TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

Endelea kukariri
Nina %95 kuw ww in Tapeli. Mzee sio wote tunaosoma Uzi kwa juu juu. I guarantee u kwmb ww ndio Tapeli hapo. Na haupo Australia mkuu Amini ya kwamba upo humu humu bongo.

Anyways unatumia akiri sn kukamilisha mission yako yakupata chochote, nikupongeze kwa hilo, ila sio jambo jema kuumiza watu kw techniques km hzo.
 
Kwanza upo nje umemtumia mtu vifaa Tanzania kavipata harafu baada ya kuvipokea akakaa kimya tunaendelea wewe ukiwa nje ya Nchi ukapata taarifa kuwa anataka kuviuza wewe tena ukiwa Nje ya Nchi ambae ulikua unatafuta mtu wa kushirikiana nae ukampata mtu wa kukusaidia kutaka kuvinunua hivyo vitu na ukafanikiwa kujifanya kuvinunua kupitia jamaa ako na mdau wako yupo ndani unataka hela za usumbufu unawezaje kupiga hesabu ya usumbufu kama mlitaka kusaidiana na unajua dogo choka mbaya mpaka umemsaidia harafu hiyo pesa ya usumbufu ataipata wapi na mali umepata...maelezo haya ukisoma bado yana mchanganyiko wa majibu yasio sahihi..jibu rahisi ni kuwa sio kweli hata kama ushahidi utakuja ni mtu mmoja mwenye simu mbili na Id nyingi humu hiyo ingine inapewa kesi wacha tusanue hizo washa washa zenu maana tumechoka na wote mnatuona makolo...hivi wapo watu wanaingia mitego mibovu kama hii ya tuma hela kwenye namba hii ila imekuja kwa mfumo mwingine...
 
Nakuunga mkono.
 
Jamaa anataka pesa ya usumbufuuuu ..HAHAHAHA
Mjini patamuuu.
Ukifungua codes utacheka kama mimi.
 
Jamani JF inaongeza siku na miaka. Asante sana Max kwa JF kwa heshima na taadhima nenda hapo kwa Mangi uagizie chochote ntalipia.
 
Ukweli ni kuwa wewe ndo Tapeli. Unataka Utapeli watu kupitia huu uzi. Na pia unataka upate Papuchi za Bure. Hii mbinu kuna watu wametumia sana. Sometimes inalipa. ILA KWA SISI WATU WAZIMA TUNAONA UMEANDIKA UTOPOLO KWA KITOTO. YAANI MAMBO AMBAYO HAYAPO HATA NA UMAKINI WA KUTUNGA.

Hapa kuna watu wataanza kukufuata Private kuwa uwasaidie wao. Utasita sita kisha utasema sasa nikupe mashine zangu ntakuamini vipi kuwa hutaniibia.... Hapo ndo unaenda mliza mtu.

kuna ambao watataka uwatumie hivyo vifaa....utawaambia wakutumie pesa...watalia.

kuna ambao watataka msaada wa kufika hiko unadai upo....wataumia.

yaani wewe jamaa ni katapeli flani ambako hakajaiva vizuri.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚



 
Naungana na wote wanasema huyu jamaa ni tapeli. Nina sababu kama tano zenye mashiko kuwa wanatafuta watu wa kupigwa tena sio uzi huu hapa peke yake, nyuzi nyingi na comments za huyu mwamba ni utapeli kwenye maandalizi

Nishaonya watu kuwa kuna mtu anadai yuko nje na kuna mwingine anadai yuko Uarabuni watakuja katapeli watu. Kwenye nyuzi za utapeli nikiwa nataja wawili wale mmojawapo ni huyu OP

Kaveli come on and see
 
Ningekuwa hivyo basi uzi wa kwanza ningetapeli wengi sana lakini hakuna atakaekuja kulalamika kwangu na haitatokea kuwaza negative kupo siku zote
 
Huyu jamaa hamna kitu. Sijasoma alichoandika najua ni uongo asilimia zote. Ukipitia kwenye uzi wake wa kuwa na vifaa vya camera Ulaya anatafuta partner utaona mwishoni nilivyomkataa kiaina mpaka leo naamini ni tapeli bahati nzuri sipendi unafiki.

Pitia uzi wake ule uone alivyo mzungushaji, kila aliyeenda PM hawakuelewana ana visababu vingi. Pitia watu walivyoanza kutaka kumuagiza vifaa vya kompyuta, laptops, etc.

#MsisemeHamjambiwa
 
Subiria hapo hapo watakuja wakambie mkuu
 
Mimi sio mwagizaji wa vifaa Mimi Nina vya kwangu sipo kwa ajili ya biashara ya kuagizia watu
 
Hana akili yoyote. Thread yake ya kwanza kuisoma niligundua hamna kitu. Tusitumie uelewa mdogo na ukosefu wa elimu kwa wengi kama kipimo cha wachache waonekane wana akili, wenye akili ni wachache zaidi.

Huyu hata nje hayupo. Hana exposure hiyo kila siku "vifaa vyangu, vifaa vyangu"
 

I don’t trust you! Maisha ya nje ya nchi ni busy, magumu etc, hata sisi tumekaa nje, mda wa haya hatunaga!

Wewe ni Mwongo, na una malengo yako ya kutaka kutupa Dhana fulani halafu uje ku tu Tapeli, wapo watu kama wewe humu!

Kuna kijana wa watu aliahidiwa Kazi akapigwa laki 2 zake humu humu! I 100% do not trust you!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…