Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

Hawa jamaa walichukua hela benk wameshindwa kurudisha mkopo benk imeuza nyumba yao kwa mnada. Akina mushi wakainunua hasemi ukweli. Na aliyechukua mkopo ni msimamiz wa mirathi bingwa so hiz stor zote haziwez kuwasaidia. Ooh wachagga wez cjui nini we unafikir itabadili ukweli. Umekuja huku maana unajua ukienda mahakaman huna msaada.ndio maana wenye akili zao wamekuambia leta mkataba unabaki kuruka ruka leta usaidiwe.
Acha kutetea use.nge ww mwambie arudishe Mali ya watoto wa marehemu pale Moshi.
 
Duuh mtu unakopa bilioni kwa ajili ya shughuli,

kuna kipindi tulifanya biashara ma mama mmoja wa kariakoo, anauza nyumba yake, tumepambana sana kwenye terms, akaanza kupambana na madalali hataki kuwalipa chao, mpaka wanaelewana ni saa kumi na nusu jioni, hapo tumesign makubaliano ya kuuziana inabidi tuwaekee chao, option zilizopo ni transfer kupitia TISS, (Mfumo wa kuhamisha hela kwa mabank ya ndani siyo ile taasisi ule wa kuhamishia kwenda nje unaitwa TT), kwa huo muda wangeipata siku inayofuata ambayo isingewezekana pia kwa sababu ni sikukuu na siku zinazofuatia ni weekend, Cheque same same, Cash withdrawal kwa amount wanayostahili hamna namna tukawaambia hapa hadi sikukuu iishe, tuchane mikataba, kama mna wasi wasi.

Yule mama aliangua kilio anapiga magoti anaomba apewe chochote ameshaahidi msikitini atalisha watu biariani na wameshaomba kibali cha kufunga mtaa, anahitaji milioni 15 nyingine 5 anazo, busara ikatumika akapatiwa 10 pale pale kutoka kwenye jopo hapo hadi mwanasheria wake na wetu alitoa...Binafsi nikajiuliza mtu unauza nyumba milioni 260, unatumia zaidi ya 20M kwenye sherehe na kuwapa ma sheikh ni akili au matope, hujalipa madalali 10% yao, bado ndugu hawajakuandama lazima uwatoe kidogo...daah

Baada ya biashara kukamilika mtoto wa mama akavuta subaru, kazama dubai kuagiza spear za magari, yule mama ni tajiri wa mali alizoachiwa na mumewe ila hana akili ya kucontrol mali, hapo kariakoo anapokaa ni kwenye apartment wamenunua ni zile za kulipia service charge, nikajuuliza yani wanauza nyumba nzuri mbezi ambapo wangeweza kuweka garden nzuri matunda na mboga mboga, wanakaa kariakoo sema vioo vinawasaidia kelele, hamna parking hamna ustaarabu, ukisema hata ufungue kioo ni matusi tupu....mimi nasema wacha wapigwe kwa kweli, hadi akili iwakae sawa
[emoji1]

Watu wa kko akili zao wanazijuwa wenyewe

Ova
 
huwez kuchukua nyuma yenye zaid ya dhamani billion 14 kwa billion moja huyu jamaa kapewa stop order na mahakama lkn kadharau na wanaolalamika ni wengi kutapeliwa na huyu jamaa
Kama mliandikishiana Dhamana ya Mkopo ni Laki Moja Kwa Nyumba haka Nyumba ni ya Bilioni Mbili, iñaondoka Kwa Laki Hio!!
 
ni primi alyoce mushi mkuu co eugen mushi
Nyie shukuruni Mungu tu maana hakuna namna sasa hivi wakati mnakopa bilioni moja mlishakaa chini kujiuliza mnailipaje hiyo pesa na riba juu.

Hayo ni madhara ya RIBA hususan kama ni waislam.ALLAH ameiharamisha RIBA ana akatangaza yeyote atakaekula riba au kudeal na RIBA basi ajue ametangaza vita na yeye.

Miongoni mwa pigo la kwanza hapa duniani ni hilo la kupoteza nyumba yenu ya thamani kubwa kwa akali ya pesa. Tubuni na mumtake msamaha Mungu maana vita vyake huwa haviishi.
 
Biashara ya kukopesha Tanzania ni kufilisika.
Hata ukimkopesha mtu bila riba na uwezo anao kukurudishia hela yako ni mbinde.
Nadhani ni bora kuwawekea riba kubwa tu.
Kwa sababu hata ukiweka riba ndogo hawakulipi kwa wakati na wanavunja makubaliano.
Mtu anakuja kukopa kwenye kulipa anaanza bibi yangu amefiwa na shangazi yake, atakupa hadithi hatari.
Hahaaaaaa ni kuwabomoa Tu na hard terms ili wakizingua terms ziwasulubu , [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] eti Babu yangu kafiwa na Bibi kizaa mama yake [emoji38][emoji38][emoji38]
Excuses za kipuuz
Mushi hoyeee
 
Kwa US mikopo kama hiyo inaitwa shark loans[emoji28], mbele ya sheria ni illegal mikopo kama hiyo, wapuuzi walikuwa wanachukua title ya brand new car kwa mkopo wa dola 100[emoji16], nasikia southern states bado ipo
Imefanywa Sana na Mafia akina lucky Luciano , gambino crime families na cosa nostra wengine
 
Ninachojua hata kama mliandikishiana mwenye final say ni mahakama maana mikataba mingine ni batili na haitekelezeki mbele ya sheria, nendeni mahakamani good chance mtapata mali zenu back, najua mahakama zetu zina ujinga mwingi lakini kuna mahakimu wengi wazuri tuu wataangalia kesi yako kwa haki, imagine mkataba unasema ukishindwa kulipa deni unauliwa[emoji28] na kweli ukashindwa kulipa unafikiri mahakama itasema uuliwe kwa sababu mkataba mliandikishiana (ni mfano tuu), kuna mikataba mingi sana ya kipuuzi na nje ya sheria nenda mahakamani
Alipokuwa anasign alikuwa amekunywa gongo au ?
 
Upuuzi mtupu mkope hela mshindwe kulipa afu mlete tuhuma za kikabila na kumshambulia mushi dawa ya deni ni kulipa na mahakama zipo Kama mnaona haki haijatendeka. Hapo awali tulikua tunakopa benki za NMB, CRDB na tunarudisha vizuri tu, millioni Mia 400/300/200/600 bwana weeeee kuna kipindi tukachukua mzigo wa M600 bwana bwana pakawa pakakucha pesa ikaenda kwene mradi gafla mradi ukawa wa dumuzi gracing period imeisha mda wa rejesho umefika gari la CRDB hili apa biashara zimestaki mambo yamegoma huku multiple loans za mtaani zinatukabili gafla TRA wakapiga faini mamilioni huku staff wakitupeleka Mahakama ya kazi gafla kitega uchumi kimoja kikafungwa na state mradi mmoja uliobaki TRA wakalock account tukajila eti pesa zipokelewe mkononi bank TRA wanazichukua kufumba na kufumbua fraud ya hatari imetokea watumishi kibao wamefoji vitabu vya risiti na watu wanahitaji huduma zao gafla tunadaiwa m126 za wadau wa chanzo kilichofungwa huku CMA kesi ikiunguruma huku barua za TRA huku madeni ya wadau. Sitosahau kutoka kua na gari nne za nguvu za kutembelea mpk kubaki na toyota escudo number A huku manyumba viwanja na mashamba tukiuza kulipa m400 huku restructuring ya loans ni 800 na vyanzo vya pesa vinasua sua nyie acheni wadau mambo yakibadilika gafla afu Mama ndio anaeendesha biashara na hayo majanga yote yapo juu yake. Tuliwahi ikimbia land cruiser ya miva tukizani ni ya CRDB hakianani tuliwaoma jamaa wabaya kwene haki yao licha ya urafiki wa mda mlefu kwene benki yao hadi tukahisi jamaa wanatuibia. Nyie acheni tuliuza mali sana kulipa madeni ya watu. Mtoa mada lipeni pesa kama hamna uzeni mali mtamuona mtu ni mbaya kwene haki yao siku zote mtu ukidai akiyao unaleta uadui.
 
Upuuzi mtupu mkope hela mshindwe kulipa afu mlete tuhuma za kikabila na kumshambulia mushi dawa ya deni ni kulipa na mahakama zipo Kama mnaona haki haijatendeka. Hapo awali tulikua tunakopa benki za NMB, CRDB na tunarudisha vizuri tu, millioni Mia 400/300/200/600 bwana weeeee kuna kipindi tukachukua mzigo wa M600 bwana bwana pakawa pakakucha pesa ikaenda kwene mradi gafla mradi ukawa wa dumuzi gracing period imeisha mda wa rejesho umefika gari la CRDB hili apa biashara zimestaki mambo yamegoma huku multiple loans za mtaani zinatukabili gafla TRA wakapiga faini mamilioni huku staff wakitupeleka Mahakama ya kazi gafla kitega uchumi kimoja kikafungwa na state mradi mmoja uliobaki TRA wakalock account tukajila eti pesa zipokelewe mkononi bank TRA wanazichukua kufumba na kufumbua fraud ya hatari imetokea watumishi kibao wamefoji vitabu vya risiti na watu wanahitaji huduma zao gafla tunadaiwa m126 za wadau wa chanzo kilichofungwa huku CMA kesi ikiunguruma huku barua za TRA huku madeni ya wadau. Sitosahau kutoka kua na gari nne za nguvu za kutembelea mpk kubaki na toyota escudo number A huku manyumba viwanja na mashamba tukiuza kulipa m400 huku restructuring ya loans ni 800 na vyanzo vya pesa vinasua sua nyie acheni wadau mambo yakibadilika gafla afu Mama ndio anaeendesha biashara na hayo majanga yote yapo juu yake. Tuliwahi ikimbia land cruiser ya miva tukizani ni ya CRDB hakianani tuliwaoma jamaa wabaya kwene haki yao licha ya urafiki wa mda mlefu kwene benki yao hadi tukahisi jamaa wanatuibia. Nyie acheni tuliuza mali sana kulipa madeni ya watu. Mtoa mada lipeni pesa kama hamna uzeni mali mtamuona mtu ni mbaya kwene haki yao siku zote mtu ukidai akiyao unaleta uadui.
Madhara ya kukopa mikopo ya Riba ni kama hayo.Riba huwa haina baraka hata kidogo na pesa ya Riba ukiichanganya kwenye biashara jua imekula kwako huwezi kufanikiwa wala kuendelea. Mwanzo unaweza kuona kuwa unafanikiwa na mambo yanaenda ila mambo yakishaanza kukugeukia utaiona hii ardhi chungu.
 
Madhara ya kukopa mikopo ya Riba ni kama hayo.Riba huwa haina baraka hata kidogo na pesa ya Riba ukiichanganya kwenye biashara jua imekula kwako huwezi kufanikiwa wala kuendelea. Mwanzo unaweza kuona kuwa unafanikiwa na mambo yanaenda ila mambo yakishaanza kukugeukia utaiona hii ardhi chungu.
Acha kutisha watu na illusions zako za kijinga..kwa dunia ya sasa huwezi kuwa tajiri bila kwenda benki..hata huko Islamic banking ni uhuni tu..riba ni ile ile wamebadili jina tu.

Kopa kwa malengo usikope kwenda kukatika viuno kwenye vigodoro vyenu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
massawe tumbo anajenga gorofa kwenye kiwanja cha mjane likoma na masasi bila ruhusa ya mahakama na fremu zote zmeshakuliwa bila nyumba kuisha halafu usema unajua kutafuta
alemuzia emma nyumba alimuambia akijenga gorofa asiweke bar na kamari lkn kawapangisha cleoptra casino na galsport
kabla wachagga k/koo walikuwa wanaishi wastraabu hakuna bar wala makari lkn nyumba zao zote zin bar na kamari bar ya kwanza ilijegwa na mchagga hugo kisima mtaaa livingstone zikikaja frontline bar new vunjo nk nk na sasa emmma ndio dealer wa bia na pombe kali wilaya yote ya ilala na fursa hii wameitumia baada ya wapemba na waarabu kukataa makubuni ya betting kupangisha nyumba zao so ya makapuni ya na tafuta nyumba za wachagga kkoo
Sasa wewe unamuuzia mtu nyumba alafu unampangia cha kufanya? Uza nyumba chukua pesa tembea mbele, yatakayoendelea hayakuhusu.
 
Imefanywa Sana na Mafia akina lucky Luciano , gambino crime families na cosa nostra wengine
Loan sharking ya La Cosa Nostra (American Mafia) ni tofauti. Wao huwa wanakopesha kwa riba (wenyewe huwa wanaita vig au juice), hiyo riba inalipwa kila wiki. Mfano ukikopa shs laki 1 ambayo riba yake ni 10% maana yake ni kuwa kila wiki utakuwa unalipa shs elfu 10 huku deni lako (principle) la laki 1 liko pale pale.

Tofauti nyingine ni kwamba wengi wa wakopaji huwa sio wafanyabiashara bali wacheza kamari (gamblers), ulipaji wao huwa ni wa shida. Mafiosi huwa wanahakikisha kila wiki wanakusanya riba yao huku deni likibaki pale pale. Ukipiga mahesabu baada ya wiki 10 hao loan sharks wanakuwa washarudisha laki yao. Ukizidi kuchelewa wanaendelea kula riba na deni bado liko pale pale.
 
hii ishu ya huyu jamaa kutapeli watu magorofa niliiiona hapo nyamwezi tena zilikuja fifenda 3 kumsaidia jamaa kuzuia fujo hapo zilipaki siku nzima jiulize , naskia huwa anakopesha watu ukishindwa kulipa anakuja kubeba mali zako kibabe
Dawa ya deni kulipa.
 
Loan sharking ya La Cosa Nostra (American Mafia) ni tofauti. Wao huwa wanakopesha kwa riba (wenyewe huwa wanaita vig au juice), hiyo riba inalipwa kila wiki. Mfano ukikopa shs laki 1 ambayo riba yake ni 10% maana yake ni kuwa kila wiki utakuwa unalipa shs elfu 10 huku deni lako (principle) la laki 1 liko pale pale.

Tofauti nyingine ni kwamba wengi wa wakopaji huwa sio wafanyabiashara bali wacheza kamari (gamblers), ulipaji wao huwa ni wa shida. Mafiosi huwa wanahakikisha kila wiki wanakusanya riba yao huku deni likibaki pale pale. Ukipiga mahesabu baada ya wiki 10 hao loan sharks wanakuwa washarudisha laki yao. Ukizidi kuchelewa wanaendelea kula riba na deni bado liko pale pale.
Mikopo ya aina hii pia hapa bongo ipo mingi tu. Unakopa milioni 5 kama riba ni laki mbilli na nusu utailipa kila mwezi mpk siku unaweza kulipa milioni 5 yote kwa pamoja. Hatari sana hii.

Sema wanaofanya hizi mambo wenyewe ni mamafia ukizingua kulipa wanamalizana na wewe wenyewe sio kusumbuana na wewe mahakamani.
 
Back
Top Bottom