. Mbona kipindi cha jiwe mlikuwa kimya? Huwezi kutenganisha biashara ya utumwa na uislamu. Dunia nzima. Libya tu karne hii bado wanauza binadamu. Na dini lenu linaamini katika kumiliki watumwa kama muasisi wenu.
Hahahahaha, umeitazama videoiliyobeba mada au unangoja mpaka shemeji arudi ndiyo upate kifurushi? Au unapayuka tu. Ya wakati wa bwana yule nimeshayajibu juu huko, sina haja ya kuyarudia.
 
Hahahahaha, umeitazama videoiliyobeba mada au unangoja mpaka shemeji arudi ndiyo upate kifurushi? Au unapayuka tu. Ya wakati wa bwana yule nimeshayajibu juu huko, sina haja ya kuyarudia.
Waarabu ndio mashetani wa dunia. Na laana ipo juu yao. Wametesa sana yani, wamebaka, wamewahasi , wewe mwenyewe kama unayo damu yao ujue alibakwa mtu. Hawasafishiki. Nenda basi ata Bagamoyo pale ukajifunze kuhusu biashara ya utumwa na hao mabwana. Uislamu unaamini katika kumiliki slaves. Ni hatari. Na ndiyo moja ya justification za waarabu. Wazungu walikuwa wanawanunua sokoni ila aliekuwa anaingia machakani kuwatafuta ni mwarabu. Simpendi kamwe.
 
Waarabu ndio mashetani wa dunia. Na laana ipo juu yao. Wametesa sana yani, wamebaka, wamewahasi , wewe mwenyewe kama unayo damu yao ujue alibakwa mtu. Hawasafishiki. Nenda basi ata Bagamoyo pale ukajifunze kuhusu biashara ya utumwa na hao mabwana. Uislamu unaamini katika kumiliki slaves. Ni hatari. Na ndiyo moja ya justification za waarabu. Wazungu walikuwa wanawanunua sokoni ila aliekuwa anaingia machakani kuwatafuta ni mwarabu. Simpendi kamwe.
Weka ushahidi, au walikubaka na wewe?

Umaitazama video iliyobeba mada?
 
Ujinga mtupu hakika upurofesa Tz ni mzigo.Yaani Purofesa huyu haamini waarabu kwa sehemu kubwa walijihusisha na biashara ya utumwa?Hata waarabu walipoendelea na biashara hiyo wazungu ndo waliikomesha.Huyu hajui lolote zaidi ya ud....
 
Anhaa, umitazama video? Umeona ni nani anaeleta chokochoko? Usiiogope kajitazame mule ujione.

Unasema nchi ilitulia? Hujayaona humu JF yakitangazwa kila siku vinaokotwa viroba vya maiti baharini? Hujasoma humu JF kina Ben Saa nanena Gwanda wako wapi? Hujasoma humu Tundu Lissu kakosa kuuliwa katiwa ulema wa maisha> Huo ndiyo kikwenu utulivu?

Nakushauri ukajitazame kwenye video humo, usitake kujaza watu ujinga wasiokuwa nao.
Haitaondoa ukweli waarabu ndio walichagiza utumwa na kumfanya mtu mweusi mnyama.
 
Mara nyingi sana hapa JF nimekuwa nikitumia usemi "Hizo shule mlienda kusomea ujinga/?". Hapa chini naweka mojawapo ya mfano hai wa kusomeshwa ujinga, ambao umefanyiwa tafiti na Profesa ukuyakinisha kauli yangu hiyo. Huu ni baadhi tu ya ujinga tunaosomeshwa.

Nayaleta haya kwa kuwa bila ya kuyaongea na kuyaweka wazi hayatakoma na wale tulioaminishwa ujinga huu tujionee jinsi tunavyosomeshwa ujinga.

Tafadhali jionee hii video kabla hujajibu kijinga...


No research, no right to speak, FAIZA FOX umewahi fanya utafiti Gani na juu ya nini au umewahi kuandika KITABU Gani tukisome?
 
Kuumbe Faiza siyo mbibi km wengi mnavodhania humu! Nimekaona leo kanazurura kuleeee salasala juu karibu na kwa Gwjima! Bonge la demu!! ila avatar sasa......
 
Tupe story yake, usifikiri kila mtu anakielewa ulichojazwa nacho wewe ujinga na ndiyo maana nimeweka video hapa ili tusiendelee kujaana ujinga.

Historia yote uliyosomeshwa shule ni uongo mtupu, juu chini, chini juu. Hivi upewe elimu na Mwingereza, mzungu, halafu yeye ajiponde? Fikiri japo kiduchu.
Hao mabeberu walikuwa wananunua watumwa kutoka kwa waarabu na kuwapeleka huko Marekani.

Kukanusha kutokea kwa biashara ya utumwa iliyohusisha waarabu ilihali ushahidi wa kihistoria upo kuthibitisha hilo ni kitendo cha kihaini na uzandiki wa kihistoria.
 
Back
Top Bottom