Taja raha za kuwa single ili wenye ndoa wajifunze

unakua huru, unakula mbususu kila aina hakuna kuulizwa

maziwa kedekede yanini kufuga ling'ombe ?
Mkuu.,..asa huoni kuwa aliyefuga ng'ombe ndiye anayefaidi zaidi fresh maziwa
 
Alaf hii hali nakuaga nayo yaani nikiwa idle nawaza kuparuana tu ila nikiwa biz na chenj ipo mfukoni hata ham ya kula sina ni juic tu na upepo baharin sitak fujo
Unakuwa na mawazo ya kibakhresa[emoji23][emoji23]
 
baada ya mda 'unaichoka' tatizo, unamuona kama dada yako
ndiyo maana ME wa ndoani ndiyo wanaoongoza kwa 'mechi' zanje
Inawezekana Kuna ukweli hapa....coz naskia wake za watu....ndio viumbe rahis Sana kuliwa[emoji23][emoji23]
 
 
Vpi kuhusiana na haya maswali

1Mume wangu, gesi 2.imeisha.........mchele umeisha.
3.Mtoto anaumwa
4.Nguo za sikukuu
5.Mama yangu ( mke) utamjengea lin nyumba

6Nywele nutabadilisha lini 75k 1per 1week??????
Utakuja kuoa kweli mtani?kama hayo maswali tuu unaona mzigo!!...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…