Taja Taasisi ya Serikali ya Tanzania ambayo ilipaswa ifutwe mara 1 bila majadiliano ya Bunge

Urais ufutwe
 
NIC.

Walimu wanaijua vizuri hasa wale wa ndani ndani.
Kuna siku nilienda ofisi moja ya Kata baada ya muda nikawakuta hao jamaa kutoka NIC,baada ya kuwasikiliza nikaomba kuongea.

Niliwachana, mpaka wakakasirika. Hawakupata MTU.

Muda huo walikuwa wameshatoka kata nyingine wameshakupa a baadhi ya watu wakaingia king.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…