Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe.

MUKU ninayoifahamu mimi ni ile ambayo haiombwi na wala haitafutwi bali yenyewe huja kwa yule aliyetunukiwa !
Wakati mwingine hata yeye mwenyewe huwa hajui !
Ila yawezekana MUKU ikawa ina maana tofauti tofauti kwa imani tofauti tofauti !
 

Ndio maana nikasema Professional Killer
Kila mtu anaweza kuwa muuaji lakini sio kila mtu anaweza kuwa Professional Killer
 

Kusikia kwa kenge Mpaka .....
Tusiandikie Mate wakati Wino upo.
Fanyeni Uhuni alafu tutarejea kwenye huu uzi kabla ya 31december
 
Haya.
Tukutane Kwanza 21
Alafu mlete ujinga wenu.
Imeandikwa wapi lazima lisu ndio ashinde nyie?yani akishinda mwingine eti Rushwa😀mnachekesha

Ccm inashinda miaka yote mbona hizo laana zenu hazifanyi kazi

Wapumbavu tu kama nyie ndio mnaoamini ujinga
 
Mbona unaumia sana,kila muda unaandika andika mambo ya chadema,yanakuumiza kichwa kuliko wajumbe wenyewe,yanakuhusu?achana na Mambo ya watu
Chama cha Mbowe kikifa,wewe inakuhusu nini?pambania familia yako.
Nazuiwa na Katiba?
Au kuna Sheria yoyote inanizuia kufanya haya?
 
Imeandikwa wapi lazima lisu ndio ashinde nyie?yani akishinda mwingine eti Rushwa😀mnachekesha

Ccm inashinda miaka yote mbona hizo laana zenu hazifanyi kazi

Wapumbavu tu kama nyie ndio mnaoamini ujinga

Mbona kama umeogopa?
Mshinde Lisu kwa kutumia hizo mbinu za CCM ziwe haramu alafu Mpaka December 31 tutarudi kwenye huu uzi.

Vichwa ngumu kama wewe hamwezi kuelewa mambo madogo kama haya.
 
Mbona kama umeogopa?
Mshinde Lisu kwa kutumia hizo mbinu za CCM ziwe haramu alafu Mpaka December 31 tutarudi kwenye huu uzi.

Vichwa ngumu kama wewe hamwezi kuelewa mambo madogo kama haya.
Utarudi labda kwa familia yako ndio afe mtu ila sio kuombea wengine wafe,utakufa wewe
 
Mbona Bashite hajafa?
 
😊😊

Wewe si Jasiri. Nini kinakuogopesha sasa?
Fanyeni mipango ovu muone kama mwaka huu kilio hakibishi hodi kwenye familia zenu
Wewe ndio utaenda,hio muku yako unayoiimba huku usiku na mchana itapita na wewe mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…