Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #41
CCM ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania na kilicho na uchungu na maisha ya watanzaniaNinakubaliana na wale waliocoment kuwa Lucas anaumwa ila hajitambui kuwa ni mgonjwa,watu wanapotekwa na kuuawa kwa sababu ya kisiasa kwake taifa liko salama kisiasa,wananchi kulazimishwa kuongozwa na viongozi ambao hawakuwachagua yote hayaoni,kwake taifa ni salama kisiasa.
Baada ya majenerali kujitoa muhanga kulinda mipaka ya nchi yetu walitakiwa watambue kuwa adui wa nchi hii ambaye wanatakiwa kujitoa muhanga kupambana naye tena hatoki nje ya mipaka yetu yuko ndani ya nchi yetu ambaye ni CCM no 1 ambaye ndiye muasisi was mambo yote machafu ndani ya nchi hii.
Mwananchi ndiye alikwenda akapigana vita vya uganda na Tanzania?wananchi ndiye anakesha usiku kucha akilinda mipaka yetu? Mwananchi ndiye anakesha akipambana na Magaidi yenye silaha za kivita?Mlinzi wa kwanza wa Taifa ni Mwananchi na huyu asipoelewa au kuwa mzalendo hakuna nchi..., Ndio maana akaitwa mwananchi...
Ukinisoma utaona nimetoa angalizo (walamba asali wa sasa wanamuona huyu bwege) siku akibadilika na nchi ikitoka kwenye reli huenda isirudi hata baada ya karne kadhaa...
Aisee unadhani nani alipigana vita vya Uganda ? Mercenaries kutoka nje ya nchi ? Kwa taarifa yako vita vikitokea mgambo na hata watu wenye umri zaidi ya miaka 18 mnaanza kukusanywa na kwenye kupigwa msasa wa muda mchache tena ikibidi nyie ndio mnatangulia kama chambo..., Tatizo watu Vita mnavisikia au kuviangalia kwenye sinema au mnadhani ni kama kucheza playstationMwananchi ndiye alikwenda akapigana vita vya uganda na Tanzania?
Unadhani bila mwananchi kuwa macho ya nchi akija mtu asiyeeleweka mtaani ni nani atapata taarifa ? Au unadhani inteligensia huwa inatoka kwenye computer fulani au karai la mpiga ramli ? Unadhani leo mwananchi akiamua kwamba waliopo hapo hawafai kuna wa kumfukuza ? Unadhani bila mwananchi kuwa calm and collected baada ya JPM kufa, kusingetokea power struggle ?wananchi ndiye anakesha usiku kucha akilinda mipaka yetu?
Hivi hata unajua maana ya gaidi ? Magaidi wanatokea mitaani wala hawahitaji silaha za kivita akivaa tu bomu tena la kutengenezea nyumbani kwa kutumia mbolea ya ammonia anaweza kuingia sehemu na kuua watu lukuki..., ni macho ya mwananchi au wananchi kuishi kwa upendo ndio maana hakuna ugaidi wala chuki baina ya watu na watu hivyo badala ya watu kupigana makofi wanagonga cheers na kuchekeana kwa upendo... (Solidarity)Mwananchi ndiye anakesha akipambana na Magaidi yenye silaha za kivita?
Upo sahihi ni chizi hata wazazi wake wanalijua hiloNadhani Luca ni mgonjwa na hajijui kwamba anaumwa
Ishu ni kuwa wewe uwezo wako ni wa kuwa chawa tu, kilimo kiwe cha ngazi yoyote kinahitaji mtu anayejitambua, tofauti na wewe unayetumika kiboya.Hata hivyo sizani hata kama unaelewa maana ya kilimo na namna kinavyofanyika.
Siwezi kushangaa kwa wewe kuota ndoto za aina hiyo maana ni kawaida kwa machizi na vichaa kuota ndoto za aina hiyo .hasa kwa kuzingatia mazingira wanayoishi ya majalalaniLeo nimeota umejinyea
Unaelewa maana ya kilimo?Ishu ni kuwa wewe uwezo wako ni wa kuwa chawa tu, kilimo kiwe cha ngazi yoyote kinahitaji mtu anayejitambua, tofauti na wewe unayetumika kiboya.
Inawezekana vipi na wewe ukawa na akili ya kuhoji akili kubwa za watu.Upo sahihi ni chizi hata wazazi wake wanalijua hilo
UchawaNdugu zangu Watanzania,
Ukiona vyaelea ujuwe vimeundwa.tupo hapa tulipo tukiwa na utulivu wa kisiasa kwa sababu kuna watu walijitoa kwa jasho na Damu kulilinda ,kulipigania na kulitetea Taifa letu.tupo hapa tulipo kwa sababu kuna watu walitimiza vyema sana wajibu wao na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa letu badala ya matamanio yao binafsi.
Tupo hapa tulipo kwa sababu kuna watu waliamua kuilinda,kuitetea,kuihifadhi na kuilinda katiba yetu ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania dhidi ya wenye uroho na uchu wa madaraka.tupo hapa tulipo kama Taifa kwa sababu ya wazalendo ambao waliamua kwa jasho na Damu kulibeba Taifa letu katika mioyo ,vifua na Mabega yao.
Tupo hapa tulipo kama Taifa kwa sababu kuna watu waliamua kusahau na kuwa mbali na familia zao kwa ajili ya kupigania na kulinda maslahi ya Taifa letu. Ni uchapakazi wao, kujitoa na kujitolea kwao,uadilifu wao, uzalendo wao,uaminifu wao na kulinda viapo vyao kwa Taifa letu ndio kumefanya Taifa letu kuendelea kuwa lenye Amani,utulivu na usalama wa kutosha.
Watanzania tutambue ya kuwa hawa wazee wetu wameumia sana ,kuteseka sana ,kunusurika kifo na kupoteza Maisha yao kwa sababu ya kulilinda Taifa letu. Wamevuja jasho na Damu kutetea na kuilinda mipaka yetu. miili yao ilijaa na kuvuja jasho kwa ajili yetu watanzania. Hivyo hatuna budi kuwaheshimu,kuwaombea na kutambua mchango wao na uzalendo wao uliotukuka kwa Taifa letu ambao hakuna pesa ya aina yoyote ile na ya kiwango chochote kile inaweza kulingana na kujitoa kwao walikofanya kujitoa Maisha yao kwa ajili yetu.
Mungu wa Mbinguni aendelee kuwajalia Maisha marefu hawa Majenerali wetu.aendelee kuwapatia afya njema na uhai, kwa sababu ni hazina kwa Taifa letu na mawazo yao bado yanahitajika sana kwa Taifa letu.
View attachment 3143045
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Uchawa pia ni kazi sema intweza utuNdugu zangu Watanzania,
Ukiona vyaelea ujuwe vimeundwa.tupo hapa tulipo tukiwa na utulivu wa kisiasa kwa sababu kuna watu walijitoa kwa jasho na Damu kulilinda ,kulipigania na kulitetea Taifa letu.tupo hapa tulipo kwa sababu kuna watu walitimiza vyema sana wajibu wao na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa letu badala ya matamanio yao binafsi.
Tupo hapa tulipo kwa sababu kuna watu waliamua kuilinda,kuitetea,kuihifadhi na kuilinda katiba yetu ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania dhidi ya wenye uroho na uchu wa madaraka.tupo hapa tulipo kama Taifa kwa sababu ya wazalendo ambao waliamua kwa jasho na Damu kulibeba Taifa letu katika mioyo ,vifua na Mabega yao.
Tupo hapa tulipo kama Taifa kwa sababu kuna watu waliamua kusahau na kuwa mbali na familia zao kwa ajili ya kupigania na kulinda maslahi ya Taifa letu. Ni uchapakazi wao, kujitoa na kujitolea kwao,uadilifu wao, uzalendo wao,uaminifu wao na kulinda viapo vyao kwa Taifa letu ndio kumefanya Taifa letu kuendelea kuwa lenye Amani,utulivu na usalama wa kutosha.
Watanzania tutambue ya kuwa hawa wazee wetu wameumia sana ,kuteseka sana ,kunusurika kifo na kupoteza Maisha yao kwa sababu ya kulilinda Taifa letu. Wamevuja jasho na Damu kutetea na kuilinda mipaka yetu. miili yao ilijaa na kuvuja jasho kwa ajili yetu watanzania. Hivyo hatuna budi kuwaheshimu,kuwaombea na kutambua mchango wao na uzalendo wao uliotukuka kwa Taifa letu ambao hakuna pesa ya aina yoyote ile na ya kiwango chochote kile inaweza kulingana na kujitoa kwao walikofanya kujitoa Maisha yao kwa ajili yetu.
Mungu wa Mbinguni aendelee kuwajalia Maisha marefu hawa Majenerali wetu.aendelee kuwapatia afya njema na uhai, kwa sababu ni hazina kwa Taifa letu na mawazo yao bado yanahitajika sana kwa Taifa letu.
View attachment 3143045
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu mimi siku zote najua wewe na Lucas Mwashambwa mko kwenye boat moja, sasa mbona umempiga kijembe mwenzio?Amtegemeaye Mwanadamu mwenzake πΌ
Lucas ni kijana wangu so Nina jukumu la kumjulisha mambo muhimu πMkuu mimi siku zote najua wewe na Lucas Mwashambwa mko kwenye boat moja, sasa mbona umempiga kijembe mwenzio?
πNadhani Luca ni mgonjwa na hajijui kwamba anaumwa
Wazalendo wa dhati kwa Taifa letu.Makada waandamizi wa Lumumba.
Kina uchungu wa kuteka na kuuawa kwa sababu wananchi haohao ndio wanaotekwa na kuuawa na kulazimishwa kuongozwa na viongozi ambao hawakuwachagua.CCM ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania na kilicho na uchungu na maisha ya watanzania
I don't respond to stupid questions from certified idiots like you.Unaelewa maana ya kilimo?
Somo la Botswana wamelielewa, subirini mwakani π€π€Ndugu zangu Watanzania,
Ukiona vyaelea ujuwe vimeundwa.tupo hapa tulipo tukiwa na utulivu wa kisiasa kwa sababu kuna watu walijitoa kwa jasho na Damu kulilinda ,kulipigania na kulitetea Taifa letu.tupo hapa tulipo kwa sababu kuna watu walitimiza vyema sana wajibu wao na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa letu badala ya matamanio yao binafsi.
Tupo hapa tulipo kwa sababu kuna watu waliamua kuilinda,kuitetea,kuihifadhi na kuilinda katiba yetu ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania dhidi ya wenye uroho na uchu wa madaraka.tupo hapa tulipo kama Taifa kwa sababu ya wazalendo ambao waliamua kwa jasho na Damu kulibeba Taifa letu katika mioyo ,vifua na Mabega yao.
Tupo hapa tulipo kama Taifa kwa sababu kuna watu waliamua kusahau na kuwa mbali na familia zao kwa ajili ya kupigania na kulinda maslahi ya Taifa letu. Ni uchapakazi wao, kujitoa na kujitolea kwao,uadilifu wao, uzalendo wao,uaminifu wao na kulinda viapo vyao kwa Taifa letu ndio kumefanya Taifa letu kuendelea kuwa lenye Amani,utulivu na usalama wa kutosha.
Watanzania tutambue ya kuwa hawa wazee wetu wameumia sana ,kuteseka sana ,kunusurika kifo na kupoteza Maisha yao kwa sababu ya kulilinda Taifa letu. Wamevuja jasho na Damu kutetea na kuilinda mipaka yetu. miili yao ilijaa na kuvuja jasho kwa ajili yetu watanzania. Hivyo hatuna budi kuwaheshimu,kuwaombea na kutambua mchango wao na uzalendo wao uliotukuka kwa Taifa letu ambao hakuna pesa ya aina yoyote ile na ya kiwango chochote kile inaweza kulingana na kujitoa kwao walikofanya kujitoa Maisha yao kwa ajili yetu.
Mungu wa Mbinguni aendelee kuwajalia Maisha marefu hawa Majenerali wetu.aendelee kuwapatia afya njema na uhai, kwa sababu ni hazina kwa Taifa letu na mawazo yao bado yanahitajika sana kwa Taifa letu.
View attachment 3143045
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.