AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
- Thread starter
-
- #181
Ukiona mahari imekushinda endelea kutafuta utakayomudu... Suala la mahari lipo chini ya mwanamke muolewaji... Yeye ndiye anayepanga aolewe au asiolewe... Na kwa kiasi gani...Huu uhamasishaji wako ungeenda sambamba na uhamasishaji wa kupunguza mahari ingekuwa bora zaidi ....mahari imekuwa kikwazo sana dada yangu......sio bara tu hata visiwani
Kwani kuoa lazima uzalishe?
Mimi nimekulia kwenye mtaa wenye wa Islam wengi ,60% ya mabinti wa Kislam nilio cheza nao wameachwa na wamezalishwa. Najua unahamasha watu kuoa, ila ni vizuri kuwekeza nguvu kwenye kudumu kwenye ndoa na si kushindana kuoa sijui oa wawili au oa watatu mara wanne kesho unaanza kuwapiga chini mnawaumiza mabinti zenu kwani sio kwamba wote walio achwa labda wana tabia mbaya.NIKUULIZE SWALI... Hivi akina lowasa na akina mzee wa vijisenti... Si mafisadi wale? Je ukiwauliza si watakwambia wanakula kutokana na utaalamu wao...
Kila mtu anaweza akapotosha maandiko ili mradi ajihalalishie kilichoharamishwa... Ila kimsingi wa kidini jambo hilo ni uovu mkubwa...
Mtumeο·Ί alioa lakini hakuoa na kuacha acha... Japo uislaam unaruhusu kuacha... Lakini umeweka mipaka... Sio kuacha acha tu...
ππ Darlin mamaaa.. siwaelewi huku hawa vijanaNasema hivi vijana wa hapa ndani wakiwaona nyie na madem Saba nane wanaanza kusema hawa kina mzabzab National Anthem Mad Max na DeepPond ni wahuni Wana wanawake wengi.
Hao vijana wanakua hawajui matumizi haswa ya hyo mi machine yao
Aya wakina mawardat nyie endeleeni tuu kupamga mahari za million mzeeke kwa wazazi wenuπ€£π€£π€£π€£Ukiona mahari imekushinda endelea kutafuta utakayomudu... Suala la mahari lipo chini ya mwanamke muolewaji... Yeye ndiye anayepanga aolewe au asiolewe... Na kwa kiasi gani...
Naona wanakutag babe wangu kwenye mambo siyaelewi hawajui nina wivu
Kwa hiyo mimi nilieambiwa mahari kubwa nilitengenezewa mazingira ya kushindwaUkiona mahari imekushinda endelea kutafuta utakayomudu... Suala la mahari lipo chini ya mwanamke muolewaji... Yeye ndiye anayepanga aolewe au asiolewe... Na kwa kiasi gani...
Hata mie nawashangaa mama yangu.. wanataka leta fitina tuNaona wanakutag babe wangu kwenye mambo siyaelewi hawajui nina wivu
Then...... Cc :......... [emoji1787]Ngoja tuone...
Hawajui sie hatuachani leo wala kesho. Watasubiri sanaaHata mie nawashangaa mama yangu.. wanataka leta fitina tu
Wanaume huwa tunataka hiyo kitu kila siku kila muda tunaiwaza wengi wenu mnakuwa mnaona ni kikwazo .Every time we think pussy.Mngekuwa hamtushindwi mngeitoa siku zote kasoro ambazo hampo MPeriod .Awe rijali awe bazazi hakuna mwanamke anayemshindwa mwanaume
nakupenda mama nakupenda mpenzi, nakupenda funguo yangu ya maisha πHawajui sie hatuachani leo wala kesho. Watasubiri sanaa
Ndoto za Alli Nacha kuota mchana wa Jua Kali ni mbaya sana unaota huku unapiga chafyaWanaume huwa tunataka hiyo kitu kila siku kila muda tunaiwaza wengi wenu mnakuwa mnaona ni kikwazo .Every time we think pussy.Mngekuwa hamtushindwi mngeitoa siku zote kasoro ambazo hampo MPeriod .
Watu wanatuonea wivu mpenzi mie sijui kwanininakupenda mama nakupenda mpenzi, nakupenda funguo yangu ya maisha π
Mwenzio ana sifika...............Naona wanakutag babe wangu kwenye mambo siyaelewi hawajui nina wivu