Taja mwiko, mila au desturi za kabila lenu au mahali ulipokulia

Taja mwiko, mila au desturi za kabila lenu au mahali ulipokulia

1. Ni mwiko kupita katikati ya watu waliosimama au kukaa.
2. Hairuhusiwi kulala ukweni japo kwa usiku mmoja. Leo tunaenda ukweni na kufunga taulo kabisa wiki mbili..dah.
3. Mwiko kula kabla ya watu wazima..
 
Nimeipenda sana mada yako na huu uzi tukiutumia vizuri una fada kubwa sana kijamii.

Hili ni somo ambalo watu wanachukuwa mpaka PhD lipo kwenye "anthropology".
Uko sahihi mkuu,nina jamaa yangu yuko Kwa wamasai huko "Cultural Anthropology"
 
kwetu

ukifagia usiku ndani usitupe matakataka nje yaache kwenye kona ya mlango utamwaga asbh

ukifagiwa uwanja hakikisha umezoa mataka unavyoacha kuku akayachakua ndio riziki yako itakavyokua utaikisanya usijue imeenda wapi

ni mwiko mjamzto kukaa kizingitini akiwa leba mtoto atakwama

mjamzito haruhusiwi kuchungulia nje akiwa ndani mtoto atakua anachungulia na kurud wakat wa kuzaliwa

siku ya harusi mume hupikia pishi maalum huitwa kombe, linakua kama n pilau chini kunawekwa kisosi na nyama tele ila ubwabwa wa moto sana sasa bwana harusi anatakiwa aingize mkono bila kutoa akitoe hiko kisos kupimwa urijali wake

mama yako akikusemea maneno ya kukulaani huyaondoa kwa kuchota maj kwenye kata kopo lenye mkono wa kushikia akiyaonda huku umempa mgongo ukiwa umesimama kizingitini kisha anakumwagia hayo maji mgongo tena ukitoka ukae nje dk kadhaa ndipo uingie inaaminika hiolaana ameivunja

ni mwiko kuvaa nusu uchi kwa mwanamke au msichana ambaye hajaolewa utavaa hivyo kwa mumeo

ni mwiko kusonga ugali ile sufuria ikawa inatoa sauti haitakiw
Wewe mdigo ,mzaramo, mkwere au msengeju.
 
Wakuria ukoo wa wakira.
1. Mwanamke haruhusiwi kupanda juu ya nyumba kuezeka. Hata kama mumewe alishafariki anatafuta wanaume wamuezekee.
2. Ni marufuku kukata au kuharibu mti wenye matunda ambao tayari umezaa matunda(una matunda kwa muda huo)
3. Kuwapiga wazazi laana yake sio ya dunia hii na haisafishiki hata kwa damu.
4. Ni marufuku mwanaume uliyeoa kulala upande wa ukutani. Hii Mara nyingi ni ikiwa kuna dharura basi usimvuke mkeo(familia) kwani huenda hutarudi salama.
5. Ukiwa umetengewa chakula na mkeo,Mara ghafla yowe,mwano au nduru kuashiria hatari kweny jamii basi innashauriwa uonje japo kidogo kutia suna.. Usiache chakula bila kukigusa....ni mkosi.
6. Mwanaume uliyeoa ni lazima uwe na silaha yoyote ndani sime au panga.
Kwa sasa ni hayo kutokea sirari border
Eti kutokea bukira kwa kina heche
 
Wakuria ukoo wa wakira.
1. Mwanamke haruhusiwi kupanda juu ya nyumba kuezeka. Hata kama mumewe alishafariki anatafuta wanaume wamuezekee.
2. Ni marufuku kukata au kuharibu mti wenye matunda ambao tayari umezaa matunda(una matunda kwa muda huo)
3. Kuwapiga wazazi laana yake sio ya dunia hii na haisafishiki hata kwa damu.
4. Ni marufuku mwanaume uliyeoa kulala upande wa ukutani. Hii Mara nyingi ni ikiwa kuna dharura basi usimvuke mkeo(familia) kwani huenda hutarudi salama.
5. Ukiwa umetengewa chakula na mkeo,Mara ghafla yowe,mwano au nduru kuashiria hatari kweny jamii basi innashauriwa uonje japo kidogo kutia suna.. Usiache chakula bila kukigusa....ni mkosi.
6. Mwanaume uliyeoa ni lazima uwe na silaha yoyote ndani sime au panga.
Kwa sasa ni hayo kutokea sirari border
Yes. Mambo ni bambam.

Ukisikia yowe inapigwa ukiwa juu ya paa ya nyumba unaezeka, usishuke na wala usiende huko kwenye yowe. Ukienda linaweza kukukuta balaa hutasahau.

Siku moja ilipigwa yowe watu wakiwa wanafuatilia wezi wa ng'ombe. Jamaa mmoja aliyekuwa juu ya paa anaezeka, akashuka na kwenda kusaidia kufuata nyayo za wezi. Alipofika kule watu wakamfananisha na mwizi wakaanza kumpiga.

Kaka yake asingekuwepo aingilie kati, huenda wafuata nyayo wangemuua. Hii ni kutoka Ntimaru (Kenya) mpakani mwa Kenya na Tanzania.
 
Umasaini au mila za kimasai kutema mate kwa mwenzio ni kawaida
Kwa mfano kama mnataka kusalimiana unatemea mate mkono ndio unampa mwenzio mkono hii ni moja ya heshima
Hii ni kwa marafiki
Pia wazee watawatemea watoto waliozaliwa kwenye paji la uso kuwapa Baraka

Na kina baba watawatemea watoto wao wa kike kichwani sio ya ndoa kuwapa Baraka na upendo
Mate si yatakuwa mengi sana yani kwasiku nzima utakaukiwa maji
 
sufuria ni uke wako mwiko ni mboo, maana yake huwez ukatombwa ukamaliza bila kusafisha mboo ya bwana, hongera umeandalia vizur, speaking from my experience.
Umeongea kiutuzima zaidi .... kumbe uke una mfano wa sufuria na hamsemi sisi tuna hangaika kuikomesha
 
Kwenye ukoo wetu
1. Mwiko kuoa mchaga
2. Mwiko kuzaa nje ya ndoa
3. Mwiko kuvuta bangi, waliovuta wote ni machizi sasa hivi
Vilaza hamna uwezo WA kuoa akili kubwa,mnajijua so lazma muoane vilaza kwa vilaza
Kama watu wazito kina mkapa,sumaye,bomani,mwigulu,kitila,januar makamba,NK wameoa uchagan sembuse nyie vilaza?
 
Kwetu kumuua CHATU ni bora uue mifugo yote. NI mwiko hata kumuona amekufa

Kwetu ukichoma nyumba ni lazima ufanyiwe mambo flani
Kwetu Nyamongo ukiikosea jamii wanaokota mawe wanakuja kutupa nyumbani kwako .......hii inaitwa "kumtupia mtu mawe". Wakifanya hivyo wanakuwa wamekumaliza wewe na vizazi vyako vyote.....kamwe huji kupata maendeleo wala kuwa na mwelekeo wowote wa kimaisha.....unakuwa "written off". Usiombe jamii ikakutupia mawe.
 
Back
Top Bottom