Nina %95 kuw ww in Tapeli. Mzee sio wote tunaosoma Uzi kwa juu juu. I guarantee u kwmb ww ndio Tapeli hapo. Na haupo Australia mkuu Amini ya kwamba upo humu humu bongo.Endelea kukariri
Uko makini sana Bro!!!.Ukisoma katikati ya mistari utagundua pia huu uzi ni wa kuandaa watu kutapeliwa. Ukisoma kwa jicho la Tatu. Mjini hapa.
Njaa zitawaua hawa jamaa.Hilo tapeli lina id nyingi mara litumie "mhamasishaji" na "mhanila".
Nakuunga mkono.Kwanza upo nje umemtumia mtu vifaa Tanzania kavipata harafu baada ya kuvipokea akakaa kimya tunaendelea wewe ukiwa nje ya Nchi ukapata taarifa kuwa anataka kuviuza wewe tena ukiwa Nje ya Nchi ambae ulikua unatafuta mtu wa kushirikiana nae ukampata mtu wa kukusaidia kutaka kuvinunua hivyo vitu na ukafanikiwa kujifanya kuvinunua kupitia jamaa ako na dogo yupo ndani unataka hela za usumbufu na mali umepata...maelezo haya ukisoma bado yana mchanganyiko wa majibu yasio sahihi..jibu rahisi ni kuwa sio kweli hata kama ushahidi utakuja ni mtu mmoja mwenye simu mbili na Id nyingi humu hiyo ingine inapewa kesi wacha tusanue hizo washa washa zenu maana tumechokz na wote mnatuona makolo...
Jamani JF inaongeza siku na miaka. Asante sana Max kwa JF kwa heshima na taadhima nenda hapo kwa Mangi uagizie chochote ntalipia.Wema wapo humu ila wengi wanafake maisha usikute hata wewe mleta mada upo kazimzumbwi kisarawe ila unatisha TU watu upo Australia japo inawezekana upo huko kutokana na uongo uliojaa humu tunakuwa na mashaka
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Andaa uzi mkuu ili tuepukane na ao matapeli maana sisi tunaotafuta kazi tupo kwenye risk kubwa ya kutapeliwaMkuu ni maelezo marefu ila nishayaanda,vipi niweke kama uzi au hapa hapa katika comments?
Wakuu habari za Mchana huko home Tanzania,
Naomba kwenda kwenye mada husika hapo Kama kichwa Cha habari kisemavyo, Ndugu zangu mnakumbuka kwa wale mliopitia uzi wangu wa "kijana wa kitanzania nishawishi nikupe ajira" vifaa Kama camera na laptop, niliweka ule uzi sio nikiwa namaanisha kabisa na sikuwa nadanganya, baada mda nilisoma mabandiko ya vijana waliotaka niwape vifaa hivyo.
Baada ya mda fulani nilichuja mabandiko ikatokea kijana mmoja akaja kwa kilio kweli mpaka nikamwonea huruma kulingana na alivyonipa story za maisha Kama mnavyojua nami pia hapa nilipo ni kwa sababu ya msaada kutoka kwa watu na Kama mnakumbuka Kuna uzi wangu humu story ya kutoka Singida to dar kwa kutafuta kupata msaada wa elimu.
Basi kijana alitiririka vizuri nikapendwa na kufurahia nikaona isiwe tabu ngoja tuone tinawezaje kuionuana, nilifunga baadhi ya vifaa na kutaka kupima Imani yake vizuri kwanza nilichukua camera mbili laptop 1 heavy na baadhi ya taa na vitu vingine nikavifungasha kutokea Canberra ofsi ya DHL gharama zote juu yangu yeye ni kwenda kupokea tu.
Kweli vifaa vilifika salama kabisa akaenda kuvichukua na akakabidhiwa Ila kwa mtego wa Hali ya juu amekaa na vifaa hivyo week mbili sasa bila kuanza kazi na akaanza kuvitafutia soko la kuviuza, kwa bahati nzuri katika mitego yangu yote kajitokeza jamaa ambae ni moja ya watu niliokuwa nimewatega kajifanya kuvinunua nae kwa ujinga akaruhusu kumpa jamaa kwa kuahidiwa kuwa jioni ya Leo apitie pesa yote.
Baada ya kupewa ahadi hiyo jamaa akaenda kukata tiketi ya kesho kwenda Geita coz kwa Imani yake fedha ya kuanzia maisha anayo lakini mda wa kurudi Kama saa 5 na madakika akitokea kukata ticket now kawekwa mikono salama, atalipa fedha zote za usumbufu wa usafirishaji wa vifaa na Mambo mengine.
Huyu kijana ni member humu na baada ya taratibu zingine kukamilika nitapandisha uzi kwa kila hatua na mazungumzo yote jinsi ilivyokuwa Hadi kufikia Leo dogo yupo lockup.
My take: vijana mjitahidi kusoma alama za nyakati si kila mtu ni mzembe kiivyo na mpumbavu kiasi kwamba una uwezo wa kufanya chochote wengine sisi katika maisha yetu ya mateso tumejifunza mengi na kufuzu vingi kuliko elimu ya darasani, Mungu awasaidie mtoke kwenye ujinga na kwenda nuruni tupo tayari kuwasaidia lakini hatupo tayari kwa watu wazembe kiasi hiki, Mungu anawapenda mno.
"Kijana geuka"
Utatapeliwa....huyu mwanzisha uzi naye ni tapeli hapa anataka kutapeli. Huu ujanja sisi wa town tunaufahamu sana. Unatumika kutapeli au kujipatia mademu kirahisi... Kuwa makini.Asee huo mtego asingeunasua daah!
Ningekuwa hivyo basi uzi wa kwanza ningetapeli wengi sana lakini hakuna atakaekuja kulalamika kwangu na haitatokea kuwaza negative kupo siku zoteUkweli ni kuwa wewe ndo Tapeli. Unataka Utapeli watu kupitia huu uzi. Na pia unataka upate Papuchi za Bure. Hii mbinu kuna watu wametumia sana. Sometimes inalipa. ILA KWA SISI WATU WAZIMA TUNAONA UMEANDIKA UTOPOLO KWA KITOTO. YAANI MAMBO AMBAYO HAYAPO HATA NA UMAKINI WA KUTUNGA.
Hapa kuna watu wataanza kukufuata Private kuwa uwasaidie wao. Utasita sita kisha utasema sasa nikupe mashine zangu ntakuamini vipi kuwa hutaniibia.... Hapo ndo unaenda mliza mtu.
kuna ambao watataka uwatumie hivyo vifaa....utawaambia wakutumie pesa...watalia.
kuna ambao watataka msaada wa kufika hiko unadai upo....wataumia.
yaani wewe jamaa ni katapeli flani ambako hakajaiva vizuri.πππππππππππππ
Huyu jamaa hamna kitu. Sijasoma alichoandika najua ni uongo asilimia zote. Ukipitia kwenye uzi wake wa kuwa na vifaa vya camera Ulaya anatafuta partner utaona mwishoni nilivyomkataa kiaina mpaka leo naamini ni tapeli bahati nzuri sipendi unafiki.Ila chief katika ule uzi nilisema toa namba ili tuone nakuunganishaje na jamaa ambaye yeye hayo ndiyo maisha yake ukawa unasema unataka kwanza maelezo ndiyo utoe namba.
Hata baada ya kukuambia maelezo yatakuja kwenye namba ukagoma. Na kuna siku ukasema umeghairi kwakua umeona watu hawapo serious.
Kusema kweli mimi huu uzi nauamini kwa asilimia 30. Mpaka utakapoleta ushahidi wote ndipo zitaongezeka.
Subiria hapo hapo watakuja wakambie mkuuNaungana na wote wanasema huyu jamaa ni tapeli. Nina sababu kama tano zenye mashiko kuwa wanatafuta watu wa kupigwa tena sio uzi huu hapa peke yake, nyuzi nyingi na comments za huyu mwamba ni utapeli kwenye maandalizi
Nishaonya watu kuwa kuna mtu anadai yuko nje na kuna mwingine anadai yuko Uarabuni watakuja katapeli watu. Kwenye nyuzi za utapeli nikiwa nataja wawili wale mmojawapo ni huyu OP
Kaveli come on and see
Mimi sio mwagizaji wa vifaa Mimi Nina vya kwangu sipo kwa ajili ya biashara ya kuagizia watuHuyu jamaa hamna kitu. Sijasoma alichoandika najua ni uongo asilimia zote. Ukipitia kwenye uzi wake wa kuwa na vifaa vya camera Ulaya anatafuta partner utaona mwishoni nilivyomkataa kiaina mpaka leo naamini ni tapeli bahati nzuri sipendi unafiki.
Pitia uzi wake ule uone alivyo mzungushaji, kila aliyeenda PM hawakuelewana ana visababu vingi. Pitia watu walivyoanza kutaka kumuagiza vifaa vya kompyuta, laptops, etc.
#MsisemeHamjambiwa
Hana akili yoyote. Thread yake ya kwanza kuisoma niligundua hamna kitu. Tusitumie uelewa mdogo na ukosefu wa elimu kwa wengi kama kipimo cha wachache waonekane wana akili, wenye akili ni wachache zaidi.Nina %95 kuw ww in Tapeli. Mzee sio wote tunaosoma Uzi kwa juu juu. I guarantee u kwmb ww ndio Tapeli hapo. Na haupo Australia mkuu Amini ya kwamba upo humu humu bongo. Anyways unatumia akiri sn kukamilisha mission yako yakupata chochote, nikupongeze kwa hilo, ila sio jambo jema kuumiza watu kw techniques km hzo.
Wakuu habari za Mchana huko home Tanzania,
Naomba kwenda kwenye mada husika hapo Kama kichwa Cha habari kisemavyo, Ndugu zangu mnakumbuka kwa wale mliopitia uzi wangu wa "kijana wa kitanzania nishawishi nikupe ajira" vifaa Kama camera na laptop, niliweka ule uzi sio nikiwa namaanisha kabisa na sikuwa nadanganya, baada mda nilisoma mabandiko ya vijana waliotaka niwape vifaa hivyo.
Baada ya mda fulani nilichuja mabandiko ikatokea kijana mmoja akaja kwa kilio kweli mpaka nikamwonea huruma kulingana na alivyonipa story za maisha Kama mnavyojua nami pia hapa nilipo ni kwa sababu ya msaada kutoka kwa watu na Kama mnakumbuka Kuna uzi wangu humu story ya kutoka Singida to dar kwa kutafuta kupata msaada wa elimu.
Basi kijana alitiririka vizuri nikapendwa na kufurahia nikaona isiwe tabu ngoja tuone tinawezaje kuionuana, nilifunga baadhi ya vifaa na kutaka kupima Imani yake vizuri kwanza nilichukua camera mbili laptop 1 heavy na baadhi ya taa na vitu vingine nikavifungasha kutokea Canberra ofsi ya DHL gharama zote juu yangu yeye ni kwenda kupokea tu.
Kweli vifaa vilifika salama kabisa akaenda kuvichukua na akakabidhiwa Ila kwa mtego wa Hali ya juu amekaa na vifaa hivyo week mbili sasa bila kuanza kazi na akaanza kuvitafutia soko la kuviuza, kwa bahati nzuri katika mitego yangu yote kajitokeza jamaa ambae ni moja ya watu niliokuwa nimewatega kajifanya kuvinunua nae kwa ujinga akaruhusu kumpa jamaa kwa kuahidiwa kuwa jioni ya Leo apitie pesa yote.
Baada ya kupewa ahadi hiyo jamaa akaenda kukata tiketi ya kesho kwenda Geita coz kwa Imani yake fedha ya kuanzia maisha anayo lakini mda wa kurudi Kama saa 5 na madakika akitokea kukata ticket now kawekwa mikono salama, atalipa fedha zote za usumbufu wa usafirishaji wa vifaa na Mambo mengine.
Huyu kijana ni member humu na baada ya taratibu zingine kukamilika nitapandisha uzi kwa kila hatua na mazungumzo yote jinsi ilivyokuwa Hadi kufikia Leo dogo yupo lockup.
My take: vijana mjitahidi kusoma alama za nyakati si kila mtu ni mzembe kiivyo na mpumbavu kiasi kwamba una uwezo wa kufanya chochote wengine sisi katika maisha yetu ya mateso tumejifunza mengi na kufuzu vingi kuliko elimu ya darasani, Mungu awasaidie mtoke kwenye ujinga na kwenda nuruni tupo tayari kuwasaidia lakini hatupo tayari kwa watu wazembe kiasi hiki, Mungu anawapenda mno.
"Kijana geuka"
Washatapeliana???