Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inategemea umeoa mtu wa aina gani na ana background gani.Vpi kuhusiana na haya maswali
1Mume wangu, gesi 2.imeisha.........mchele umeisha.
3.Mtoto anaumwa
4.Nguo za sikukuu
5.Mama yangu ( mke) utamjengea lin nyumba
6Nywele nutabadilisha lini 75k 1per 1week??????
Ndo raha ya uanaume huo unapambana hata ukiwa kitandani hahahaahWanawake hawana huruma......unakuta mzee homa imemchapa kalala......maza anaenda kumuuliza
....leo tunakula nini[emoji23][emoji23]????
Aisee, hii ni logic gani sasa!!? Wenye ndoa hawana cha kujifunza kutoka kwa masingle. Ama hujui mtu mwenye ndoa alianza kwanza kama single? Wewe ndio unapaswa ujifunze kwa walio kwenye ndoa utoe tongotongoSalaaam magreat thinkers
Leo tukiwa tunaendelea kusononeka baada ya shule kufunguliwa nimewaletea baadhi za faida za kuwa single ( bila kuoa)
1. Tuliosingle tunajiamini, watu waliosingle wanajiamini kila idara kutokana na uzoefu wa kukwepa mitego kadha wa kadha kutoka kwa wadada mfano.....hizi kelele za tozo huwezi kuzisikia kwasisi tulio single
2: Ni wazee wa kuspend, kumwagilia mioyo: ni ngumu mtu aliyesingle kumkuta anajibana kimatumizi always tuna ile kauli ya tumia pesa ikuzoee......lazima tumwagilie moyo
3. Waliosingle ni handsome..that's y ni wagumu kudate ....ili kuepuka kusambaza species zenye mionekano kama yao
Ongezea faida walizo nazo watu waliosingle( only positive )
..............View attachment 2346407
Mkuu ...vtu gan ambavyo wew unafaidi....alafu sisi hatupati???
Papuchi moja kila siku inachosha sanaTunajidangaya tu, kuwa single ni expensive sana, unajikuta una mechi zile za fasta unalipia lodge kila siku,msosi na demu lazima umpe hata ten ya nauli,
Bora kuwa na mahusiano ya kudumu, unapata papuchi muda wowote
Wewe uliye singo hujui ya aliyeoa. Aliyeoa alikuwa singo kwanza kabla ya kuoa. Hivyo anayafahamu ya pande zote mbili. Yeye ndiye anaweza kusema kwa kuaminika mazuri ya kuwa singo na ya kuoa. Wewe unadhania tu kwamba kuwa singo ndio kuzuri kwa kuwa huyafahamu ya kuoa.Salaaam magreat thinkers
Leo tukiwa tunaendelea kusononeka baada ya shule kufunguliwa nimewaletea baadhi za faida za kuwa single ( bila kuoa)
Noma unaugua afu huelewi kitu tabuHapo nakua muoga .....unaweza kata Moto ....mtu kujua[emoji23][emoji23]
Mkuu....Mara nyingi walio oa ndiyo wanaoongoza kwa kulia liaWewe uliye singo hujui ya aliyeoa. Aliyeoa alikuwa singo kwanza kabla ya kuoa. Hivyo anayafahamu ya pande zote mbili. Yeye ndiye anaweza kusema kwa kuaminika mazuri ya kuwa singo na ya kuoa. Wewe unadhania tu kwamba kuwa singo ndio kuzuri kwa kuwa huyafahamu ya kuoa.
Naona Leo umeongea fact[emoji23][emoji23]Uko huru kuchakata mbunye yoyote inayoupendeza moyo wako,uko huru kurudi muda wowote home,uko huru kulala popote bila hofu kuwa kesho utaulizwa umelala wapi,yaani ni full kujiachia.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Duuuuh lkn umewahi kufuatilia nyumba nyingi....zimefiwa na wanaume .......unajua kwnnHapo unawaza ngono tu! Ukikua utanielewa tu!
Hakuna kitu na enjoy kama kuwa na wanangu wa 2 dining na mke kwenye nyumba yetu akituandalia chakula!
Ngono ni sehemu ndogo sana ya ndoa