Kwani yule Mwendazake sijui Mwendakuzimu zaidi ya kuwapeleka rumande, Je ni wangapi walikutwa na hatia?Utaratibu upo vipi kwani? Miaka yote ndio hivyo. Lakini kuna kiongozi ameweka loophole ili wapigaji wasifikishwe mahakamani kwa kigezo kuwa yupo fair
Inafikirisha !!Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.
Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.
Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.
Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Duh ! Nchi ya vioja hii !! Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni ! Kazi kweli kweli !Kwani yule Mwendazake sijui Mwendakuzimu zaidi ya kuwapeleka rumande, Je ni wangapi walikutwa na hatia?
Yule HAYAWANi aliwatuhumu watu n kuwaweka ndani kuanzia 2016, lakini mpaka anakufa hakuna hata mmoja ambaye Mahakama ilimkuta na HATIA. Achana na wale wa OLEA BARGAINING feki ambao fedha ziliingia kwa mfuko binafsi wa Magufuli na Biswalo Mganga
Acha iwe hivyo. Ufisadi una faida na hasara. Tatizo linakuja pale wanapoiba ndani na kupeleka nje badala ya kuwekeza humu humu.Utaratibu upo vipi kwani? Miaka yote ndio hivyo. Lakini kuna kiongozi ameweka loophole ili wapigaji wasifikishwe mahakamani kwa kigezo kuwa yupo fair
Wewe umepiga kiasi gani hadi sasa?Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.
Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.
Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.
Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Acha tuu irudi nyumba kwa mseleleko kama hivi 😆😆Nchi yetu inarudi nyuma kwa kasi ya 4G
Wewe kama ni Mzee huna chako ila vijana ndio kipaombele cha Rais 👇Mimi kama mnyonge nimekubali tu kwamba Samia ni rais ila wanyonge sio kipaumbele kwake.
Tusubiri tu labda awamu ijayo.
Mimi nazungumzia wanyonge we unazungumzia vijana.Wewe kama ni Mzee huna chako ila vijana ndio
kipaombele cha Rais 👇
Wewe kama ni mnyonge Mzee tafuta nyumba za kulelea wazee, focus ya serikali ni kwa vijana kuwezeshwa wachangie maendeleo ya Nchi..Mimi nazungumzia wanyonge we unazungumzia vijana.
Chaww wa mwendakuzimu ndiyo wanateseka awamu hiiMama anaupiga mwingi. Mtajiju na vijiba vyenu vya roho.View attachment 2263216
Kuongoza nchi ni sanaa na siku zote ni kipaji. Umeamua kuyaamini yale maneno kwamba katika awamu yake ya tano tajiri anafanywa lolote!.Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.
Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.
Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.
Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
RubishKuongoza nchi ni sanaa na siku zote ni kipaji. Umeamua kuyaamini yale maneno kwamba katika awamu yake ya tano tajiri anafanywa lolote!.
Unapomfanya lolote tajiri maana yake tayari umeshawauwa maskini maelfu kwa maelfu. Ndio akili yako mkuu Nyankurungu2020 inapotaka taifa hili lielekee!?.
Sidhani kama kuna tajiri anayeishi kama shetani ndani ya awamu ya sita, uhusiano ukiwa mwema hakuna sababu ya kutunza hasira.
RubbishChaww wa mwendakuzimu ndiyo wanateseka awamu hii
Safi sana
Rais hajasema watuhumiwa wasifikishwe Mahakamani, kasema utaratibu wa kesi kila siku UPELELEZI haujakamilika ni kuwanyima HAKI ZAO. Unamkamata mtu halafu huna ushahidi? Unamsotesha gerezani halafu unakuja na utaratibu wa 'kili kosa lipa utoke au uendelee kusota'!
Peleleza pata ushahidi kisha ndiyo mkamate mtu.
Amiri jeshi anapapaswa jamani.Safi sana
Yatima kazi unayo, Kayafa is dead and buried.Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.
Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.
Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.
Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.
Wale wazalendo waliokuwepo zile hela za malipo ya wahujumu uchumi walizokusanya ziliwekwa kwenye akaunti gani ya serikali ? Maana CAG Hakuziona !Taifa linapokuwa na kiongozi ambaye anaonyesha kuwa yupo fair. Kwamba yeye ni mtu safi hataki kusikia wahujumu uchumi, watakatishaji pesa na wala rushwa wakifikishwa kizimbani taifa hilo litambue kuwa anatengeneza mazingira ya kuungwa mkono na wahalifu.
Kwa namna yoyote ile taifa hilo litambue kuwa huyo mtawala anataka kufanya upigaji ili nae apate sapoti ya wapigaji wenzake.
Taifa letu lipo kwenye muelekeo mbaya sana. Wapigaji wakubwa hawaguswi na hii ni dalili mbya.
Tupo kwenye uelekeo mbaya sana.