Tafuta mwanamke uoe, haya ndio maumbile tuliyoumbiwa

Tafuta mwanamke uoe, haya ndio maumbile tuliyoumbiwa

Jambo la kwanza kabisa ni UCHAMUNGU.. Maana yake uwe unaishi kwa kufuata Amri ya Allaah na Mtume wake. Sio jitu haliswali... Zinifu... Levi... Halitoi swadaqa... Halitoi zaka... Halifungi... Alafu linataka kuongeza mke... Huyu hafai...

Pili... Ni UADILIFU... yaani uwe na uwezo wa kumtendea kila mke kulingana na haqq yake... Usimdhulumu yeyote... KIDINI, KITENDO LA NDOA, KIMALI, KIMALISHO, KIMAVAZI WALA KIHISIA... BILA KUPENDELEA UPANDE WOWOTE.

TATU... uwezo wa kuwahifadhi kila mmoja kwa nafasi yake na mahali pa kujistiri yeye na tandiko lake pekee yake... Sio washee tandiko moja wake wawili au watatu.

Ni hayo tu ya msingi... Suala la Rizki sijui atakula nini hilo halipo chini yako...
Hili atakaloweza ni nabii mtiwa mafuta tuu lakini sio mwanaume wa dunia hii🤣🤣🤣🤣🤣

Jensifa za kuwa mke mkuu na mkee mdogo zikoje? Maana sio tunaangalia upande mmoja tuu
 
Salaam,

Kuna kampeni inaendeshwa kimya kimya na wahuni kushawishi watu wasioe... Yaani watu waikatae NATURE... Maumbile yao ya asili...

Sasa wewe usipooa... Maji maji yako unayajaza unamwekea nani?

Unakataa kuoa kwa sababu ya chuki dhidi ya wanawake... Sasa ukiwachukia wanawake... Alafu uwapende wanaume eeh... Si ndio mnapoelekea kwenye kupendana wenyewe kwa wenyewe... USHOGA...

MY FRIEND OA... OA MWANAMKE HARAKA...

OA WANAWAKE HATA WAWILI WATATU MPAKA WANNE... HAYO NDIO MAUMBILE YETU TULIYOUMBIWA...

Kiasili Kimaumbile MWANAUME RIJALI ALIYE SAWA SAWA HAWEZI KUTOSHELEZWA NA MKE MMOJA...

MWANAMKE MMOJA KIMAUMBILE HAWEZI KUHIMILI MIKIKIMIKIKI YA MWANAUME RIJALI...

Ukitaka kuamini hilo... Angalia kwanini imekatazwa kumuingilia mwanamke akiwa hedhi na akitoka kujifungua mpaka damu iishe?

Kiasili Mwanamke maumbile yake yanachakaa haraka na kupoteza ladha ikiwa akiingiliwa kila siku kila mara iwe na mwanaume mmoja au na wanaume tofauti(ukitaka kuamini kawaangalie makahaba).

Na mwanaume rijali yeye anahitaji takribani kila siku apate huduma... Jambo ambalo mwanamke mmoja pekee yake haliwezi... Ndio maana uislaam kwakuwa ni dini ya kimaumbile wakaamrishwa MWANAUME MMOJA wanawake wawili watatu au wanne. Na hili jambo limethibitishwa kwa utafiti makini na LIMEJARIBIWA(MUJARRABU) Hapo nimeeleza kwa kifupi ukitaka zaidi njoo darsani kwangu.

LAKINI UKIWA HUTAKI KUOA KABISA KISA HUTAKI WANAWAKE SIJUI BLAA BLAA NYINGI... HUNA TOFAUTI NA MASHOGA... NA UNAPOELEKEA UTAKUWA SHOGA.
Kumbuka kwamba sio kwamba mtu hajaoa basi hapigi machine, kuna wengine walivyo kama muhuri wa TBC anagonga bidhaa tofauti tofauti hana time ya kuoa.
 
Na nyie mkubali kuletewa wake wadogo sio mnaanza leta fyoko fyoko oh mie ndoa ya wake wengi sitaki.

Niulize tuu jamani hivi ndoa ya wake wengi unaruhusiwa kupiga threesome/ foursome nao?
Hili swali hebu lianzishie Uzi,
Kuna kipind niliwahi kuwaza kitu Kama hiyo
 
Sijazungua mabao hapo... Nimezungumzia nyakati za kuwa wote...

Sasa nikupe siri nyingine...

Mwanaume anayepiga bao nyingi ni dalili ya upungufu wa nguvu za kiume... Njooni inbox niwatibie BI IDHNILLAAH...

Mwanaume mwenye nguvu hasifiki kwa idadi ya bao... Anasifika kwa MUDA ANAOTUMIA KUTOKA BAO MOJA KWENDA JINGINE... Hiyo ni moja...

Mbili, Mwanaume rijali hasifiki kwa idadi ya bao anazozipiga yeye... Ila atasifika kwa IDADI YA MABAO ANAYOMPIGISHA MWANAMKE(anamfikisha mwanamke kileleni mara ngapi).
Mkuu mi sjasema mabao mbona yani nimemaanisha kiu ya kuwa na mwanamke nimeshangaa sana kwamba inakupata just two times a day wenzio tunatoroka mpk kazini mara nne nne sasa unaposema mara mbili kwa siku nakuhurumia ni tatizo kwa mtu anaejiita rijali
 
Achana na hao wa chipsi... Kuna mwanaume mpaka mkewe anamwambia aisee oa mwingine anisaidie... Maana yake shughuli ni nzito... Tena mimi nahitaji wanne kabisa ndio atleast nitaridhika... Zamu ya siku moja moja... Yaani utaishi kama upo peponi... Alhamdulillaah kwa nguvu na uwezo Allaah alionipa...
Hopefuly na mfuko umetuna pia maana nguvu bila matunzo sawa na hakuna
 
Back
Top Bottom