Ngoja atupe muongozo.Wapo nawajua wanaoa na wana chumba na sebule tu,
Mwenye zamu anaenda kulala chumbani na mume,
Kama sip za u yako walala seblen na watoto,
Hii imekaaje???
Jamani wee hutaki kujua mwenzio anafanya maajabu gani huko chumba i na mume ukiwa hapo sebuleni unasikilizia miguno tuu huko