Tafuta mwanamke uoe, haya ndio maumbile tuliyoumbiwa

Hili atakaloweza ni nabii mtiwa mafuta tuu lakini sio mwanaume wa dunia hii🀣🀣🀣🀣🀣

Jensifa za kuwa mke mkuu na mkee mdogo zikoje? Maana sio tunaangalia upande mmoja tuu
 
Kumbuka kwamba sio kwamba mtu hajaoa basi hapigi machine, kuna wengine walivyo kama muhuri wa TBC anagonga bidhaa tofauti tofauti hana time ya kuoa.
 
Na nyie mkubali kuletewa wake wadogo sio mnaanza leta fyoko fyoko oh mie ndoa ya wake wengi sitaki.

Niulize tuu jamani hivi ndoa ya wake wengi unaruhusiwa kupiga threesome/ foursome nao?
Hili swali hebu lianzishie Uzi,
Kuna kipind niliwahi kuwaza kitu Kama hiyo
 
Mkuu mi sjasema mabao mbona yani nimemaanisha kiu ya kuwa na mwanamke nimeshangaa sana kwamba inakupata just two times a day wenzio tunatoroka mpk kazini mara nne nne sasa unaposema mara mbili kwa siku nakuhurumia ni tatizo kwa mtu anaejiita rijali
 
Hopefuly na mfuko umetuna pia maana nguvu bila matunzo sawa na hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…