Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe.


Lisu ni muumini wa Demokrasia kama ilivyo huyo Mungu muumbaji.
 
Kwakuwa nina akili timamu, sitaongelea chochote kuhusu hii mada.
 
Ninachoona kwa huyu banamdogo ni kuwekwa kwenye majengo ya serikali, labda aweke speed governor kwenye ulimi
 
Mbowe hawezi kuogopa upuuzi wa Muku na ingekuwa hivyo ningekuwa nishakufa
 
Unataka kutuaminisha uchaguzi mkuu ulikuwa wa haki 100% lisu hakuibiwa hata kura moja uchaguzi uliopita?
 
Ni mnyaturu wa ukoo wa kimayuta, hawa wamayuta ukiwadhulumu kwa namna yeyote hawatakufanya kitu ila utapata madhara makubwa sana, utadhurika
 
Suala la kusema Lissu ana muku inamaanisha Lissu anstumia nguvu za Giza kwenye mambo yake.

Je, kama taifa tuna usalama kiasi gani kuongozwa na mtu anayetumia nguvu za Giza kuliko anayemtumainia MUNGU?

Tuna uhakika Gani hata hawafanyii wenzake ushirikina?

Mtu mwenye upeo mkubwa kiakili hawezi kamwe kumwaga Damu za waTanzania Kwa maandamano akijua Serikali haitokubali, Bali atakuwa na njia nyingi mbadala.
 
Kwenye huu uchaguzi Lisu anatakiwa kushindwa kwa HAKI tuu.
Vinginevyo mtakuja kuniambia mwaka huuhuu kabla haujaisha
Mnatoa toa vitisho visivyo na kichwa wala miguu,Hakuna lolote litakalotokea na Maisha yataenda kama kawaida


Hio miungu yenu ya kikuda haina nafasi Dunia ya sasa
 
Mnatoa toa vitisho visivyo na kichwa wala miguu,Hakuna lolote litakalotokea na Maisha yataenda kama kawaida


Hio miungu yenu ya kikuda haina nafasi Dunia ya sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚
Karibuni muone mwaka 2025 utakavyokuwa Mbaya kwenu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
Karibuni muone mwaka 2025 utakavyokuwa Mbaya kwenu
Mwaka hauwi mbaya kwa maneno ya binadamu mitandaoni
Mwaka utaisha salama salmini na utaufuta huu uzi wako wa ajabu ajabu hapa

Mungu hamilikiwi na kikundi cha watu,Mungu ni wa viumbe wote

Au kwa akili yako ilivo ndogo unaona Mungu anakusikia wewe sana kuliko Binadamu wengine?
 
We muongo na vitisho vyako, Muuaji au hitman ahitaji cv ya mtu ili amuue, anahitaji picha yako na unaishi wapi, basi.

Hitman cv yako inamsaidia nini?
Huyo Lisu, hana cha muku wala alama yoyote.

Atashindwa, na atabaki chadema au ataondoka na wahuni wake, chama kitajengwa upya.
 
Mbowe anamshinda Lissu kwa 70% asubuhi na mapema bila hila wala kuvhakachua. Mtaji wa Mbowe uko kwa wapiga kura wakati Lissu mtaji wake ni mashabiki wa kwenye mtandao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…