Prof.Ndalichako ni Jimbo la Kasulu MasharikiWatu hawampendi Kitila. Kuna jamaa fulani pale Makuburi wanasema arudi upinzani alikotokea..
Kiukweli jamaa alikuwa planted na Magu pale Ubungo. Nia yake alikuwa agombee Iramba Magharibi ila Mwigu akataka kumuwashia moto wa rushwa ndipo Magu akamtonya kwamba toka huko haraka njoo Ubungo.
Wengine planted ni Prof Mkenda-Rombo, Prof. Ndakidemi-Moshi Vijijini, Prof. Kabudi-Kilosa, Prof. Ndakichako-sikumbuki jimbo, Dr. Kimei-Vunjo et al
Asànte sanaProf.Ndalichako ni Jimbo la Kasulu Mashariki
Majimbo yote na urais juuNatafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani?
Wanasiasa wapya watakuwa akina nani?
Uchaguzi ukiwa huru na haki kama ule wa George Weah haki ya mungu hata na Samia anakwenda na maji asubuhi mapemaNatafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani?
Wanasiasa wapya watakuwa akina nani?
Mbeya Mjini lazima iende upinzani no matter what.Natafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani?
Wanasiasa wapya watakuwa akina nani?
Hahahaaa ATI wachagga hawana ukabilaWakabila nchi hii ni Wahaya na Wasukuma, wachagga hawajui hilo kabisa.
Vipi mbona mna mbunge mpya Bahati Kenneth mwana wa Ndingo au nae hamna kitu.Mbalari CCM wakipata Kura 10k nitaamini uchawi upo.
Ni either kichwani haupo vizuri au kuna namna unanufaika na chama tawala. Kwa mtu anaejitambua na mwenye akili vizuri hawezi kuandika upuuzi huu!Wanapiga hesabu za posho na ruzuku hao...hii miaka mi 5 ambayo hawako mjengoni njaa imewabamba sana...!
Ila yule mzee mwendazake kajua kuwaweka watu na njaa...[emoji1787]
Unagongwa kweli wewe, watu wa Mwanga hadi milimani Usangi ni level ingine kiakili. Hamna mabwege kuleVunjo, Moshi Vijijini, Moshi Mjini, Rombo, Hai na Siha mkoani K'Njaro lazima yatarudi upinzani kwani watu wa kule wanajielewa vyema. Sina uhakika sana na Same Mashariki/Magharibi na Mwanga kwani kule ni species ingine na bado kidogo u-zuzu upo.
Mbeya mjini. Betina 2025 lazima alambe nyasiNatafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani?
Wanasiasa wapya watakuwa akina nani?
Lakini hawajaweza kujinasua na CCM hata mara moja kwa hiyo ni ma-zuzu tu.Unagongwa kweli wewe, watu wa Mwanga hadi milimani Usangi ni level ingine kiakili. Hamna mabwege kule
Wangekuwa na akili wangeenda kuishi na kima milimani?Unagongwa kweli wewe, watu wa Mwanga hadi milimani Usangi ni level ingine kiakili. Hamna mabwege kule
Mbeya mjini wenyeji sio wanyakyusaMbeya mjini bado pana changamoto sababu wanyakyusa wanaubaguzi kama wahaya
Mbeya Mjini ni Wasafwa nahisiMbeya mjini wenyeji sio wanyakyusa
YesMbeya Mjini ni Wasafwa nahisi