twende apa zora zoraa zoranga nikiw daslam nilisikia mchizi wangu anamuita mchizi wake majina hayo. nkamuuliza akaniambia ndio majina yake alimpa mapya akatengenezea paspot ya kuingia ulayawakuu mambo ni vipi
Embu Leo Taja jina la mtu ambaye hujawahi Kulisikia tena baada ya kukutana na mtu analitumia.
Mimi nilikutana na jamaa anaitwa drufiano lile jina sijawahi kulisikia sehemu nyingine hata gugo halipo.
Taja jina ambalo ulikutana na mtu analitumia hujawahi kulisikia tena mahali nyingine
Hili ni jina moja au mawili tofauti?πKeshomshahara
Siku nyingi sana.Sijajua.Sijui kwa sasa anafanya shughuli gani...
Sidueli Bado..Tryphon
Sidueli
Wangoni majina yetu ni full animals,Ndio unaweza kuona la ajabu ila kweny jamii fulani ndio popular..
Kama wangoni wana majina ya wanyama kama komba ,nyani ,tumbiri, paka
Jina Moja, askofu wa Anglican kama sijachanganya madesa.Hili ni jina moja au mawili tofauti?π
Very unique Identity, Hongera yenu!Wangoni majina yetu ni full animals,
kiranga , mtango na mtangalo ni wasukuma mkuu?Mtango Mtalalango ni mtanzania mwenzangu nikisoma naye Msc. Pale Algeria lakini pia na Kiranga wa JF. Kajamaa ka kisukuma, kafupi kabeba Mabox na kaosha wazee huko kwa bidden ila ndio kajuaji ka JF. Nilichojifunza kwake, unaweza mtoa msukuma Tanzania na kumpeleka kuishi kwa Dada yake USA ila huwezi utoa usukuma ndani yakeπππππ
Hivi jamaa kapotelea wapi?Chikumbalaga
halafu kuna tambala mngoni halafu kuna katambala muhayaWangoni majina yetu ni full animals,
ni wakishua?Sidueli Bado..
Ila Tryphone wapo Kuna Mshkaji wangu mmoja anaitwa Hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23] shida ukitaja fulani, tayari wanajua unatoka bombii nyumbiiii.Very unique Identity, Hongera yenu!
mimi nilikutana na elirehema daah yule kenge alikuwa na akili darasani πππ»Hili jina jamaa alikuwa mpare anaitwa Elinyau halafu alikuwa mchungaji ...Sijawahi kuona maana Kilimanjaro kuna elineema ,eliwangu , eliamini.
Tambala ni wamatengo kiasili.halafu kuna tambala mngoni halafu kuna katambala muhaya
haya majina mbona kweli unique hivi ushawahi kutana na mtu anaitwa raraa reree ππtwende apa zora zoraa zoranga nikiw daslam nilisikia mchizi wangu anamuita mchizi wake majina hayo. nkamuuliza akaniambia ndio majina yake alimpa mapya akatengenezea paspot ya kuingia ulaya