Tafuta mwanamke uoe, haya ndio maumbile tuliyoumbiwa

Hahahaa kwa utafiti gani....?

Hiyo asilimia 15 unayoisema isiwepo sasa... Alafu tuone hiyo ndoa kama bado nayo itakuwepo...
 
Mara nyingi mtu mwenye tabia ya kukimbia matatizo ni mwanamke...

Kwahiyo usipooa matatizo hakuna... Unajidanganya...
 
Wanaume huwa tunataka hiyo kitu kila siku kila muda tunaiwaza wengi wenu mnakuwa mnaona ni kikwazo .Every time we think pussy.Mngekuwa hamtushindwi mngeitoa siku zote kasoro ambazo hampo MPeriod .
Hata hiyo siku wapo period inabidi kuwe na sehemu unahudumiwa... Hutakiwi kuikosa hata siku moja...
 
Hapo kwenye Uislamu wanaume wameamrishwa kuoa zaidi ya mke mmoja, sio kweli na kama umefundishwa hivyo umedanganywa

Katika Uislamu kuna mambo yameamrishwa mfano kufuata nguzo tano za Uislamu (kushuhudia kuwa Mungu ni mmoja tu, kusali sala tano, kufunga mwezi Ramadhani, kutoa zaka, na kwenda kuhiji Makka kama mtu ana uwezo huo), pia tumeamrishwa kupenda na kuwatunza wazazi wetu wote wawili, pia tumeamrishwa kukemea mabaya yani katika Uislamu mtu hatakiwi kukaa kimya aonapo jambo lililokuwa sio sahihi kulingana na dini.

Sasa hilo suala la kuoa mke zaidi ya mmoja sio maamrisho, ni sunna (kwa maana mtume mwenyewe alilifanya) na ni muongozo toka kwenye Quran (kwa maana ni namna ya kufanya wanawake waolewe katika vipindi ambavyo wanaume wamekufa vitani ama pia kuzuia uzinzi, kuhakikisha kila mwanamke ana ndoa yake na ana mtu wa kumlinda na kumtunza)

Kwahiyo kuoa mke zaidi ya mmoja sio amri, ni jambo tu ambalo Qurani haioni ubaya wake, kama watu watalifanya kiadilifu.
 
Hapo kwenye Uislamu wanaume wameamrishwa kuoa zaidi ya mke mmoja, sio kweli na kama umefundishwa hivyo umedanganywa

Kwahiyo Qurani imezungumzia mtu kuoa zaidi ya mke mmoja ila kusema kuwa 'imeamrisha' huko ni kupotosha.

Ingekuwa amri basi ungeona kiila mwanaume wa Kiislamu ana mke zaidi ya mmoja. Ila wanaooa mke zaidi ya mmoja ni wachache kuliko waliooa mke mmoja, kwasababu sio amri.

Mambo ambayo ni amri katika uislamu yako wazi na ndio tunapigian kelele kila siku, utasikia sala bora kuliko usingizi, kuleni ambavyo sio haram, heshimu mama upate radhi zake, ila hakuna shekhe anaye sisitiza mtu aoe mke zaidi ya mmoja, kwasababu hilo ni suala la mtu binafsi
 
Hakuna kuoa hapa, toa mambo yako ya kiuopolo, wewe huoni manara badala ya kuwekeza nguvu zake kwa yanga ili ifuzu makundi kama simba, yeye amewekeza kwenye kusukuma nyama, haoi mtu hapa mpaka yanga afike makundi ya CAF klabu bingwa kama simba.
 
AbuuMaryam Marehemu mme wangu alishawahi kuniambia kuwa ndoa ni ya wanaume wenye akili timamu. Ukiona wanakupinga sana ujue ni tatizo hilo.
pole kwa kufiwa mama, kama bado umri unahitajia na hujapata mwingine please naweza kufidia alipopaacha ndugu yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…