Taja uongo ulioambiwa utotoni ukaamini kuwa ni kweli

Umeme(Tanesco) huzalishwa baharini Kwa kutia waya MBILI huku na kule. Then tz nzima tunapata umeme,
 
Eti Yanga sc ni timu ya kimataifa ⁉️
 
 
Ukisikia harufu ya ubwabwa porini ujue Nyoka anajivua gamba.

Ukimchungulia mtu anakata gogo mzazi wako atakatika matiti

Hutakiwi kula ukiwa umelala ngedere watamaliza mazao shambani

Ukinyoosha kidole makaburini kitaoza

Tulipangwa sana ila ilisaidia kuwa na nidhamu
 
Hivi mtoto wa kikopo ni yupi?
 
Leka ngukubhula😂😆
Nimekumbuka mbalii

Ile ya makatuku yale matonses yanavimba mashavuni ,walisema unatafunia bisi kwenye tundu la choo
Au unaenda kutega hela njiapanda,unatemea na mate..Ukiondoka hapo usigeuke nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…