DOKEZO TAHADHARI: Afisa TRA ahatarisha maisha ya wakazi Mbezi Juu Kwa Sanya kwa kujenga ghorofa 4 bila kibali, kwenye msingi dhaifu wa nyumba ya chini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
...Hela zinamuwasha ! Ziko nyingi Mpaka anaamua Kujenga Ovyo ovyo TU ili Zimuondoke ! ...
 
Kilaza utakatiza wapi kwenye medicine, labda hivyo vyuo mlivyoanzisha huko vichochoroni
Hebu tutajie hivyo Vyuo vya uchochoroni tuvijue,
Soma Medicine ukaajiriwe halmashauri ulipwe 1.5m, Wakati wenzio wanasoma B.Com+CPA unawakuta Tra wanakula 3.5m
 
Hebu tutajie hivyo Vyuo vya uchochoroni tuvijue,
Soma Medicine ukaajiriwe halmashauri ulipwe 1.5m, Wakati wenzio wanasoma B.Com+CPA unawakuta Tra wanakula 3.5m
Swala siyo kulipwa swala una akili ya kusoma medicine?kuna madaktari kibao hawategemei hata mshahara na hiyo 3.5m ni takataka kwao.
 
Ndio nyumba zetu hizi Dar
 
Swala siyo kulipwa swala una akili ya kusoma medicine?kuna madaktari kibao hawategemei hata mshahara na hiyo 3.5m ni takataka kwao.
  • hao Madaktari ambao hawategemei salary ni wa kuhesabu hapa Tanzania
  • akili hizo zako za kusoma Medicine bila kuwa na hela ni upuuzi.
  • kwani mkuu kupata hiyo CPA ni kitu rahisi?
 
Umeelewa kilicholalamikiwa?
Ghorofa nne ilipaswa kuwe na bango nje la kuonyesha details za jengo. Wao wanaohoji usalama wao wapo sahihi, goba mwaka Jana limewahi kuporomoka na majirani wakafa

Nimeelewa ndiyo maana nikachangia, hiyo habari kaleta kiumbea na kiroho mbaya!
 
Dear hapanaaa, hapa nakupingaaa watu wailoko huko kwa system wanatunyonya sisi wa chinii.

Mwanzoni nilikua nna mtazamo km wako. Ila lilipokuja kunikutaaa, nilibadili akiliii.

Wanyonge tunanyonywa had jasho, afu wao wana neemeka khaaah.

Dear nipinge ni haki yako!

Wewe kakunyonya nini? naamini hata wewe ukija kukaa
sehemu yenye upenyo wa kupiga hela utapiga!!!

Wabongo wengi tuna mind set ya kuchukia / kutowapenda watu walionacho au waliopo sehemu flan!

Hujui kipato cha mtu, hujui anatafuta hela kivipi why uone unanyonywa jamani watu hawategemei mishahara tu!!
 
Punguzeni roho mbaya. Vijana wanalima majaruba ya mipunga kwao usukumani. Bado mangombe kanunua kawekeza. Ameamua ajenge pagala mnamuwaza. Watanzania wanawivu sana.
Ndo kichakaa cha kujifichia, kilimo na ufugaji, aoneshee hiyo miradi yake ya kuingiza hicho kipatooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…