ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
MUKU ninayoifahamu mimi ni ile ambayo haiombwi na wala haitafutwi bali yenyewe huja kwa yule aliyetunukiwa !Inashangaza sana watu humu ndani wanavyosifia mtu kuingia mkataba wa kulindwa na majini.
Maana MUKU ni kulindwa na majini, watu wanazidi kumuweka mbali Mungu, na hawana haja Naye.
Na narudia hakuna MUKU yoyote maana ingekuwa ni MUKU hakuna Risasi ingemuingia.
Hizo ni Kinga za kawaida basi.
We muongo na vitisho vyako, Muuaji au hitman ahitaji cv ya mtu ili amuue, anahitaji picha yako na unaishi wapi, basi.
Hitman cv yako inamsaidia nini?
Huyo Lisu, hana cha muku wala alama yoyote.
Atashindwa, na atabaki chadema au ataondoka na wahuni wake, chama kitajengwa upya.
Mwaka hauwi mbaya kwa maneno ya binadamu mitandaoni
Mwaka utaisha salama salmini na utaufuta huu uzi wako wa ajabu ajabu hapa
Mungu hamilikiwi na kikundi cha watu,Mungu ni wa viumbe wote
Au kwa akili yako ilivo ndogo unaona Mungu anakusikia wewe sana kuliko Binadamu wengine?
Hamna lolote,kata funua ipo pale paleKusikia kwa kenge Mpaka .....
Tusiandikie Mate wakati Wino upo.
Fanyeni Uhuni alafu tutarejea kwenye huu uzi kabla ya 31december
Ukimdhulum Lissu lazima Ufe.Damu yoyote ya mtu ikimwagwa pasipo HAKI lazima Kuna madhara, hii LAANA alipitisha Mungu mwenyewe, hakuna Cha muku Wala muki!!
Kusikia kwa kenge Mpaka .....
Tusiandikie Mate wakati Wino upo.
Fanyeni Uhuni alafu tutarejea kwenye huu uzi kabla ya 31december
Hahahaha.....Robert
Hamna lolote,kata funua ipo pale pale
Mbona unaumia sana,kila muda unaandika andika mambo ya chadema,yanakuumiza kichwa kuliko wajumbe wenyewe,yanakuhusu?achana na Mambo ya watuHaya.
Tukutane Kwanza 21
Alafu mlete ujinga wenu.
Imeandikwa wapi lazima lisu ndio ashinde nyie?yani akishinda mwingine eti Rushwa😀mnachekeshaHaya.
Tukutane Kwanza 21
Alafu mlete ujinga wenu.
Nazuiwa na Katiba?Mbona unaumia sana,kila muda unaandika andika mambo ya chadema,yanakuumiza kichwa kuliko wajumbe wenyewe,yanakuhusu?achana na Mambo ya watu
Chama cha Mbowe kikifa,wewe inakuhusu nini?pambania familia yako.
Muku muku,muku ndio takataka gani?Acheni kuaminishwa upuuzi nyieNazuiwa na Katiba?
Au kuna Sheria yoyote inanizuia kufanya haya?
Imeandikwa wapi lazima lisu ndio ashinde nyie?yani akishinda mwingine eti Rushwa😀mnachekesha
Ccm inashinda miaka yote mbona hizo laana zenu hazifanyi kazi
Wapumbavu tu kama nyie ndio mnaoamini ujinga
Muku muku,muku ndio takataka gani?Acheni kuaminishwa upuuzi nyie
Utarudi labda kwa familia yako ndio afe mtu ila sio kuombea wengine wafe,utakufa weweMbona kama umeogopa?
Mshinde Lisu kwa kutumia hizo mbinu za CCM ziwe haramu alafu Mpaka December 31 tutarudi kwenye huu uzi.
Vichwa ngumu kama wewe hamwezi kuelewa mambo madogo kama haya.
Mbona Bashite hajafa?Wana bodi!
Mimi kama Kuhani Katika Hekalu Jeusi ambaye ninaufahamu wa mambo mbalimbali ya Kiroho. Nimeona niwajulishe hili.
Kwenye huu Ulimwengu kuna watu walichorwa Alama na miungu ambayo alama hiyo kwao ni ulinzi. Ukiwagusa unapasuka wewe.
Kwenye Biblia mtu pekee aliyeripotiwa kuwekewa Alama na Mungu ni Kaini ambaye aliwekewa Alama kwenye paji la Uso wake. Ili watu wanaotaka kumuua wakiiona wasimuue. Na yeyote atakayethubutu kumuua basi Mungu atampasua na kumuangamiza.
Alama za namna hiyo huitwa MUKU.
Kwenye Ngumi mtu aliyechanjiwa MUKU akikutwanga Ngumi Moja kwenye ule Mkono wake wenye chale(Alama za miungu) unaweza kuzima au kukata Moto.
Au kuna wale Mwalimu ukimchapa mwanafunzi mwenye MUKU Mwalimu unavimba Mikono au unaumwa Mkono.
Haya mambo wengi hawayajui kwa sababu sio Elimu maarufu
Lissu anaweza kuingia kwenye kundi hilo la watu Wachache wenye MUKU.
Ukimdhulumu uwe umejipanga haswahaswa maana Hapana Shaka miungu iliyompa hiyo MUKU utacheza nayo vilivyo.
Kwa professional Killer, lazima anapotumwa Kuua mtu lazima awe na CV ya mtu anayeenda Kumuua. Na kama atagundua mtu huyo anaalama za miungu, MUKU ambayo inamlinda Basi professional Killer huweza kumshauri aliyemtuma Njia nyingine mbadala mbali na kumuua huyo mtu.
Pia kuna watu ambao Miili yao wameilaani na kuisomea Dua kuwa yeyote atakayeudhuru mwili wake kwa kuuua Basi Laana na majanga atakayoyataja yampate huyo Muuaji.
Miili hiyo inajina lake na ibada zake hufanywa na mtu mwenyewe mbele za mizimu, makuhani wa Nguvu za Giza, waganga au Majini.
Sisi bado ni watazamaji
Utarudi labda kwa familia yako ndio afe mtu ila sio kuombea wengine wafe,utakufa wewe
Wewe ndio utaenda,hio muku yako unayoiimba huku usiku na mchana itapita na wewe mwenyewe😊😊
Wewe si Jasiri. Nini kinakuogopesha sasa?
Fanyeni mipango ovu muone kama mwaka huu kilio hakibishi hodi kwenye familia zenu
Upuuzi huuHuenda hakuhusika.
Zilikuwa hisia tuu