Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe.

Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe.

Katishie wapuuzi wenzako,ukiandika andika vimada vyako vya kukopi na kupaste ukapata likes mbili tatu,kichwa kinavimba unajiona sasa unaweza tabiria watu vifo

Wewe ni mpuuzi uliekubuhu

😃😃
Subiri ujionee.
Usije ukashiriki familia utaiponza. Usijesema hukuambiwa
 
Wenzako wenye Akili walijua nazungumzia nini, wewe ungeweka shingo yako Kibla
Yaani hatoi sababu za kutusi, basi tu ameamua illogically kutukana. Hii ni reflection ya watu wengi wa jamii hii ya Tanganyika, hawapendi facts, wala kuupokea ukweli, hata ukiwa dhahiri. Ni cancer mbaya!
 
Back
Top Bottom